Dah,ngoja nitafakari kwa kina,then nichukue hatua...Nawakumbusha tu..
Mama Maria Nyerere yuko hai.
Mama Karume yuko hai.
Mama sokoine yupo hai
Mama Salmin Amour yuko hai
Mama Omary juma yuko hai.
Mama abdul jumbe yuko hai tena WOTE 2
Mama samwel sitta yuko hai
Mama Mkapa yuko hai
Mama Maiga yuko hai.
Mama Maalim Seif yuko hai
Mama Kijaz yuko hai
Mama Janet Magufuli yuko hai.
Tafakari,chukua hatua...WABABA TUNAFELI WAPI?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unatafta makubwa wewe
Ndio maana ukanyang'anya mke wa ArturoMwanamke hata awe ana mabawa,mapembe,miiba bado ni Mlaini mbele ya mwanaume
Msikilize huyu mama kuanzia dk ya 9 mpaka 13.Oyaa, hata km umeoa mwanamke hana kitu ,mbumbu wa akili na pesa nakila kitu.
KAMA UTASHINDWA KUA MWANAUME, ATAKUSUMBUA SANA TUU TENA SANA TUU
alafu utajuta kwann hujaoa msomi !!...
Utaoa msomi, ila kwakua hauna Uanaume , naye atakushinda kama kawaida.
Siwatetei wanawake wenye uchumi wao, ila ukweli nikua, MWANAMKE ANAKUA VILE UNAVYOTAKA AWE
tena nikuambie kitu kimoja, nirahisi ya mwanamke alokua anakutegemea, kukukimbiaa au kua na mwanaume mwengine,, sababu tu akajitimizie mahitaj yake pale unapopunguwa
Ref... Uzi wangu niliowah andika, VIKOBA na wanawake kuchepuka.
Lkn ni ngumu sana kwa mwanamks mwenye huru wa uchumi, kukukimbia kisa tu wee umezidi kutetereka.
Sansana Atajitahidi kukufanya uonekane mwanaume mbele ya wanaume wenzako na atakufichia aibu yako.
Ila hao wategemezi, kama hana akili, Utakuta kahamia kwa jirani yako anapelekewa moto.
Hapa sidhan kama anachakuongea tena...mwanamke kasema kila kituMsikilize huyu mama kuanzia dk ya 9 mpaka 13.
Sasa nini hapo cha Ajabu???Msikilize huyu mama kuanzia dk ya 9 mpaka 13.
Naona unapenda kubishana tufanye ww unajua kuliko Mama Urio anayefanya semina na wanawake wenzake.Sasa nini hapo cha Ajabu???
Keshakuambia Kua mwanamke kaumbwa Kua chini ya Mwanaume... Bila kujalisha mwanamke ana kazi gan, cheo gan, pesa gan....
Kaumbwa kua chini ya Mwanaume[emoji109][emoji109][emoji109]
Hili sindo mimi nawambie humu????.
Anatoa onyo. Kua wanawake wengine wakishapata pesa wanasahau nafasi za wanaume....?? Hapa ndo utetezi wenu umeegemea [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ?????
Swali ni je, WANAWAKE WALIOHURU KIUCHUMI, WENYE KAZI N.K WANATAKIWA KUOLEWA NA AINA GAN YA WANAUME???.AU WASIOLEWE ??
kubadilika kwa mwanamke baada ya kupata pesa ndan ya ndoa, hii bado pia inabaki kua ni tabia ya mtu na mtu...
Nikm alivyo mwanaume, anatoka chini na mwanamke, akishapata maisha anaanza michepuko michepuko....
MWANAMKE ANAKUA VILE UNAVYOTAKA. Kama ulikua unamuishi kwa kumuumiza sababu hana kitu, siku akipata UTAMJUA TU...kama alikua ni rafiki, mpenzi mama na mke umpendaye, siku akipata HAWEZI BADILIKA
TABIA NI NGOZI.
Hahahha!jamaa anajikuta anajua kuwazid wanawake wenyew..hawa ni wale wanajinyonga pale wakiachwa na mwanamke..huwa wanawaamin sanaa ila hawawajui hata robo tuNaona unapenda kubishana tufanye ww unajua kuliko Mama Urio anayefanya semina na wanawake wenzake.
Mwanaume mwenye uchumi stable huwaa anajali familia ikiwa ni pamoja na watoto na mke,ila ni tofaut na mke,yy akiwa stable atajijali yy na watot ila mwanaume atadharauliwa..kiufup mwanamke ni mbinafsi kwa asili pale ambapo yupo vzur kiuchumiHii ni kwa jinsia zote Me na Ke.
Sasa hao ndio wazuri, wanajua kupenda sanaaaaa
Achana na mawazo ya kusaidiwa maisha.
Wewe kama umemuona mwanamke mzuri ana maisha yake zaidi yako ..nenda mtongoze.
Hawa wanawake hamjui tu. Kwakua watu wengi wanaogopa kuwatongoza, mara nyingi sana wanaishiwa kuliwa na Madereva wao, au watu wao wa kazin au walosoma pamoja.
Na kama haya yote hayapo, naye anakua nakiu ya kua na mtu sana, ukijitutumua tu ukamtongoza, Huyo hapo kajaa.
KWA UFUPI, AKILI YA MWANAMKE ITABAKI KUA YA MWANAMKE, AWE NI WAZIRI, MBUNGE, RAS, DED, RAIS, MJESHI, CEO, POLIS, MFANYABIASHARA N.K.
Wee kama umemwelewa tu vzuri, na unamhitaji, tafuta wapi pakumpatia, kisha endeleza safari.
Ingekuwa hivyo hata wale Wanaume wanao achishwa Kazi, Ndoa zao zingedumu.Sikiliza Man, sio dhambi kuoa Mwanamke anayekuzidi kipato.SIO DHAMBI.
Ni Dhambi kubwa kumwogopa mwanamke mwenye kipato kuliko chako nakumtoa katika kundi la mtu anayefaa kuolewa nawewe.
NDOA HAITAKI KIPATO CHA MWANAUME, NDOA HAITAKI ELIMU ZENU, NDOA HAITAKI MANINI YENU !!!
Well said daddy…
Wewe ukiachishwa kazi, utakaa nyuman asubuhi, mchana jion usiku??? .Ingekuwa hivyo hata wale Wanaume wanao achishwa Kazi, Ndoa zao zingedumu.
Ni wanawake wachache sana wanaohimili kuishi na mwanaume asiye na kipato.
Aahh sio kubishana, Umemsikiliza?? Namm nmemsikiliza. Sasa chambua, tuchambue mahojiano yake.Naona unapenda kubishana tufanye ww unajua kuliko Mama Urio anayefanya semina na wanawake wenzake.
We ongea ila sisi tunayaona haya na kila siku yanazidi kukua.
Hujapingana na mimi bali umepingana na mama Urio mwenye jinsia yake ya kike.Aahh sio kubishana, Umemsikiliza?? Namm nmemsikiliza. Sasa chambua, tuchambue mahojiano yake.
Ubishi tena utoke wapi? Wewe umeona wapi nmepingana naye??
Wewe ndio umeshindwa kutafasiri Maana yake.
Kufanya semina na wanawake wenzio ,hata Joyce kiria anafanya semina na wanawake wenzio na ni mwanaharakati.
Mantiki ni kile kinachozungumzwa. Sio kufanya semina.
Karibu sana mjumbe mpya:
View attachment 1932609
Habari ya mjini kuna wasiojulikana nyuma ya usukani wa mama:
View attachment 1932611