Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
Ivi ushawahi kujiuliza kwanini
1. Wanawake wazuri sana wanakataaga wanaume?
Namaanisha
A. Mzuri wa umbo
B. Mzuri wa kili
C. Mzuri wa utafutaji
D. Mzuri wa Dini
E. Mzuri wa Tabia na maadili
Yani awe na vitu vyote 5 hapo juu,
Hao wanawake wanakuwaga hawapatikani kirahisi kwa wanaume hata kama mwanaume ana hela
Ushawahi kujiuliza ni kwanini?
1. Wanawake wazuri sana wanakataaga wanaume?
Namaanisha
A. Mzuri wa umbo
B. Mzuri wa kili
C. Mzuri wa utafutaji
D. Mzuri wa Dini
E. Mzuri wa Tabia na maadili
Yani awe na vitu vyote 5 hapo juu,
Hao wanawake wanakuwaga hawapatikani kirahisi kwa wanaume hata kama mwanaume ana hela
Ushawahi kujiuliza ni kwanini?