Kwanini Wanawake wengi wa Kiislamu wana mahaba na wanyenyekevu kwa wenza wao tofauti na Wakristo?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wanawake waikiislam wanaongoza kwa
1.Kuroga,kila siku wanaenda kwa ustaadhi wanaita dua kusomea wanaume visomo,mwanaume unajiona special umevuliwa viatu mwenzio anakupaka dawa,bafuni Kuna shower eti unawekewa waji kwenye ndoo unajiona mwamba eti nimeweka hirik,hiriki ya wapi wewe zinduka umewekewa midudu humo,mnanyweshwa marangi gani sijui mazafarani,mwanamke wa kiislamu lazima aweke mauchafu kwenye chakula ndio maana upishi wao umejaa viungo kubabaisha Mambo asiowajua Nani hao?nyama inaungwa Hadi inapoteza Radha halisi ili asibambwe

2.Wanaongoza kwa unafiki,hata Kama hampendi mume atajifanya anampenda anamnyenyekea kumbe mnafiki ndio maana waanachika kila baada ya miezi 3

3.Wanaongoza kwa kwenda kwa mpalange

4.Wanaongoza kwa kuolewa na kuachika!mtu mmoja unaolewa mpaka Mara Saba eti chuo Cha Saba jamaniii sio kweli.

Wakristo tuna madhaifu yetu Ila hao waislam sio Bora kutuzidi,wamelazimika kuwa submissive kutokana na matunzo Yao ya kitaleban.
 
[emoji817]

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Thank you darling....Tuongezee sauti kidogo..

Mwamba hapo juu anataka alishwe eti ndo mapenzi kumbe wanalishwa mpaka malimbwata[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Thank you darling....Tuongezee sauti kidogo..

Mwamba hapo juu anataka alishwe eti ndo mapenzi kumbe wanalishwa mpaka malimbwata[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani wanadhania wanalishwaga Nini Kama sio hayo malimbwata??maana mtu alishaweka kwenye msosi lazima ahakikishe dawa imeliwa,Hapo ndio wanapolishwa Sasa😄
 
Kwani wanadhania wanalishwaga Nini Kama sio hayo malimbwata??maana mtu alishaweka kwenye msosi lazima ahakikishe dawa imeliwa,Hapo ndio wanapolishwa Sasa[emoji1]
Wanadhani wanawake wajinga, wana mbinu zao matata...

Eti wadada wa kiislamu wanakuogesha ebooo...Atahakikisha hiyo dawa inakuingia mpka kwenye mkuyenge ili anogewe halafu kesho aje jf eti wadada wa kikristo hawajui kitu kumbeee mwenzie kamuweka kwenye chupa[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwani wanadhania wanalishwaga Nini Kama sio hayo malimbwata??maana mtu alishaweka kwenye msosi lazima ahakikishe dawa imeliwa,Hapo ndio wanapolishwa Sasa😄
Kumbe ndio imekuwa hivyo
 
Lakini sii bora huyo ambaye anataka mgegegdo wake uwe wake kuliko wakristo ambao wao hawana wivu kazi yao kugawa gawa
 
Reactions: 9mm
Lakini sii bora huyo ambaye anataka mgegegdo wake uwe wake kuliko wakristo ambao wao hawana wivu kazi yao kugawa gawa
Kati ya wadada wa kiislamu na kikristo nani anaongeza kwa kugawagawa nje?

Hayo mavazi yao yasiwadanganye wanagawa nje ovyo tena kwa mpalange..
 
Kati ya wadada wa kiislamu na kikristo nani anaongeza kwa kugawagawa nje?

Hayo mavazi yao yasiwadanganye wanagawa nje ovyo tena kwa mpalange..
Sasa wee umejuaje kuwa wanagawa kwa mpalamge jamani.....mbona mnawasingizia au na nyie wnawake mnatumia huko....ebu tujuzeni
 
Sasa wee umejuaje kuwa wanagawa kwa mpalamge jamani.....mbona mnawasingizia au na nyie wnawake mnatumia huko....ebu tujuzeni
Siwezi kuthubutu kufanya huo uchaffu.

Wewe kafanye homework kwa wadada zako waislamu utaona
 
Ah homework tena....mbona from experience yangu ya mpalange haichagui dini wapo wanawake wakristo tunawafukua tope daily
Kumbe haichagui dini..

Then acheni kuwakandia wadada wakikristo.Kama mnawasifia wadada wa kiislamu wasifieni bila kuwachafua wakikristo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…