Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
TanganyikaMhm , ndio nasikia leo ,ni nchi gani hiyo mkuu🤔
AiseeMhh we mbona hao ni wanawake watano tofauti??.
ALL TRUE😄 🤣 😂 hii kali ya mwaka
Mwanamke mzuri sana wanaume ndio wanaogopa kutupa ndoano kwa kutokujiamini
Ndio maana unakuta mtoto mzuri haswa halafu kaopolewa na jamaa ana sura mbaya
Unajua kwa nini ?
Kwa sababu nyie mnaogopa kutongoza ukisitasita na kusema sijui atanikubali?
Sisi ugly tunapitia mnakoogopa kutongoza
Umesahau mzuri kwa suraNamaanisha
A. Mzuri wa umbo
B. Mzuri wa kili
C. Mzuri wa utafutaji
D. Mzuri wa Dini
E. Mzuri wa Tabia na maadili
Nyie ndio hamtakiwi kabisa kwao mnawapotezea mudaWanatupenda sisi mabishoo tunawapelekea 🔥
Sauwawengi wao wanakua ni mafenist wanaona wana kila kitu wanachokihitaji katika maisha, wanaona mapenzi ni kama kupoteza muda nas kumkosea Mungu, hawataki kujiingiza kwenye matatizo ya wanaume wanaona kama wanawajua sana wanaume kwahiyo hawataki na wao kuingia kwenye matatizo waliyoingia wanawake wenzao . lakiuni wakija kupenda wanakua poa tu ila hawatakli kuongozwa au kua chini ya amri za mweanaume.
Uko na nidham za woga weweSuala sio kuogopwa suala hapo ni nguvu ya kuwa na mtu anaetongozwa 24/7
DM yake imejaa wazee na vijana maskini na tajiri
Ni hakuna kitu utamwambia maji ya bafuni utajipelekea kama ni hizi bafu zetu Kuna wakati nguo utajifulia na chakula utajipikia yani ni kama unaishi na mshikaji wako ndani
Na kwa kuongezea Junior atanyolewa kiduku na kitavirigwa na hutasema kitu
Wazuri kwa sura si ndio hao mnawatafuna kila siku, akili kichwani hakunagaUmesahau mzuri kwa sura
Mbona wanalika mkuu?Tanganyika
Kwa. N wanaume wazuri wanaoa wabaya wakezaoIvi ushawahi kujiuliza kwanini
1. Wanawake wazuri sana wanakataaga wanaume?
Namaanisha
A. Mzuri wa umbo
B. Mzuri wa kili
C. Mzuri wa utafutaji
D. Mzuri wa Dini
E. Mzuri wa Tabia na maadili
Yani awe na vitu vyote 5 hapo juu,
Hao wanawake wanakuwaga hawapatikani kirahisi kwa wanaume hata kama mwanaume ana hela
Ushawahi kujiuliza ni kwanini?
YahUko na nidham za woga wewe
Ivi ushawahi kujiuliza kwanini
1. Wanawake wazuri sana wanakataaga wanaume?
Namaanisha
A. Mzuri wa umbo
B. Mzuri wa kili
C. Mzuri wa utafutaji
D. Mzuri wa Dini
E. Mzuri wa Tabia na maadili
Yani awe na vitu vyote 5 hapo juu,
Hao wanawake wanakuwaga hawapatikani kirahisi kwa wanaume hata kama mwanaume ana hela
Ushawahi kujiuliza ni kwanini?