Kwanini Wanawake wengi wa Kiislamu wana mahaba na wanyenyekevu kwa wenza wao tofauti na Wakristo?

Wewe umedate na mademu 8 unasema una experience? aaah unazingua mzee
Umewahi kudate mademu wa mbeya, iringa na njombe nk kule ukristo ulikoenea sana?
Unajua kwamba mademu wenye kasumba ya kudanga na kwenda kwa mparange wamejaa sana mikoa ya pwani dini fulani ilikofikia na kuenea sana?
 
Umeolewa?
 
Mafundisho ya dini mwanamke yupo chini ya mwanaume sikuzote hta uwe msomi wa degree zote pia tunasema pepo ya mke ipo chini ya mume kumtii ni Sheria na kumpa utuluvu ni wajibu Ila hii sio kwa wasiiona ni walio ktk ndoa
 
Ndoa za hawa wadada wa kiislamu zinadumu kwa wastani wa miaka mingapi?
Kwa uzoefu wa ndoa yangu pekee ilidumu kwa miaka 11 japo kwa Sasa ana mkakati mahsusi wa kurudi baada ya kuachana 2015 Mara alivyogundua kuwa sijaona na hajui kuwa maziwa nikiyahitaji ntayapata dukani.
 
Tak~biir
 
Wanafundishwa na Nani ebu nisaidie
 
Muoe uone km utaendelea kupata hivyo vyote
Mbona kama tunatishana na nyie inabidi mfungue milango ya kujifunza msiwe wabishi vitu vingi mmezidiwa na wanawake wakislamu especially kwenye eneo la kumtreat vizuri mwanaume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…