Kwanini Wanawake wengi wa Kiislamu wana mahaba na wanyenyekevu kwa wenza wao tofauti na Wakristo?

Kwanini Wanawake wengi wa Kiislamu wana mahaba na wanyenyekevu kwa wenza wao tofauti na Wakristo?

Anacho sema mdau ni kweli wanawake wa kikristo ni wabishi na ni vigumu sana kuwafundisha na lingine ni usafi wa ndani ya mwili wanacho jua ni usafi wa nje tu na ndio maana wengi wamebandika kucha za bandia sasa unajiuliza tu mtu ameweka kucha ndefu za bandia anajisafishaje? Kwenye k yake??

Sent from my ONEPLUS A3003 using JamiiForums mobile app
 
Habari wanajf wenzangu

Hili swali nimekuwanikijiuliza Sana bila hata kupata majibu.

Binafsi mimi ni mkristo na nimedate na wanawake 8 mpaka right now na katika hao wanawake 8 niliwahi kudate nao wanawake ambao nimefurahia mahusiano nao ni wanawake wa5 tu na katika hao 4 ni wakislamu na 1 ndio mkristo mwenzangu.

Vitu nilivyogundua kwa wanawake wengi wakislamu angalau unakuta wanaheshima Sana, wavumilivu especially ukiwa umefuria kwa kipindi fulani na kitu zaidi na kwangu ni kikubwa hawa watu wanamahaba Sana.

Mfano mzuri huyu mwanamke niliyonae sasa hivi ni mwislamu, ndugu ndugu ninapata mahaba ambayo sijawahi kupata kwa mademu wakikristo.

Nikifika home kwenye mishe zangu navuliwa shati, nafuliwa nguo na kupigiwa pasi,nalishwa, sipangiwi kupiga papuchi napiga ninavyotaka mimi na kingine zaidi ambacho hiki kidogo sijakikuta hata kwa mademu wa kislamu wenyewe ni kufanyiwa massage yaani ni hatari.

Shida ya wanawake wakikristo wanakwama wapi kwanini wengi wao hawana mahaba kama hawa kislamu.

Wataalamu naomba mtusaidie.
Demi
Sky Eclat
DeepPond
binti kiziwi
joseph1989
to yeye
rikiboy
Dr Dre
singojr
Statistics
Usher-smith MD
Mshana Jr
Liverpool VPN
Yna2
I LOVE GIRLS
Kunguru wa Manzese
We jidanganye tuu huko nje wanamvua kama kawa we unapigwa changa la macho ujione uko peke yako hahahaaaaa😂😂😂😂😂
 
Kwasababu ya kufatilia kwa ufasaha mafundisho ya Qur'an tukufu pamoja na sunna za mtume Muhammad S.A.W.

Quran imeweka bayana kua mwanamke siku zote atakua chini ya mwanaume. Ndoa yoyote ya mwanamke kua juu au kua sawa na mwanaume automatically upendo hupungua.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ni upuuzi tu, tunarudia.....Mtume Muhammad hakuwa muungwana, alikuwa mbakaji na mlawiti watoto. Soma historia yake ujuwe ukweli usikariri tu Quran haitakusaidia kitu bali itakufanya kuwa mnafiki tu na mtu wa mihemko kama Haji Manara.
 
Anacho sema mdau ni kweli wanawake wa kikristo ni wabishi na ni vigumu sana kuwafundisha na lingine ni usafi wa ndani ya mwili wanacho jua ni usafi wa nje tu na ndio maana wengi wamebandika kucha za bandia sasa unajiuliza tu mtu ameweka kucha ndefu za bandia anajisafishaje? Kwenye k yake??

Sent from my ONEPLUS A3003 using JamiiForums mobile app
Unaongea upuuuzi mtupu, bado hujakua wewe ukikua ataacha huo upumbavu wako
 
Ni waelewa
Hawana shoboshobo za kuombamizinga wanajua ni jukumu lako kumhudumia kama unampenda
Wapo romantic sana
Wanaheshima kwa mwanaume.

Nakupenda sana Hamida wangu..japo mimi ni mkristo tena mtoto wa mtumishi..

Heshima kwenu bint-kiisilam mnaojielewa na kujitambua.

Bint-kikrist jitahidini kujifunza mapenzi na mahaba na kuu zaidi kuwaheshimu wanaume achaneni na 50/50. na sio kuwazia kutengeneza nywele saloon mkizani tunapenda makapi ya nywele mnazo weka
 
Kwasababu ya kufatilia kwa ufasaha mafundisho ya Qur'an tukufu pamoja na sunna za mtume Muhammad S.A.W.

Quran imeweka bayana kua mwanamke siku zote atakua chini ya mwanaume. Ndoa yoyote ya mwanamke kua juu au kua sawa na mwanaume automatically upendo hupungua.

Sent using Jamii Forums mobile app
Uongo.
Mwanamke mshika maandiko huwa hafanyi uasherati...toa sababu nyingine
 
Me naona hayo ni malezi, kufundwa and the like.
Mtu kuwa na mapenzi ya dhati has nothing to do with udini…

Mimi nakua najua baba akirudi ikitokea nikamuona hata kuanzia kule nasogea kumpokea na pole juu.

Nimezoea nyumbani kumpa mtu mkubwa glass ya maji na goti lile la mpaka chini unless kama nampa na jug ndio nitamuachia kwa stuli ila lazima nimkaribishe.
Hayo yote na mengine ukiyafanya kwa ambao hawajazoea wanabaki kuona ni vitu next level 😀

Na ni mkiristo kindaki ndaki.
Huyo bwege achana nae hajajua wanawake bado, ngoja siku akute anabanduliwa alete mrejesho hapa.
 
Hii mada iahajadiliwa sana humu..ila huo ndio ukweli..upande wa wakristo wasichana hufundishwa 50/50 wakati mabinti wa wavaa kobazi hufundishwa kuwa submissive..kuobey kila kitu kutoka kwa mumewe..inagawa nahisi ni kinafiki sana mana wanaliwa sana nje na wnaachika kila uchwao.

#MaendeleoHayanaChama
Mkuu hawa aliowakula wote sio wacha Mungu bali wenye majina ya dini ya Kiislam na Kikristo.
Pili hiyo 50/50 inapatikana katika kitabu gani cha biblia na sura gani?

Usiishi kwa kukariri ya vijiweni mkuu wangu
 
Back
Top Bottom