misedemideheki
JF-Expert Member
- Aug 7, 2020
- 246
- 448
nzenze ,tutite shambai! Hiki pia sio KisambaaMgosi nzenze ,tutite shambai
Aanyeghewa uyu uko kwe mbweshuna akunda azaghweMtoa mada atakuwa hajawahi kupanda gari moja na Wasukuma, au Wamasai!
NI ndani ya Wilaya mbili tu nchini (Lushoto na Korogwe) ndiyo utakutana na hao Wasambaa wakiongea kilugha ndani ya magari ya abiria/mtaani/sokoni, nk. Nje ya hizo Wilaya, ni aghalabu kukuta Msambaa anaongea kilugha hadharani.
Ila hayo makabila mawili hapo juu, hata uende Urusi, au Ukraine! Wao ni kuongea tu Kisukuma/Kimasai!!
Hongea maa wau umbu jangu n'yemkundisha sana[emoji7]
MUSHEKY si vema kupotosha hiki sio kisambaa! oshie mjini kina hea soi tijazaneUtawasikia wakiitana oshie mjini kina hea soi tijazane
Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] na visiku vya nine ngazi malihemuKaje magwaha ya weako
Mtoa mada hajakutana na hayo makabila bila shaka. Mfano Wasukuma na Wamasai, ni too much!Mtoa mada unawajua wamasai?
Unawafahamu wasukuma?
Vp kuhusu wagogo?
Tuje kwa wahaya?
Usiwasahau waha?
Ushawahi kukutana na wakurya?
Kaa kwa kutulia kwa kifupi mkikutana mnakifahamu vizuri cha nyumbani lazima mkionje kidogo kama wewe huna ujualo tuliza boli
Lugha yangu ni kiswahili mkuu, kuna mambo mengine sio ya kazima asa uongee kisambaa afu ujulikane wewe ni msambaa and then whatNi ushamba vipi hutaki ujulikane wewe msambaa au mgogo?
Huo ni utumwa ipende lugha yako.
Bila Shaka we ni mzigua au mdigo? Wivu tu unqkusumbua
Haya Mghoshi Shekighenda. Kuzacha!!! Niughushia woshe uko uiko.
Aanyeghewa uyu uko kwe mbweshuna akunda azaghwe
[emoji23][emoji23][emoji23] na visiku vya nine ngazi malihemu
Ijulikane ili upewe tuzo?Ni ushamba vipi hutaki ujulikane wewe msambaa au mgogo?
Huo ni utumwa ipende lugha yako.