Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Bora ukusoma mada yake kubwa ipo kudeal na wakristu wasomi ๐ kwan muslims hawana haki ya kusoma, nipo na mdada niliwahi soma naye kipindi flan anakwambia nikimaliza baba hataki nikafanye kazi sehemu yoyote hadi akiolewa atapokua kwa mumewe ruksa na kasoma,,, sasa si angekaa nyumbani tu.Kwani mkuu kusoma ndio kuwa tajiri? Kwamba mimi nimesoma afya sawa sina hela ila kazini kwangu nafanya upasuaji unafanikiwa na watu wanarudi kuendelea na maisha yao kama kawaida
Napo utasema tu kuwa siitumii vzr elimu yangu kwakuwa sina pesa? Samahani lkn sijasoma ulichoandika nimepita tu na kichwa cha mada
Kama thread yenyewe ndo hii, Basi Wakristo wataendelea kuwa wasomi.. ๐๐๐.Kwa Tanzania hapa wakristo wanajinasibu ni wasomi wa darasani kuliko dini zingine yaani wao kutwa kuwabully waislamu kwamba hawajali kuhusu elimu ya dunia lakini hao...
Da hii post ina vitu muhimu ndani yake ila ndio hivyo mtoa maada kaja kidini dini zaidi..Kwa Tanzania hapa wakristo wanajinasibu ni wasomi wa darasani kuliko dini zingine yaani wao kutwa kuwabully waislamu kwamba hawajali kuhusu elimu ya dunia lakini hao hao wakristo wanajinasibu kwamba Wana elimu kubwa kwenye nchi hii hawana mchango wowote kwa maendeleo yoyote yale ndio kwanza nchi inaenda kwenye lindi la umasikini hatuoni mchango wa elimu Yao
Kiongozi wa dini anajinasibu ana masters eti PhD lakini PhD ipo kwenye makaratasi ila kwa ground hamna kitu ila sasa usomi wao upo kwenye sheria na kada zingine ambazo hazina fiada yoyote ile ili ipige kwenye maendeleo wasomi wa teknologia,sayansi,kilimo na uhandisi sasa wewe msomi wa sheria ya katiba unajiita msomi ๐ฅ๐ฅ๐ฅ?
Tunataka usomi wa vitendo sio usomi wa kwenye makaratasi kutwa kupiga kelele tu halafu hamna maendeleo yoyote yale mpaka miaka 63 nchi ipo kwenye lindi la umasikini halafu kuna watu wanajiita wasomi wapo Tu.
Mtoa mada yuko sahihi kila siku humu kejeri dhidi ya waisilam kuwa hawajasoma ni nyingi sana.Da hii post ina vitu muhimu ndani yake ila ndio hivyo mtoa maada kaja kidini dini zaidi..
Ila Africa inabidi tuangalie mifumo yetu ya elimu..
Yani bongo unakuta vyuo vya vitendo kama VETA vinadharauliwa na waliofaulu o-level au a-level..
Au unakuta mtu kafaulu vizuri masomo ya sayansi ila chuo anaenda kusomea uhasibu au maungwini mengine..
Yani huku msomi ni yule anayejua kupiga soga na kufanya uchambuzi kwa maneno ila hata kutengeneza kistuli hawezi
We Mzee,nini hiki umeandika?Ko hadithi yako ww kama muslim inatufundisha nn na umepiga harakati gani kwa msaada wa dini yako kuifikisha Tz huko unadhani ilitakiwa kua,,, are their working for their churches?
Au wanawork katika dini zao?? Kwan huoni dini zao wakiziendeleza akina mwamposa, akina Musa sijui Musa temboni huko dar huoni walianza wap na wapo wap angalia makanisa katoriki wanashida?
Hao ndo wapo kwa ajili ya makanisa yao ww nawe eleweka upo kwaajili ya uislam au upo kwaajiri ya taifa deal huko ukija kitaifa tatua matatizo kitaifa ukitaka dini kaanzishe misikiti na makanisa huko jenga huko.... sidi ni ndugu
Wanao tutesa ni nyie vilaza msio jua kusoma maana tumetumia muda mwingi kuwavuta watu wajinga na wa ivyo kama ww ,ndo maana mnatuvuta nyuma Kwa wastan ila tungejua mbali kama sioKwa Tanzania hapa wakristo wanajinasibu ni wasomi wa darasani kuliko dini zingine yaani wao kutwa kuwabully waislamu kwamba hawajali kuhusu elimu ya dunia lakini hao hao wakristo wanajinasibu kwamba Wana elimu kubwa kwenye nchi hii hawana mchango wowote kwa maendeleo yoyote yale ndio kwanza nchi inaenda kwenye lindi la umasikini hatuoni mchango wa elimu Yao
Kiongozi wa dini anajinasibu ana masters eti PhD lakini PhD ipo kwenye makaratasi ila kwa ground hamna kitu ila sasa usomi wao upo kwenye sheria na kada zingine ambazo hazina fiada yoyote ile ili ipige kwenye maendeleo wasomi wa teknologia,sayansi,kilimo na uhandisi sasa wewe msomi wa sheria ya katiba unajiita msomi ๐ฅ๐ฅ๐ฅ?
Tunataka usomi wa vitendo sio usomi wa kwenye makaratasi kutwa kupiga kelele tu halafu hamna maendeleo yoyote yale mpaka miaka 63 nchi ipo kwenye lindi la umasikini halafu kuna watu wanajiita wasomi wapo Tu.
Yaan ilkua ni aibu tupu ,mtu mzima unauliza akiomba ushaur au kaamka asubh na janaba kaanza kuongea?Kama thread yenyewe ndo hii, Basi Wakristo wataendelea kuwa wasomi.. ๐๐๐.
1. Hakuna kipindi nilicho wazarau masheikh kama wakati wa DP WORLD.
Hoja gani anayo?Subir matusi mkuu,lakini una hoja hasa,
Mtu ambae amesoma PHD ya theology ni sawa sawa na alio maliza form six comb ya PCB,......hizo phd zao hazina impact yoyote wapo wapo kama raia wengine.Kwa Tanzania hapa wakristo wanajinasibu ni wasomi wa darasani kuliko dini zingine yaani wao kutwa kuwabully waislamu kwamba hawajali kuhusu elimu ya dunia lakini hao hao wakristo wanajinasibu kwamba Wana elimu kubwa kwenye nchi hii hawana mchango wowote kwa maendeleo yoyote yale ndio kwanza nchi inaenda kwenye lindi la umasikini hatuoni mchango wa elimu Yao
Kiongozi wa dini anajinasibu ana masters eti PhD lakini PhD ipo kwenye makaratasi ila kwa ground hamna kitu ila sasa usomi wao upo kwenye sheria na kada zingine ambazo hazina fiada yoyote ile ili ipige kwenye maendeleo wasomi wa teknologia,sayansi,kilimo na uhandisi sasa wewe msomi wa sheria ya katiba unajiita msomi [emoji1634][emoji1634][emoji1634]?
Tunataka usomi wa vitendo sio usomi wa kwenye makaratasi kutwa kupiga kelele tu halafu hamna maendeleo yoyote yale mpaka miaka 63 nchi ipo kwenye lindi la umasikini halafu kuna watu wanajiita wasomi wapo Tu.
Na hao ndo tunaambiwa hawakusomaMatajiri wakubwa tanzania ni waislamu na walipa kodi wakubwa bongo ni waislamu hapo unaonaje?
Iyo nayo ni mada nyingine tofautiHoja gani anayo?
Hapa ishu siyo wakristo kuwa wasomi alafu nchi ni masikini. Issue ni Africa(ngozi nyeusi) kuwa na Kila kitu lakini tumejuwa masikini wa kutupwa.
Poverty in the midst of prentiful.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kweli acha utani mkuu, ntasimangwa bure humuMy brother, my role model@covax[emoji120][emoji120]
Tumefika. Ndugu mdau, Tanzania ni nchi yenye watu wa dini mbalimbali na hata wasio na dini. Kwanini anatutwisha dhambi ya umasikini wa watanzania? Angetaka usawa bin haki angeangaza kwa hilo kundi la wakristo na kuangalia kiwango cha umasikini wao ndio atoe kauli jumuishi kama aliyosemaNdugu Zangu Katika Imani
Njooni
. TEC walikuwa wanatetea mali ya nchi ( urithi wa mtanganyika) ili ulete matunda kwa mzawa.Yaan ilkua ni aibu tupu ,mtu mzima unauliza akiomba ushaur au kaamka asubh na janaba kaanza kuongea?
Elimu ipi? Wakati mimi napasua mabusha ya ndugu yako huko tamisemi. TEC walikuwa wanatetea mali ya nchi ( urithi wa mtanganyika) ili ulete matunda kwa mzawa.
. Masheikh walivyo haidiwa tu makontena ya tende na kujengewa misikiti, wakaja juu kuwa kwa vile sa100 ni nuislam ndo maana wakatolic hatumpendi ๐ฎ๐ฎ๐ฎ
. Sa100 naye akavimba kichwa, route za Ndege kila siku uarabuni ๐๐๐, kazi kweli kweli
Mtu anayekunyima elimu ni muuaji
Tanzania kwa 95% imejaa educated fools.Kwa Tanzania hapa wakristo wanajinasibu ni wasomi wa darasani kuliko dini zingine yaani wao kutwa kuwabully waislamu kwamba hawajali kuhusu elimu ya dunia lakini hao hao wakristo wanajinasibu kwamba Wana elimu kubwa kwenye nchi hii hawana mchango wowote kwa maendeleo yoyote yale ndio kwanza nchi inaenda kwenye lindi la umasikini hatuoni mchango wa elimu Yao
Kiongozi wa dini anajinasibu ana masters eti PhD lakini PhD ipo kwenye makaratasi ila kwa ground hamna kitu ila sasa usomi wao upo kwenye sheria na kada zingine ambazo hazina fiada yoyote ile ili ipige kwenye maendeleo wasomi wa teknologia,sayansi,kilimo na uhandisi sasa wewe msomi wa sheria ya katiba unajiita msomi ๐ฅ๐ฅ๐ฅ?
Tunataka usomi wa vitendo sio usomi wa kwenye makaratasi kutwa kupiga kelele tu halafu hamna maendeleo yoyote yale mpaka miaka 63 nchi ipo kwenye lindi la umasikini halafu kuna watu wanajiita wasomi wapo Tu.