Kwanini Watanzania huwa wana "feel at home" mara tu baada ya kuingia USA?

Kwanini Watanzania huwa wana "feel at home" mara tu baada ya kuingia USA?

Hongera mkuu kwa kuondoka kwenye Laana.

Uafrika hasa utanzania ni laana.

Sasa umevua laana na kujitakasa.

Bongo for vacation only.

USA for life.



Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app

Sasa watu wanalinganisha na Bongo nchi shida tupu watu wanakandamizwa vijana wanakuwa chawa tu , fursa hakuna kweli Bongo ni Vacation tu
 
Kw a sababu kule kunautawala wa sheria na haki za binadamu tofauti na hapa kila kitu kiko hovyohovyo tu
Na zile mass shooting huwa zinatokea mara kwa mara,unaziongeleaje. Naona kama unataka kutuaminisha kuwa Marekani ni safe paradise.
 
Fursa zipo nyingi labda unamaanisha kuajiriwa.

Kusoma,kupata mkopo Kwenye banks, pia pesa ina thamani sana mfano huku mtu unalipwa kila baada ya wiki mbili na pesa Yao ina thamani sana unaweza wekeza Bongo au huku watu wana project Za Real Estate, insurance, Health industry, opportunities ni nyingi pia hakuna Rushwa wala kujuana
 
Sema baadhi ya Watanzania sio wote hasa malofa walioshindwa kutoboa kimaisha Tanzania ndio hu feel at home Marekani baada ya kushindwa kutoboa kimaisha Tanzania
Acha dharau ndugu. Nchi yako yenye upuuzi wa kila aina inashindwa hata na Kenya ambao wanapokea pesa kutoka Paypal. Ungekuwa karibu ningekutoa pua na kukupiga tatoo ya Paypal. nakosa pesa hivi hivi kwasbabu ya li nchi ya kisengerema.
Huo ulofa wenu mpaka unawaona watu wengine ni malofa. Kutoboa Tanzania ni kazi ngumu sana. Unafikiri fursa ngapi zinatupita mtandaoni?
Wewe jamaa msengelema sana. Li nchi lenyewe la ovyo, bora hata mtu anayeishi Kenya. Marekani ni raha sana maana una fursa nyingi hata unaweza kupokea pesa na kutoa kwa Paypal. Baki na li nchi lako la kisengerema ambalo unaishi kama upo chooni. Tanzania ni laana
 
Mo Dewji kasoma marekani kaishi Marekani lakini ana feel at home Tanzania .Ubilionea wote kaupatia Tanzania. Utamwambia a feel at home marekani?

Malofa walioshindwa kutoboa kimaisha Tanzania ndio hu feel at home Marekani
Usiandike vitu usivyovielewa, Mo Dewji siyo self made Millionaire/Billionaire.

Baba yake Mzee Ghullum Dewji yupo hai Mo Dewji pesa amezikuta na makampuni ameyakuta.

Alichofanya Mo Dewji baada ya kusomeshwa Chuo bora duniani sasa elimu anafanya implementation kwa vitendo kuongeza utajili wa familia yao.
 
Usiandike vitu usivyovielewa, Mo Dewji siyo self made Millionaire/Billionaire.

Baba yake Mzee Ghullum Dewji yupo hai Mo Dewji pesa amezikuta na makampuni ameyakuta.

Alichofanya Mo Dewji baada ya kusomeshwa Chuo bora duniani sasa elimu anafanya implementation kwa vitendo kuongea utajili wa familia yao.
Kila Mtanzania ana wazazi wake.Wakati wazazi wa Dewji walikuwa wakichacharika kuhakikisha watoto wao wana feel at home Tanzania hao wazazi wa hao wakimbilia Marekani mfano walikuwa wakifanya nini cha maana hadi kusababisha watoto waona waka feel at home Marekani sio Tanzania kama Mo Dewji?
 
Sababu kuu inaweza kuwa nini wadau? how comes mtu upo kwenye "strange land" but still you feel at home. Hata ' home sickness' hakuna!

Mimi sababu ninazo zihisi ni 2, mosi ;kwa sababu mhusika anakuwa tayari yupo Marekani kiakili (mentally) kwa muda mrefu so anapo fika Marekani physically anakuwa tayari alisha kuwa 'mwenyeji' hapo Marekani.

Pili : ni inferiority complex; huyu mtu ana feel proud kuwa kwenye nchi kama Marekani. Ndio maana wengi huwa wanafikia mpaka hatua ya kubadilisha accent. Mwamba kakulia mjini Daslam but miezi sita baada ya kukanyaga ardhi ya Marekani anaanza ku speak ' ebonic' kwa sababu anataka kuji assimilate na wamarekani, anataka kuwa addressed kama "Mmarekani"

Kuna jamaa yangu mmoja alienda Marekani mwaka 2008 kwa programe ya fullbright fellowship. Kwanza kabla hajaenda story zake zilikuwa "aisee nikifika Marekani ntapiga nondo nyie!!" mweeeh kwani hizo nondo huwezi kupiga ukiwa hapa hapa mjini daslamu?

Jamaa akaenda akarudi mwaka 2009, story zake zina taja matukio ya " D.C, Jersey, etc.

Akiwa anafanya kazi kwenye internet cafe net kazi inakuwa kumu harrass mtoa huduma. " Afrika mbona internet yenu ipo slow sana nyie, Marekani ukiwa na cyber yenye internet slow kama hii hupati customers kabisa. Marekani hatujazoea kabisa vitu kama hivi" Mweeh " hamjazoea wewe na nani?"

Mwezi wa kumi na moja, mwaka 2002 sista angu aliniita kula likizo Marekani. I was 17 years old ndo nilikuwa nimemaliza kidato cha nne. Nilikaa hadi January nikarudi. Story zilizagaa mtaani kwamba naenda kiwanja. Nilikula mademu mpaka ambao sikuwatarajia. Nilipo rudi nikawala zaidi. (Na walikuwa ni mademu mademu kweli sio malaya! w ala watu wazima wenye michirizi na alama kati kati ya mapaja. walikuwa ni age mates wangu, ninao wazidi kidogo na wanao nizidi kidogo.

Niliporudi kuna baadhi ya wana walinitenga kwa sababu waliona nnaringa. Kuna mwamba mmoja alikuwaga na story za kuzamia tangu miaka ya tisini (alikuwa rafiki yake na brother). Huyu akageuka kuwa chawa wangu, siku nzima kuniuliza tu story za mtoni.. Alikuwaga na emails kibao anawasiliana na watu mara sijui vyuo wanasema watampeleka mtoni.

Kuna jamaa walimtengeneza akajaa akawatumia laki tatu wamvute Marekani. Hiyo laki tatu aliwapa wakiwa katika ya mwisho kabisa na ilikuwa ni malipo ya kupewa visa (Alipigwa).

Ilikuwa mwaka 2003 mwanzoni, kama kesho yake ndo anaenda kuchukua "visa" akawa anatamba mtaani, "kabla inda club haijashuka chati nitakuwa mtoni"

Back to the question why do most Tanzanians and Africans at large feel at home in the US?

Dada angu ambae yupo USA tangu mwaka 97 sasa anafikiria kurudi Tanzania kumalizia maisha yake Tanzania.

Nchi ya Tanzania sijui itakombolewa na nani
 
Kila Mtanzania ana wazazi wake.Wakati wazazi wa Dewji walikuwa wakichacharika kuhakikisha watoto wao wana feel at home Tanzania hao wazazi wa hao wakimbilia Marekani mfano walikuwa wakifanya nini cha maana hadi kusababisha watoto waonwaka aka feel at home Marekani sio Tanzania kama Mo Dewji?
Hilo ni la kwako, Mimi nimekuweka sawa ujuwe kwamba Mo Dewji hajawahi kutafuta mtaji wa biashara usidanganye watu.

Mo Dewji amesomeshwa shule bora na Chuo bora Marekani na baba yake Mzee Ghullum Dewji.

Mali amezikuta na makampuni ameyakuta, anachokifanya Mo Dewji ni kutumia sasa usomi wake kutake off mpaka anaingia huko Forbes.

Kuna matycoon kama Bakhressa huyu ni self made Billionaire na huwezi kumuona huko Forbes wala kushobokea media.
 
Mtu aliyetoboa kimaisha na kufanikiwa kimaisha Tanzania hawezi hata siku moja kwenda ku feel at home Marekani
Akili zako unazijuwa mwenyewe, hao ndio wananunuwa property kabisa USA kama Apartment kwa mfano.

Kama Jakaya Kikwete hajatobowa basi nitakubaliana na wewe.
 
Akili zako unazijuwa mwenyewe, hao ndio wananunuwa property kabisa USA kama Apartment kwa mfano.

Kama Jakaya Kikwete hajatobowa basi nitakubaliana na wewe.
Wanapangisha mbona hawaishi huko..Muda mwingi wako Tanzania.Wengine hizo nyumba ni holiday homes tu.Huenda mara moja kwa mwaka likizo au mapumziko.Tu lakini sehemu wanayo feel at home ni Tanzania sio.Marrekani.

Wamenunua mijumba tu kama vitega uchumi tu lakini kutwa wako Tanzania ndiko wana feel at home
 
Lema kaenda canada sijui karudi anatukana boda boda na miundo mbinu yetu[emoji23]
 
Mo Dewji kasoma marekani kaishi Marekani lakini ana feel at home Tanzania .Ubilionea wote kaupatia Tanzania. Utamwambia a feel at home marekani?

Malofa walioshindwa kutoboa kimaisha Tanzania ndio hu feel at home Marekani
Mkuu kwani mtu akitamba anaishi marekan kuna ubaya gan?
 
Back
Top Bottom