Kwanini Wanawake wengi wa Kiislamu wana mahaba na wanyenyekevu kwa wenza wao tofauti na Wakristo?

Kwanini Wanawake wengi wa Kiislamu wana mahaba na wanyenyekevu kwa wenza wao tofauti na Wakristo?

Muoe huyo huyo sasa unatafuna unaacha sasa nani amalizie huo uporo? Huyo mwenye mahaba weka ndani Wagalatia achana nao, wao wataolewa na Wakorintho.
Eti wagalatia wao wataolewa na wakorinho mwamba umejua kunichekesha kweli kweli
 
Hiyo kubadili dini siwezi kabisa na wala haitatokea
Na yeye alkibadili dini kuwa mkristo ndiyo basi tena atakuwa hana maadili km hao wakristo unaowasema....
Umeshajijengea akilini kwako wanawake wa muislam wako hivi na wakristo wako hivi utapata tabu sana.
 
Usafi ni hulka ya mtu,haihusiani na dini ya mtu!
Uislamu unasisitiza sana usafi..

Mfano kuchukua udhu kabla ya kwenda kuswali,kuoga na kuvaa nguo safi pindi unapotaka kuingia msikitini hasa swala ya ijumaa.

Mwanaume kuosha dhakari baada ya kutoka haja ndogo..

Huoni kuna namna uislamu umesisitiza usafi kuliko dini yetu?..
 
Nna mchumba ni mpemba nampenda sana ila nasikitika siwezi kumuoa sababu ya dini
Hii ilinikuta mimi me ilikuwa ni muarabu demu alinikama akili huyu alafu alinizidi kipato lakini heshima yake kwangu ilibaki vile vile
 
Nimesoma comments zote, marks nyingi zinaenda kwa mademu wa ki-islamu katika suala zima la usafi wa mwili na mavazi na utiifu kwa waume/wenza wao, Na wengi waliothibitisha hilo ni Wanaume wa Kikristo....Kwa kweli wenzetu wanajitahidi hata katika masuala ya mavazi yenye staha.

Pamoja na yote hapo juu,hatuwezi kuhitimisha kuwa mademu wote wa kikristo ni wachafu na hawajali wenzi wao.
 
Habari wanajf wenzangu

Hili swali nimekuwanikijiuliza Sana bila hata kupata majibu.

Binafsi mimi ni mkristo na nimedate na wanawake 8 mpaka right now na katika hao wanawake 8 niliwahi kudate nao wanawake ambao nimefurahia mahusiano nao ni wanawake wa5 tu na katika hao 4 ni wakislamu na 1 ndio mkristo mwenzangu.

Vitu nilivyogundua kwa wanawake wengi wakislamu angalau unakuta wanaheshima Sana, wavumilivu especially ukiwa umefuria kwa kipindi fulani na kitu zaidi na kwangu ni kikubwa hawa watu wanamahaba Sana.

Mfano mzuri huyu mwanamke niliyonae sasa hivi ni mwislamu, ndugu ndugu ninapata mahaba ambayo sijawahi kupata kwa mademu wakikristo.

Nikifika home kwenye mishe zangu navuliwa shati, nafuliwa nguo na kupigiwa pasi,nalishwa, sipangiwi kupiga papuchi napiga ninavyotaka mimi na kingine zaidi ambacho hiki kidogo sijakikuta hata kwa mademu wa kislamu wenyewe ni kufanyiwa massage yaani ni hatari.

Shida ya wanawake wakikristo wanakwama wapi kwanini wengi wao hawana mahaba kama hawa kislamu.

Wataalamu naomba mtusaidie.
Demi
Sky Eclat
DeepPond
binti kiziwi
joseph1989
to yeye
rikiboy
Dr Dre
singojr
Statistics
Usher-smith MD
Mshana Jr
Liverpool VPN
Yna2
I LOVE GIRLS
Kunguru wa Manzese
Wanabembeleza ili wasiolewe mke wa pili
 
Uislamu unasisitiza sana usafi..

Mfano kuchukua udhu kabla ya kwenda kuswali,kuoga na kuvaa nguo safi pindi unapotaka kuingia msikitini hasa swala ya ijumaa.

Mwanaume kuosha dhakari baada ya kutoka haja ndogo..

Huoni kuna namna uislamu umesisitiza usafi kuliko dini yetu?..
Usafi ni moyo (roho njema), hayo mengine ni ziada tu!
 
Wanabembeleza ili wasiolewe mke wa pili
Angalia hata level ya mahusiano ya kimapenzi huko kwenye ndoa umeenda mbali wamewaacha Sana wanawake wakikristo kwanza wengi wao sio wapigaji wa vizinga
 
Nimesoma comments zote, marks nyingi zinaenda kwa mademu wa ki-islamu katika suala zima la usafi wa mwili na mavazi na utiifu kwa waume/wenza wao, Na wengi waliothibitisha hilo ni Wanaume wa Kikristo....Kwa kweli wenzetu wanajitahidi hata katika masuala ya mavazi yenye staha.

Pamoja na yote hapo juu,hatuwezi kuhitimisha kuwa mademu wote wa kikristo ni wachafu na hawajali wenzi wao.
Mademu wakikristo wa humu wanaona wivu ukweli lazima uwongelewe wasiwe wabishi wawe tayari kujifunza
 
Mademu wakikristo wa humu wanaona wivu ukweli lazima uwongelewe wasiwe wabishi wawe tayari kujifunza
Hatuoni wivu hata [emoji1787][emoji1787] shida sasa ma Mc hawajawahi kosa ndoa every Saturday za hao hao wagalatia wachafu
 
Huu uzi ni kama vile umepika chakula chako halafu ukakiweka vizuri, Kisha mtu akaja akakidoka.

Halafu anakuja kukusifia kuwa chakula ulichopika ni Kitamu, unajua kupika.

Sasa hapo uamuzi ni wako, ima umchekee eti amekusifia au umpige makonzi kwanini amedokoa chakula chako.

Huyu jamaa anasifia mabinti wa kiislamu lakini baada ya kufanyanao maovu na machafu.
 
Back
Top Bottom