Bibi Ntilie; Umezungumzia umuhimu wa kilimo sema umetumia lugha ya tofauti tu,sasa ulitakiwa kuuendeleza mjadala mbele...Kwamba ni kwa vipi tumeshindwa kwenye kilimo?

Mushi,

Siamini ktk hii nadharia kwamba ili tuendelee tunahitaji asilimia 80 ya watz wajishughulishe na kilimo per se. Mi nadhani kungekuwa na mgawanyiko wa kazi / shughuli mzuri kulingana na suitability ya mahali, mfano, sehemu zenye maji ya kutosha zijishughulishe na kilimo cha mazao yanayohitaji maji ya kutosha, maeneo mengine kuna sources of fossil fuel, viekwe viwanda vyenye kuhitaji hiyo nishati, sehemu za maziwa na bahari ziekwe kwenye priority ya uvuvi, na shughuli za bandari, et etc. Nadhani awamu ya kwanza ambapo serikali ilikuwa inajitahidi kueka mgawanyo wa viwanda mathalan, vya nguo kwenye kilimo kikubwa cha pamba, katani kule Tanga etc, ilikuwa move nzuri, na at least tunaona kulikuwa na ka-vision ingawa hakakuwa realised in fully kwa sababu mbalimbali.
 

Zhule you are right.

Kama serikali haituongozi kwene muelekeo sahihi wa maendeleo aau ina ZERO inputs it is now, mie binafsi sioni kaa ina-legit reason ya kuepo.It is better kaa itaenda motoni PERIOD. Serikali inatarajiwa iwe 'mkono mrefu' ambao mtu mmojammoja hana ubavu au capacity ya kuazimia kutekeleza mambo fulanifulani. Ndio maana we need to be govern at national level by ONE ORGAN, nia ni kuwa na uniformity ktk njia ya kuyafikia maendeleo. Nilikuwa naangalia documentary moja mchina mmoja akasema hana haja ya kuipenda serikali yake bali anaiamni serikali yake. Ningependa siku moja na sisi watz tujivunie serikali yetu.
 
Swali hapa siyo "Ni Lini Tutaondoka kwenye Kundi ..." bali "Ni Vipi Tutaondoka kwenye Kundi ..."

Inavyoonekana hili la pili ni swali gumu zaidi kupata majibu, siyo?

Njabu the Dude,

Si kwamba hatujui vipi, bali tunajua sana ni vipi kuachana na Umasikini na ni jinsi gani ya kuondokana na Umasikini. Tatizo letu ni utashi kuamua kuanza kufanyia kazi, ndio maana nauliza ni LINI?

Kwa wengine,

Kwa nini tunaendelea kuwa kama fisi tukisubiri mkono uanguke ndipo tule? Kwa nini tudai ni mpaka CCM iondoke? Je isipoondoka?
 

Basi isipoondoka ndiyo tutakuwa hivi hivi! Hata kama una vision zako za kuachana na umaskini as an individual utawakuta CCM wamesimama wanakuzuia!!
 

That sound good Tuma, naona watu wanavyopigana humu hata kutuletea habari za wabunge, hamna kitu kule, kupotezeana muda na kutuletea umaskini tu.

Yaani hata bunge likiondolewa leo hii hutajua kuwa halipo au lipo!
 

Why not be the first one? Si ndio maana kuna kitu kinaitwa mapinduzi? Yalianza mapinduzi ya kuvumbua moto, yakaja ya viwanda na hata kilimo na sasa kuna ya fikra na hata teknolojia.

Kwa nini Watanzania wasiwe wa kwanza kufanya mapinduzi ya kujituma na kujiendeleza na kuiacha Serikali solemba?
 
Bibi Ntilie; Umezungumzia umuhimu wa kilimo sema umetumia lugha ya tofauti tu,sasa ulitakiwa kuuendeleza mjadala mbele...Kwamba ni kwa vipi tumeshindwa kwenye kilimo?

Mushi,

Kwani vijijini ni lazima shughuli za uzalishaji mali ziwe ni Kilimo pekee? Je hauwezi kupeleka viwanda na shughuli nyingine na kutumia internal cheap labour?
 
There are a million ways Tanzania can develop and move forward. The problem is we are trying a little bet of everything and ending up failing miserably. I say we should prioritize. What are the things most important and most urgent to us as a nation? After we prioritize we find ways to achieve success in the priorities. Make clear short term and long term plans which are implementable and stick to it! Siyo tuna sema "Kilimo kwanza" then there is nothing done about kilimo. Pinpoint the problems, make goals, implement. Tatizo tunaangalia urefu wa pua, nobody wants to see 10, 20 or 30 years ahead.
 
Naomba niwanukuu hawa ndugu zangu fulani (jina kapuni) ili kupanua wigo wa mjadala huu (tahadhari, nimewanukuu bila idhini ndio maana sikuweka wasifu wao)

Wa kwanza
Wa pili
Wa tatu
 
That sound good Tuma, naona watu wanavyopigana humu hata kutuletea habari za wabunge, hamna kitu kule, kupotezeana muda na kutuletea umaskini tu.

Yaani hata bunge likiondolewa leo hii hutajua kuwa halipo au lipo!

Yes mkulu Wabe, ze bunge is a useless distraction.

Kwanza lipo toothless, pili linatawaliwa na UCHAMA badala ya FACTS. Tatu lina watu wanaotaka kuhoji vitu wasivo na ujuvi navyo.

Ukiangalia kwa makini mamilioni ya fwedha za wavuja jasho yangeweza kuokolewa kwa kuscrape maigizo ya pale Dodoma, na kamati za kuchukua posho mara mbilimbili BILA OUTPUT.

Naamini kungekuwa na nia njema, watendaji ktk wilaya wangekuwa wawakilishi tosha kabisa wa wananchi kwa sababu kwanza wana ilmu kuhusu fani zao, pia wana madiwani huko ambao huwa-bombard maswali ya msingi kabisa kuhusu maeneo yao.

Labda ktk national level kungekuwa na system ingine ya check and balance kwa mikakati ya kiserikali ambayo ipo ktk national level. Lakini tulivo sasa hakuna nia njema na kila mtu anataka a-capitalize kwa kupitia siasa..
 
Never! Ni nchi gani ya Black Africa isiyo kwenye kundi la nchi za dunia ya tatu? Do you see a pattern here...?

Kinachotuweka na kuendelea kutushikilia kwenye kundi hilo pamoja na mambo mengine ni mawazo ya aina kama yako.
Watu wote wakiondokana na mawazo kama yako, tukajipanga vizuri kwa kuweka viongozi wenye fikra za kimaendeleo, wasiojali maslahi binafsi kama waliopo sasa, watz tuondoe fikra za kusaidiwa hata mambo tunayoweza, then twaweza kupiga hatua kutoka huko.
 
Tutaondoka kwenye lindi hili la umaskini kama tutawachagua viongozi serious na kuwawajibisha wale wanaoshindwa kupafomu inavyotakiwa..and CCM lazimaitoke madarakani.

Je wanachi tumejitayarisha vipi kutoka steji moja kwenda nyingine? Kwa mfano ukienda ofisi za serikali katika watu 10 wanaofanya kazi 2 wengine ni semina , warsha kongamano, maonyesho ya sabasaba, nanenane, utumishi wa umma , siku ya sheria, watoto , wastage of time left right and centre. Attitude ya wafadhili, wawekezaji toka nje bado tunayo. Ukija kwenye utekelezaji utasikia tunahitaji fedha wakati fedha tunazo nyingi tu ila hatujui jinsi ya kuzipata kutokana na resources zilizopo, na hizo chache tunazozipata hatuna priority na matumizi yake.

Nenda wizara ya ardhi uone madudu nenda Brela ( Msajili wa makampuni) kitu cha dakika kumi kitachukua mwezi hata wangekuja democrats au republicans with that kind of attitude sidhani kama tunaweza kusogea hata sentimita moja. mawazo ya wananchi lazima yawe propgressive kwanza halafu mengine yatafuata.
 
Mkuu wa kaya mwenyewe alisema anashangaa?, ila mafanikio ya nchi yanatokana na mafanikio ya mtu mmoja moja, namaanisha kila mtu akifanya bidii kujiinua kimaisha,kisha tukawa na wananchi waliojiinua kimaisha inamaanisha itakua nchi yenye mafanikio
 
Kishoka,Abdulhalim et al;
Ni vipi tena wakuu?Asilimia kubwa ya raw materials si zinatoka shambani?Pia si lazima viwanda vifunguliwe huko vijijini,tunaweza kufungua processing plants,pia bidhaa za vyakula si lazima ziwe proccessed?Bi lazima investment ziwe mahali watu wapo otherwise mtaanza kuhamisha hamisha watu kaa vijiji vya ujamaa ama kuinvsest "Mijini" mifukoni mwa mafisadi?Ama mkisikia kilimo nyie ni mahindi na maharagwe pekee?
Kwa kifupi bidhaa ambazo raw materials zake hazitoki shamba ni chache sana!na hayo mambo ya kilimo persee ndugu Abdulhalim yametoka wapi ?
Pointi yangu ya msingi ni kwamba ni lazima tu invest vijijini.ni lazima tuanzie huko,hizo bidhaa mnazosema viwanda vianzishwe huko mnakotaka nyie ni nani atanunua kama asilimia 80 ni masikini?Ama ni uchumi wa mafisadi kwa mafisadi mnataka muuendeleze?
 

sasa mkuu si utulie kidogo ili tukuelewe.
 
Akili zako zinaonekana ni za kushikiwa ndiyo maana unaandika vitu ambavyo havina kichwa wala miguu. Kama nchi yetu ni maskini inakuwaje basi Kikwete analipwa mshahara mkubwa kama wa nchi tajiri pamoja na Wabunge na mawaziri na marupurupu chungu nzima? Hebu acha kuandika upumbavu wako hapa!
 

Haya sasa...

Malaria Sugu si kitu ya mzaha jamani!...Ogopa sana!

We juzi si ulisema kwa udi na uvumba kura yako ni kwa kikwete?...Sa shida yako nini?
Kaa utulie bana!
 
I think someone here would need brain surgery sooner than later!
 
walisema ccm ni ya waislamu na kwamba wao ndo wengi kwenye uongozi kwa sababu ndo waanzilishi. zamani hizo anazoongelea ilikua chama kushika hatamu ya uongozi yaani ndo ilikuwa dola. sasa yake hayo mbona ni kinyume.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…