Ilishatokea mara kibao, Yesu mwenyewe alifufuka siku ya tatu baada ya kufa, Lazaro alifufuliwa na Yesu baada ya kufa na kuzikwa, Nabii Eliya alimfufua mtoto aliyekuwa amekata roho na kumrudisha kwa mama yake. Kwa hiyo tunaongea jambo tulilo na imani na ushuhuda nalo.nyiyi wakina miujiza mnapo chelewesha kuzika huo mzoga unafufuka na kuwa hai?
Imani ya ajabu tayari imeshaonekana dhahiri, maana mnaamini mnyaazi na mtume wake ambao hawana nguvu juu ya kifo. Sisi kwetu Yesu ni nguvu, tumaini la uzima wa milele.Siku nyingine msilazimishe imani zenu za ajabu ajabu kwa watu wengine.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hao ndugu wa Lazaro walikua wakiristu mpaka wamsubiri yesu au walikua wanabahatisha kumngoja mfanya miujiza...Kama hawakuwa wakiristo basi suala la kungoja/kuchukua muda mrefu siyo la kikiristo sababu si maagizo ya kristoNimekwambia walimsubiri Yesu kwa siku kadhaa hadi mwili wa Lazaro ukaharibika ndo wakaenda kumzika, kwa nini wewe unatulazimsha tukazike baada ya sekunde mbili ili hali bado tuna fursa ya kuwasubiri ndugu wengine na Yesu pia akiwemo kwenye hiyo list ya watu wanaosubiriwa kuja..........maana sisi tuna uhakika anaishi na anaweza kufanya jambo lolote hata leo hii.
Hao ndugu wa Lazaro walikua wakiristu mpaka wamsubiri yesu au walikua wanabahatisha kumngoja mfanya miujiza...Kama hawakuwa wakiristo basi suala la kungoja/kuchukua muda mrefu siyo la kikiristo sababu si maagizo ya kristo
ThibitishaWalikuwa ni wafuasi wa Yesu na waliamini katika uwezo wake wa kuzuia Lazaro asife, lakini hawakuwa na imani kama angeweza kumfufua Lazaro baada ya kufa, ndo maana alipofika wakaanza kulia kwamba angekuwepo Lazaro asingekufa na hata alivyowaambia kwamba ataweza kuishi walimwambia ameshazikwa muda na ameshaharibika.
Nithibitishe kitu ganiThibitisha
We umejibu kwa mtazamo finyu.....hujui hata katika dini limeongelewa hilo???Ni mapokeo tu toka enzi hizo hata majokofu hayakuwepo na kwa joto la arabuni isingewezekana kulaza maiti,uislam kila lililo la mwarabu ni la mnyazi mungu,funny truth!
Haya tukiondoa hao Yesu na Razolo, ambao waumini hamjawaona, Kwa kufuata kuto zika mapema, ni Wakristo wangapi tunaoishi na tunashuhudia Wakifufuka baada ya kufa na kuwekwa siku kadhaa bila kuzikwa.Huwezi kusubiri wiki nzima kama huna imani hiyo ya ufufuko, hii imani haipo kule kwa mnyaazi kwani hata mtume wa mnyaazi hakufufuka kama alivyofufuka Yesu ndo maana hamuwezi kuona haja ya kusubiri, wakati Lazaro alipokufa walimsubiri Yesu kwa siku kadhaa hadi akaanza kutoa harufu ndo wakaamua kwenda kumzika.
Haya,hayo ya kukaa muda mrefu na maiti yanakuaje maagizo ya kikristo/yesu!?Nithibitishe kitu gani
Andika mada mpya, kinyume chake, uko nje ya mada.Kuna jamaa kauliza kuna umuhimu gani wa kumkamua marehemu kinyesi kabla ya kumzika
Na kimsingi kukaa na maiti ndani ni mila za kimagharbi....kama sisi twaiga kwa waarabu kuzika haraka( japokuwa ni uongo hatuigi kwa waarabu Bali ni mafundisho ya bwana mtumi(saw)) basi yeye atambue anaiga kwa wathungu maana hata yule yesu alizikwa mapema tu baada ya kuukataYesu baada ya kufa kakaa siku ngapi ndio akazikwa
Kuwahi kuzika ndio busara zaidi kuliko kukaa na kiumbe kisicho hai ndani unataka kifanyaje humo kwenye jokofu kizae au?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
maagizo ya papa aliyesema mpakuane maviKwa hiyo haya ni maagizo ya mnyaazi, au ni mapokeo tu...
Hawezi kukujibu faida za Ku delay mazishi maadam ishathibitika mtu ni the dead!Imetokea mara ngapi na kwa muda gani tangu marehemu apelekwe monchwal?
Unafosi taratibu za watu wengine zifanane na za kwako?
Kuna faida gani ya kuchelewesha kuzika?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Utafiti ni fani ndugu yangu, ila nina uhakika hakuna hata mtu mmoja aliefufuka mochuary kwa mika hivi karibuni, yenye utandawazi alafu tusijue.Fanya utafiti, usipende kutafuniwa...
Hii michezo ipo sana maeneo ya mwambao kwa wafuasi wa mnyaazimaagizo ya papa aliyesema mpakuane mavi
Kama dini desturi why wajihita kaka yake shetani??? That's means you believe the presence of Satan hence the religion is true!Dini utamaduni watu wanabisha.hivi unajua tamaduni hiyo wametoa sehemu mwili wa binadamu ukifa unaoza haraka sababu ya joto.ndio maana wanazika haraka
Sijasema ni maagizo ya Yesu, nilisema waliamini katika uwezo wa huyo Yesu kuzuia Lazaro asife kwa hiyo waliendelea kumsubiri kwa muda zaidi hata baada ya Lazaro kufa..Haya,hayo ya kukaa muda mrefu na maiti yanakuaje maagizo ya kikristo/yesu!?
Dah! Kwahiyo unaamini katika kufufuka zama hizi??Unajua baada ya Lazaro kufa walisubiri siku ngapi ili Yesu aje, na alipochelewa mwili ukaanza kuharibika ndo wakaenda kumzika, ndo maana nikakwambia sisi tunaamini kwenye huo uwezekano kwa sababu Mtume wetu Yesu Kristo alishinda kifo na hata leo anaishi, kwa hiyo sisi kukimbizana kwenda kuzika is not our priority!