Kwanini Watanzania huwa wana "feel at home" mara tu baada ya kuingia USA?

Kwanini Watanzania huwa wana "feel at home" mara tu baada ya kuingia USA?

Tanzania ushoga ,usagaji na ndoa za jinsia moja hauko kwenye sheria za nchi

Marekani wamehalalisha na wanalazimisha nchi kupewa mikopo au misaada lazima ikubali ushoga,usagaji na ndoa za jinsia moja

Wamelaaniwa hao
Kwani kuna mtu anaye zalimisha mtu awe shoga?

Au ni maamuzi ya mtu kuwa shoga?

Mbona unafanya Generalization zisizo na mantiki?

Kwamba Raia wote wa Marekani ni mashoga?

Nakwambia hivi [emoji116]

Hakuna uhusiano wowote wa nchi ya mtu na mtu kuwa shoga.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Sababu kuu inaweza kuwa nini wadau? how comes mtu upo kwenye " strange land" but still you feel at home. Hata ' home sickness' hakuna!!!

Mimi sababu ninazo zihisi ni 2, mosi ;kwa sababu mhusika anakuwa tayari yupo Marekani kiakili ( mentally) kwa muda mrefu so anapo fika Marekani physically anakuwa tayari alisha kuwa 'mwenyeji' hapo Marekani.

Pili : ni inferiority complex; huyu mtu ana feel proud kuwa kwenye nchi kama Marekani. Ndio maana wengi huwa wanafikia mpaka hatua ya kubadilisha accent. Mwamba kakulia mjini Daslam but miezi sita baada ya kukanyaga ardhi ya Marekani anaanza ku speak ' ebonic' kwa sababu anataka kuji assimilate na wamarekani, anataka kuwa addressed kama " Mmarekani"


Kuna jamaa yangu mmoja alienda Marekani mwaka 2008 kwa programe ya fullbright fellowship. Kwanza kabla hajaenda story zake zilikuwa " aisee nikifika Marekani ntapiga nondo nyie!!" mweeeh kwani hizo nondo huwezi kupiga ukiwa hapa hapa mjini daslamu?

Jamaa akaenda akarudi mwaka 2009, story zake zina taja matukio ya " D.C, Jersey, etc.

Akiwa anafanya kazi kwenye internet cafe net kazi inakuwa kumu harrass mtoa huduma. " Afrika mbona internet yenu ipo slow sana nyie, Marekani ukiwa na cyber yenye internet slow kama hii hupati customers kabisa. Marekani hatujazoea kabisa vitu kama hivi" Mweeh " hamjazoea wewe na nani?"

Mwezi wa kumi na moja, mwaka 2002 sista angu aliniita kula likizo Marekani. I was 17 years old ndo nilikuwa nimemaliza kidato cha nne. Nilikaa hadi January nikarudi. Story zilizagaa mtaani kwamba naenda kiwanja. Nilikula mademu mpaka ambao sikuwatarajia. Nilipo rudi nikawala zaidi. ( Na walikuwa ni mademu mademu kweli sio malaya! w ala watu wazima wenye michirizi na alama kati kati ya mapaja. walikuwa ni age mates wangu, ninao wazidi kidogo na wanao nizidi kidogo. Am talking about the 14,15,16,17,18, 19 years old gals.


Niliporudi kuna baadhi ya wana walinitenga kwa sababu waliona nnaringa. Kuna mwamba mmoja alikuwaga na story za kuzamia tangu miaka ya tisini( alikuwa rafiki yake na brother) Huyu akageuka kuwa chawa wangu, siku nzima kuniuliza tu story za mtoni.. Alikuwaga na emails kibao anawasiliana na watu mara sijui vyuo wanasema watampeleka mtoni.

Kuna jamaa walimtengeneza akajaa akawatumia laki tatu wamvute Marekani. Hiyo laki tatu aliwapa wakiwa katika ya mwisho kabisa na ilikuwa ni malipo ya kupewa visa( Alipigwa).

Ilikuwa mwaka 2003 mwanzoni, kama kesho yake ndo anaenda kuchukua " visa" akawa anatamba mtaani, " kabla inda club haijashuka chati nitakuwa mtoni"

Back to the question why do most Tanzanians and Africans at large feel at home in the US?

Dada angu ambae yupo USA tangu mwaka 97 sasa anafikiria kurudi Tanzania kumalizia maisha yake Tanzania.
Ukweli kwa mtu aliyetoka mazingira magumu na duni ukifika USA kila kitu kunaonekana supa na watu wanaingia katika happy mood kwani kwa mtu aliyotoka Buguruni Mapipa hapo akifika mamtoni kuna mengi mno ya ku enjoy lakini baada ya muda mrefu mambo huwa kawaida.
 
Haniiiii.....🎶
Hanniiiii.......🎻
Heheeeheee.....😜
Alafu mziki unaisha...😏
 
Sababu kuu inaweza kuwa nini wadau? how comes mtu upo kwenye " strange land" but still you feel at home. Hata ' home sickness' hakuna!!!

Mimi sababu ninazo zihisi ni 2, mosi ;kwa sababu mhusika anakuwa tayari yupo Marekani kiakili ( mentally) kwa muda mrefu so anapo fika Marekani physically anakuwa tayari alisha kuwa 'mwenyeji' hapo Marekani.

Pili : ni inferiority complex; huyu mtu ana feel proud kuwa kwenye nchi kama Marekani. Ndio maana wengi huwa wanafikia mpaka hatua ya kubadilisha accent. Mwamba kakulia mjini Daslam but miezi sita baada ya kukanyaga ardhi ya Marekani anaanza ku speak ' ebonic' kwa sababu anataka kuji assimilate na wamarekani, anataka kuwa addressed kama " Mmarekani"


Kuna jamaa yangu mmoja alienda Marekani mwaka 2008 kwa programe ya fullbright fellowship. Kwanza kabla hajaenda story zake zilikuwa " aisee nikifika Marekani ntapiga nondo nyie!!" mweeeh kwani hizo nondo huwezi kupiga ukiwa hapa hapa mjini daslamu?

Jamaa akaenda akarudi mwaka 2009, story zake zina taja matukio ya " D.C, Jersey, etc.

Akiwa anafanya kazi kwenye internet cafe net kazi inakuwa kumu harrass mtoa huduma. " Afrika mbona internet yenu ipo slow sana nyie, Marekani ukiwa na cyber yenye internet slow kama hii hupati customers kabisa. Marekani hatujazoea kabisa vitu kama hivi" Mweeh " hamjazoea wewe na nani?"

Mwezi wa kumi na moja, mwaka 2002 sista angu aliniita kula likizo Marekani. I was 17 years old ndo nilikuwa nimemaliza kidato cha nne. Nilikaa hadi January nikarudi. Story zilizagaa mtaani kwamba naenda kiwanja. Nilikula mademu mpaka ambao sikuwatarajia. Nilipo rudi nikawala zaidi. ( Na walikuwa ni mademu mademu kweli sio malaya! w ala watu wazima wenye michirizi na alama kati kati ya mapaja. walikuwa ni age mates wangu, ninao wazidi kidogo na wanao nizidi kidogo. Am talking about the 14,15,16,17,18, 19 years old gals.


Niliporudi kuna baadhi ya wana walinitenga kwa sababu waliona nnaringa. Kuna mwamba mmoja alikuwaga na story za kuzamia tangu miaka ya tisini( alikuwa rafiki yake na brother) Huyu akageuka kuwa chawa wangu, siku nzima kuniuliza tu story za mtoni.. Alikuwaga na emails kibao anawasiliana na watu mara sijui vyuo wanasema watampeleka mtoni.

Kuna jamaa walimtengeneza akajaa akawatumia laki tatu wamvute Marekani. Hiyo laki tatu aliwapa wakiwa katika ya mwisho kabisa na ilikuwa ni malipo ya kupewa visa( Alipigwa).

Ilikuwa mwaka 2003 mwanzoni, kama kesho yake ndo anaenda kuchukua " visa" akawa anatamba mtaani, " kabla inda club haijashuka chati nitakuwa mtoni"

Back to the question why do most Tanzanians and Africans at large feel at home in the US?

Dada angu ambae yupo USA tangu mwaka 97 sasa anafikiria kurudi Tanzania kumalizia maisha yake Tanzania.
umepangiwa A-Level shule gani? au ndiyo kwisha habari yake
 
Tanzania ili ufanikiwe lazima upite kwenye mifumo ile ile ya rushwa,wizi, uhujumu uchumi na ukwepaji kodi.

Wengi wa walio fanikiwa hapa Tanzania kwa njia halali ni wachache sana.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Uongo

Nyumba zote nzuri unazoziona Tanzania nzima ni rushwa wizi,uhujumu uchumi,na ukwepaji kodi?
Mamilioni ya magari mazuri ya private ya kutembelea unayoyaona barabarani yote ni
rushwa wizi,uhujumu uchumi,na ukwepaji kodi?

Mamilioni ya watu unakutana nao Tanzania nzima wana afya nzuri na maisha mazuri na mavazi mazuri na wana furaha wote wala rushwa wizi,uhujumu uchumi,na ukwepaji kodi?

Wanaoona na ku feel at home Marekani wengi ni walioshindwa kutoboa kimaisha Tanzania hiyo wala sio siri.Ni ukweli ulio wazi
 
Ukweli kwa mtu aliyetoka mazingira magumu na duni ukifika USA kila kitu kunaonekana supa na watu wanaingia katika happy mood kwani kwa mtu aliyotoka Buguruni Mapipa hapo akifika mamtoni kuna mengi mno ya ku enjoy lakini baada ya muda mrefu mambo huwa kawaida.
Hakika.
 
Uongo

Nyumba zote nzuri unazoziona Tanzania nzima ni rushwa wizi,uhujumu uchumi,na ukerpaji kodi?
Mamilioni ya magari mazuri ya private ya kutembelea unayoyaona barabarani yote ni
rushwa wizi,uhujumu uchumi,na ukwepaji kodi?

Mamikioni ya watu unakutana nao Tanzania nzima wana afya nzuri na maisha mazuri na mavazi mazuri na wana furaha wote wala rushwa wizi,uhujumu uchumi,na ukwepaji kodi?

Wanaoona na ku feel at home Marekani wengi ni walioshindwa kutoboa kimaisha Tanzania hiyo wala sio siri.Ni ukweli ulio wazi
Sawa chagua wimbo!
 
Kwani kuna mtu anaye zalimisha mtu awe shoga?

Au ni maamuzi ya mtu kuwa shoga?
Marekani inalazimisha nchi zitake zisitake wakubali ushoga,usagaji na ndoa za jinsia moja Tatizo linaanzia hapo

Ndio maana nasema Marekani wamelaaniwa
 
Uongo

Nyumba zote nzuri unazoziona Tanzania nzima ni rushwa wizi,uhujumu uchumi,na ukerpaji kodi?
Mamilioni ya magari mazuri ya private ya kutembelea unayoyaona barabarani yote ni
rushwa wizi,uhujumu uchumi,na ukwepaji kodi?

Mamikioni ya watu unakutana nao Tanzania nzima wana afya nzuri na maisha mazuri na mavazi mazuri na wana furaha wote wala rushwa wizi,uhujumu uchumi,na ukwepaji kodi?

Wanaoona na ku feel at home Marekani wengi ni walioshindwa kutoboa kimaisha Tanzania hiyo wala sio siri.Ni ukweli ulio wazi
Tatizo lako unataka ubishi ila sio uhalisia wa vitu ulivyo kwa ground.

Nakwambia hivi,

Mtanzania wa kipato cha chini hutumia nguvu kubwa mno kulinganisha thamani ya pesa anayo ipata.

Kuna Uzi uko hapa JF una onesha mishahara ya wafanyakazi wengi wa kitanzania uki convert kwenye US Dollar ($) ni kituko...

Kipato hicho ana Earn dogo wa part time jobs in USA.



Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Marekani inalazimisha nchi zitake zisitake wakubali ushoga,usagaji na ndoa za jinsia moja Tatizo linaanzia hapo

Ndio maana nasema Marekani wamelaaniwa
Hawalazimishi mtu kuwa shoga.

Wana tetea haki za wale ambao tayari ni mashoga.

Sasa wewe unataka mashoga wauwawe

Wakati kila mtu ana haki ya kuishi.




Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Tatizo lako unataka ubishi ila sio uhalisia wa vitu ulivyo kwa ground.

Nakwambia hivi,

Mtanzania wa kipato cha chini hutumia nguvu kubwa mno kulinganisha thamani ya pesa anayo ipata.

Kuna Uzi uko hapa JF una onesha mishahara ya wafanyakazi wengi wa kitanzania uki convert kwenye US Dollar ($) ni kituko...

Kipato hicho ana Earn dogo wa part time jobs in USA.



Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Sio ubishi kodi ya nyumba miji mingi UsA ni sawa na pesa za kitanzania milioni mbili kwa mwezi

Tanzania kodi za nyumba ziko chini.Utalinganishaje mishahara ya USA na Tanzania wakati gharama za maisha ziko juu mno USA? Tanzania ziko chini

Gharama za maisha haziko sawa.

Marekani pesa nyingi lakini zinaishia tu kupanga tu kula na kulala wengi hawana uwezo wa kumiliki nyumba au kununua kiwanja wanakufa wapangaji kwenye apartments

Kwetu hata mama nitilie tu unakuta ana kwake kajenga vyumba hata viwili vya kumsitiri.Hafii nyumba ya kupanga kama USA Sawa haviko level ya USA lakini ana kwake anakokuita kwangu mwenyewe
 
Sio ubishi kodi ya nyumba miji mingi UsA ni sawa na pesa za kitanzania milioni mbili kwa mwezi

Tanzania kodi za nyumba ziko chini.Utalinganishaje mishahara ya USA na Tanzania wakati gharama za maisha ziko juu mno USA? Tanzania ziko chini

Gharama za maisha haziko sawa.

Marekani pesa nyingi lakini zinaishia tu kupanga tu kula na kulala wengi hawana uwezo wa kumiliki nyumba au kununua kiwanja wanakufa wapangaji kwenye apartments

Kwetu hata mama nitilie tu unakuta ana kwake kajenga vyumba hata viwili vya kumsitiri.Hafii nyumba ya kupanga kama USA Sawa haviko level ya USA lakini ana kwake anakokuita kwangu mwenyewe
Yaani wewe ni lishamba la mwisho hivi tanzania ni nchi au dampo ulinganishe Tanzania kisa mo anaishi Tanzania ndio na wewe ulivyokua zoba useme Tanzania ni nchi ya Raha hivi Kuna mtu asiejua kwamba Tanzania inanuka kama mishoga ipo kibao tena SSA hivi Hadi unafanya part acha uzwazwa
 
Marekani ni Sodoma na Gomora wao ndio wamelaaniwa kwa kuruhusu ushoga,usagaji na ndoa za jinsia moja

Tanzania upumbavu huo na laana hizo hatutaki

Wasema Marekani imebarikiwa labda ni mashoga ,wasagaji na watu ndoa za jinsia moja

Watanzania tumebarikiwa sisi sio.sodoma na ghomora kama Marekani
Tafuta hela uache chuki na nchi zilizoendelea Tanzania Kuna mishoga kibao tena inajulikana mpaka part inafanya Sasa wewe nchi kama Tanzania inanuka njaa ulinganishe na USA hivi wengine mnakua humu jamii forum kukua sio
 
Back
Top Bottom