Kwanini Wanawake wengi wa Kiislamu wana mahaba na wanyenyekevu kwa wenza wao tofauti na Wakristo?

Nimewatafuna wanawake wengi but honestly Hawa mabinti wa wavaa m ni wanayajua mapenzi, kubwa zaidi ni wasafi sana papuch zao,nilijaribu kufanya utafiti mdogo tu kupitia hawa wanawake zangu nikagundua mabinti wa kiislam hawawezi kwenda haja ndogo bila kutumia maji atafosi mpaka ajisafishe na maji,..hawa wengine wanajifuta na tissue tu au sometimes wanainuka na kupandisha chupi,sasa jaribu kainuse ile chupi uone balaa lake.....
 
Mkuu mbona hasira hasira hivi? Watoto wa kiislamu wengi hawana makuu mzee...Wako humble sana tofauti na dada zako wagalatia wanaojihesabiaga haki kwenye kila kitu
Tatizo wanawake kwetu ni makonde tu, yaani tumewafanya kama vyombo vya starehe. Samahani sio makonde boy maana hamchelewagi kupotosha maana. Ila kwa wale wenzetu, wanawake ni binadamu kama binadamu wengine. Na ndio maana sisi kwetu haijasemwa wanawake peponi watapewa nini. Maana hawana thamani yoyote. Ila wanamume tutapewa mabikira 72, mito ya pombe na maziwa n.k. Ila wao nafikiri wanatuzidi sana. Unafikiri Tanzania ingekuwa kama Afghanistan, Yemen, Siria, Iran Dubai n.k, Je mama yetu Samia angekuwa pale alipo? Dini yetu imewafanya waelekeze nguvu zao na akili zao huko badala ya kufocus mengine.
 
Thank you..

All they think of is mapenzi mapenzi mapenzi and pengine hachangii chochote nyumbani zaidi ya viuno .
 
Acha udwanzi, Kwan yule Amina alikuwa dini gani? Arafa je? Mbona wote walininyoosha?.
 
Sasa wao field wanafanyia wap c ndo kwenye kudate ili akiolewa aende kufanyia kaz experience aliyonayo
 
Mafundisho tunayopata kutoka wa wazazi na madrasa dini inasisitiza sana usafi,heshima na upendo kitu ambacho sidhani kama upande wa poli huwa wanafundishwa makanisani
 
Tatizo linakuja kwenye kuachika achika, ndoa za kikristo zinaishi, za kiislam dah kutwa kuachana.
 
Mtoto mdogo unamfundishaje habari za mambo ya ndoa na mahusiano. Use your common sense
Mwanamke yoyote akiwa ana 18+ huyo sio mtoto ni mtu mzima na anastahili kufundishwa hayo mambo hii ndio inapelekea wakikristo kutojua mambo mengi Sana na kuwa na utofauti na wenzetu wakislamu
 
Kwahio yeye hajaajiriwa/hajajiajiri na hivyo kila ukirudi home unamkuta anakusubiri kwa mapokeszi hayo!!!🤔
 
Mademu wetu wakikristo wanachojua wao ni kukuita sijui honey, baby, kujidekeza na kukiss basi hawaendi extra mile kwa wenzao wakislamu alafu wakichitiwa wanaanza kulalamika. Kama unataka kuoa binti wa kislamu omba baba yake asiwe shehe
Hahaha
 
Wala Hilo sio lengo langu kama ulivyosema wewe mimi ni mkristo nasali kanisa la lutheran kwenye ushirika wa Kimara pale kimara Korogwe uzi wangu upo clear kabisa sema tu wewe unaingiza ushabiki wa kidini tatizo linaanzia hapa mimi nimezungumza kile ninachokiona na mwisho kabisa nikauliza ambayo wewe au mtu anatakiwa anajibu tupo hapa tueleweshana na kujifunza sio kuonesha dini fulani ni nzuri au nyingine ni mbaya
 
Reactions: 9mm
Mafundisho tunayopata kutoka wa wazazi na madrasa dini inasisitiza sana usafi,heshima na upendo kitu ambacho sidhani kama upande wa poli huwa wanafundishwa makanisani
Kuna vigezo vinazingatiwa kwenye kufundishwa hayo mambo ya ndani
 
Msibishe mimi mgalatia ila wakristo wamama mu wachafu sana na mumejaa umame tu.
 
Reactions: 9mm
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…