Wakuu heshima zenu
Nimekuwa nikifikiria kuhusu nchi yangu kimaendeleo nashindwa kupata jibu.Kwanini nchi yetu bado tupo nyuma sana ilhali tuna vitu vingi vya kutufanya tusonge mbele.Kwa uelewa wangu mdogo nadhani kuna kitu kimoja hatunacho.Hiki kitu si kingine bali ni nishati bora na yenye uhakika.Hapa ndimbo mchawi wetu alipo.
Nawasilisha
Madinimdau kwanza jaribu kuainisha hapa ni vitu gani vingi uonavyo vinafaa kutufanya tuendelee????
Wakuu heshima zenu
Nimekuwa nikifikiria kuhusu nchi yangu kimaendeleo na kupata jibu hili.Kwanini nchi yetu bado tupo nyuma sana ilhali tuna vitu vingi vya kutufanya tusonge mbele.Kwa uelewa wangu mdogo nadhani kuna kitu kimoja hatunacho.Hiki kitu si kingine bali ni nishati bora na yenye uhakika.Hapa ndimbo mchawi wetu alipo.
Nawasilisha
Wakuu heshima zenu
Nimekuwa nikifikiria kuhusu nchi yangu kimaendeleo na kupata jibu hili.Kwanini nchi yetu bado tupo nyuma sana ilhali tuna vitu vingi vya kutufanya tusonge mbele.Kwa uelewa wangu mdogo nadhani kuna kitu kimoja hatunacho.Hiki kitu si kingine bali ni nishati bora na yenye uhakika.Hapa ndimbo mchawi wetu alipo.
Nawasilisha
Akili!
Ndg wana jf.mimi nashangaa sana kutokana na mali tz ilonazo kama aridhi,maji,misitu,wanyama,madini n.k...kulikoni kuishi kimaskini na kuombaomba huku mikataba ya miaka miamia ikifungwa,kwanini tusitumie mali hzo kuhahakisha kwamba kila mwananchi anafaidi