Nimeangalia nchi Saudi Arabia, China, South Africa na nyingine kama hizo ambazo kipindi flani tulikua nao sawa ila kwa sasa wametuacha mbali sana.
Hivi ni kweli hatuwezi jenga hata matundu choo mpaka tusaidiwe na Marekani?
Tuna kila kitu kuanzia rasilimali kama gesi, dhahabu nk nk lakini why sisi ni maskini?
Nimeangalia nchi Saudi Arabia, China, South Africa na nyingine kama hizo ambazo kipindi flani tulikua nao sawa ila kwa sasa wametuacha mbali sana.
Hivi ni kweli hatuwezi jenga hata matundu choo mpaka tusaidiwe na Marekani?
Tuna kila kitu kuanzia rasilimali kama gesi, dhahabu nk nk lakini why sisi ni maskini?
Mazi
Nimeangalia nchi Saudi Arabia, China, South Africa na nyingine kama hizo ambazo kipindi flani tulikua nao sawa ila kwa sasa wametuacha mbali sana.
Hivi ni kweli hatuwezi jenga hata matundu choo mpaka tusaidiwe na Marekani?
Tuna kila kitu kuanzia rasilimali kama gesi, dhahabu nk nk lakini why sisi ni maskini?
Sababu ni hizi:
1. Wa Tanzania hatuna Uzalendo na Nchi yetu.
2. Ubinafsi unatufanya tuendelee kuwa masikini. Ukiwa na Chance unashindwa nini kumsaidia jirani yako? Watu wanaogopa kuwasaidia sababu wanajua watawazidi au wanajua wakisaidiwa wakafanikiwa wataaza kuwakejeli na kuwatharau.
3. Bado hatuna malezi manzuri, Kijana muda wote anawaza Ngono na Pisi Kali huyo atapambana kweli?? Jibu hapana. Kadri unavolala na wanawake wengi do unapata nafasi kubwa ya kuwa masikini.
4. Uzembe do unaotufanya tuendelee kuwa masikini, imagine mtu asubuhi anaamkia kucheza Draft au Kamali unategemea huyo mtu ataweza kujikwamua na umasikini.
5. Hatuna uzalendo wa kufanya kazi kwa bidii, watu ili wafanye kazi wanahitaji External Force.
6. Extended Family inachangia sana, Mwanaume unauwezo wa kulea watoto 5 wewe unazaa watoto 15, hapo utatoboa kweli?
7. Elimu zetu zinatuandaa kuwa waajiriwa wa serikalini sababu, Somo la biashara hawalipati wengi zaidi ya asilimia 90 ya wanachuo hawajasoma somo la biashara, hata kama wagesoma bado tu wasigeweza kufanya vizuri sabab mitaala yetu ni theory oriented.
8. Serikali bado haitusaidii sisi wana nchi wake, Jiulize tu HARRIER inauzwa Milioni 15 hadi 16 Japan hadi bandari ya DSM, bado hapo mtu unapaswa kulipa KODI KUBWA kuliko bei ya Gari, what do you expect hapoo??
9. Kukithiri kwa Rushwa hii inachangia kuendelea kuwa masikini.
10. Upendeleo au kutokuepo kwa usawa katika Suala nzima la Maendeleo ya kijamii na kitaifa.
11. Usimamizi mbaya wa Rasilimali Mama za Taifa (Madini, Banfari, Hifadhi, Mapato)
12. Ukosekanaji wa Viwanda vya kisasa, sababu tunachokizalisha hatuwezi kukichakata kwa ajiri ya kuwa Rawfull material na kuuza kweny masoko ya Dunia.
Sababu ni nyingiii sana.
Ushauri wangu.
Mtoto anapoaza shule ya msingi tu litolewe somo la:
1. Somo la uzalendo
2. Somo la biashara
3. Somo la malezi na utamaduni