wisdom mapambano
Senior Member
- Jul 17, 2018
- 117
- 148
Hongera mkuu kwa kuondoka kwenye Laana.
Uafrika hasa utanzania ni laana.
Sasa umevua laana na kujitakasa.
Bongo for vacation only.
USA for life.
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Na zile mass shooting huwa zinatokea mara kwa mara,unaziongeleaje. Naona kama unataka kutuaminisha kuwa Marekani ni safe paradise.Kw a sababu kule kunautawala wa sheria na haki za binadamu tofauti na hapa kila kitu kiko hovyohovyo tu
Fursa zipo nyingi labda unamaanisha kuajiriwa.Sasa watu wanalinganisha na Bongo nchi shida tupu watu wanakandamizwa vijana wanakuwa chawa tu , fursa hakuna kweli Bongo ni Vacation tu
Fursa zipo nyingi labda unamaanisha kuajiriwa.
Na zile mass shooting huwa zinatokea mara kwa mara,unaziongeleaje. Naona kama unataka kutuaminisha kuwa Marekani ni safe paradise.
Acha dharau ndugu. Nchi yako yenye upuuzi wa kila aina inashindwa hata na Kenya ambao wanapokea pesa kutoka Paypal. Ungekuwa karibu ningekutoa pua na kukupiga tatoo ya Paypal. nakosa pesa hivi hivi kwasbabu ya li nchi ya kisengerema.Sema baadhi ya Watanzania sio wote hasa malofa walioshindwa kutoboa kimaisha Tanzania ndio hu feel at home Marekani baada ya kushindwa kutoboa kimaisha Tanzania
Kwani bongo hakuna panya road watu kila siku wanakatwa mapanga na kufa.Na zile mass shooting huwa zinatokea mara kwa mara,unaziongeleaje. Naona kama unataka kutuaminisha kuwa Marekani ni safe paradise.
Usiandike vitu usivyovielewa, Mo Dewji siyo self made Millionaire/Billionaire.Mo Dewji kasoma marekani kaishi Marekani lakini ana feel at home Tanzania .Ubilionea wote kaupatia Tanzania. Utamwambia a feel at home marekani?
Malofa walioshindwa kutoboa kimaisha Tanzania ndio hu feel at home Marekani
Kila Mtanzania ana wazazi wake.Wakati wazazi wa Dewji walikuwa wakichacharika kuhakikisha watoto wao wana feel at home Tanzania hao wazazi wa hao wakimbilia Marekani mfano walikuwa wakifanya nini cha maana hadi kusababisha watoto waona waka feel at home Marekani sio Tanzania kama Mo Dewji?Usiandike vitu usivyovielewa, Mo Dewji siyo self made Millionaire/Billionaire.
Baba yake Mzee Ghullum Dewji yupo hai Mo Dewji pesa amezikuta na makampuni ameyakuta.
Alichofanya Mo Dewji baada ya kusomeshwa Chuo bora duniani sasa elimu anafanya implementation kwa vitendo kuongea utajili wa familia yao.
Sababu kuu inaweza kuwa nini wadau? how comes mtu upo kwenye "strange land" but still you feel at home. Hata ' home sickness' hakuna!
Mimi sababu ninazo zihisi ni 2, mosi ;kwa sababu mhusika anakuwa tayari yupo Marekani kiakili (mentally) kwa muda mrefu so anapo fika Marekani physically anakuwa tayari alisha kuwa 'mwenyeji' hapo Marekani.
Pili : ni inferiority complex; huyu mtu ana feel proud kuwa kwenye nchi kama Marekani. Ndio maana wengi huwa wanafikia mpaka hatua ya kubadilisha accent. Mwamba kakulia mjini Daslam but miezi sita baada ya kukanyaga ardhi ya Marekani anaanza ku speak ' ebonic' kwa sababu anataka kuji assimilate na wamarekani, anataka kuwa addressed kama "Mmarekani"
Kuna jamaa yangu mmoja alienda Marekani mwaka 2008 kwa programe ya fullbright fellowship. Kwanza kabla hajaenda story zake zilikuwa "aisee nikifika Marekani ntapiga nondo nyie!!" mweeeh kwani hizo nondo huwezi kupiga ukiwa hapa hapa mjini daslamu?
Jamaa akaenda akarudi mwaka 2009, story zake zina taja matukio ya " D.C, Jersey, etc.
Akiwa anafanya kazi kwenye internet cafe net kazi inakuwa kumu harrass mtoa huduma. " Afrika mbona internet yenu ipo slow sana nyie, Marekani ukiwa na cyber yenye internet slow kama hii hupati customers kabisa. Marekani hatujazoea kabisa vitu kama hivi" Mweeh " hamjazoea wewe na nani?"
Mwezi wa kumi na moja, mwaka 2002 sista angu aliniita kula likizo Marekani. I was 17 years old ndo nilikuwa nimemaliza kidato cha nne. Nilikaa hadi January nikarudi. Story zilizagaa mtaani kwamba naenda kiwanja. Nilikula mademu mpaka ambao sikuwatarajia. Nilipo rudi nikawala zaidi. (Na walikuwa ni mademu mademu kweli sio malaya! w ala watu wazima wenye michirizi na alama kati kati ya mapaja. walikuwa ni age mates wangu, ninao wazidi kidogo na wanao nizidi kidogo.
Niliporudi kuna baadhi ya wana walinitenga kwa sababu waliona nnaringa. Kuna mwamba mmoja alikuwaga na story za kuzamia tangu miaka ya tisini (alikuwa rafiki yake na brother). Huyu akageuka kuwa chawa wangu, siku nzima kuniuliza tu story za mtoni.. Alikuwaga na emails kibao anawasiliana na watu mara sijui vyuo wanasema watampeleka mtoni.
Kuna jamaa walimtengeneza akajaa akawatumia laki tatu wamvute Marekani. Hiyo laki tatu aliwapa wakiwa katika ya mwisho kabisa na ilikuwa ni malipo ya kupewa visa (Alipigwa).
Ilikuwa mwaka 2003 mwanzoni, kama kesho yake ndo anaenda kuchukua "visa" akawa anatamba mtaani, "kabla inda club haijashuka chati nitakuwa mtoni"
Back to the question why do most Tanzanians and Africans at large feel at home in the US?
Dada angu ambae yupo USA tangu mwaka 97 sasa anafikiria kurudi Tanzania kumalizia maisha yake Tanzania.
Hilo ni la kwako, Mimi nimekuweka sawa ujuwe kwamba Mo Dewji hajawahi kutafuta mtaji wa biashara usidanganye watu.Kila Mtanzania ana wazazi wake.Wakati wazazi wa Dewji walikuwa wakichacharika kuhakikisha watoto wao wana feel at home Tanzania hao wazazi wa hao wakimbilia Marekani mfano walikuwa wakifanya nini cha maana hadi kusababisha watoto waonwaka aka feel at home Marekani sio Tanzania kama Mo Dewji?
Akili zako unazijuwa mwenyewe, hao ndio wananunuwa property kabisa USA kama Apartment kwa mfano.Mtu aliyetoboa kimaisha na kufanikiwa kimaisha Tanzania hawezi hata siku moja kwenda ku feel at home Marekani
Wanapangisha mbona hawaishi huko..Muda mwingi wako Tanzania.Wengine hizo nyumba ni holiday homes tu.Huenda mara moja kwa mwaka likizo au mapumziko.Tu lakini sehemu wanayo feel at home ni Tanzania sio.Marrekani.Akili zako unazijuwa mwenyewe, hao ndio wananunuwa property kabisa USA kama Apartment kwa mfano.
Kama Jakaya Kikwete hajatobowa basi nitakubaliana na wewe.
Na bunduki na kuuana na ubaguzi na vichaa wengi(ambao ki muonekano wako smart kabisa)Kw a sababu kule kunautawala wa sheria na haki za binadamu tofauti na hapa kila kitu kiko hovyohovyo tu
Mkuu kwani mtu akitamba anaishi marekan kuna ubaya gan?Mo Dewji kasoma marekani kaishi Marekani lakini ana feel at home Tanzania .Ubilionea wote kaupatia Tanzania. Utamwambia a feel at home marekani?
Malofa walioshindwa kutoboa kimaisha Tanzania ndio hu feel at home Marekani