Nimejibu nilichoulizwa.

Mtoa mada kasema Watanzania ni masikini.

Nikamjibu kwamba siyo wote masikini. Mimi siyo moja wapo ya hao masikini anaowasema.

Kwani utajiri ni kuwa na mabilioni tu?
Kwani wewe ndio unayeitwa watanzania?.Watanzania ni utambulisho wa jumla na Mo na bahresa wako umo ndani.sasa sijajua kwanini unataka mtoa mada amwongelee mtu mmoja mmoja wakati iko wazi kua nchi hii ni moja ya nchi maskini duniani.Wewe mtu mmoja kuweza kukidhi mahitaji yako hakuiondoi nchi kutoka kwenye umaskini.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Naomba nikuletee vijana kumi maskikini wa kitanzania angalau uwape ajira waweze kujipatia angalao uhakika wa mlo[emoji848]
Unakuta hata kuajiri watano tu hana uwezo huo. Mara nyingi masikini wengi ndio hao wanaojitutumua kujiona tajiri.
 
Tupiganie kujenga mifumo thabit ya nchi ili yoyote awe na uwezo wakuongoza.Hii kasumba yakuangalia watu na vyama kamwe haiwezi kutufikisha mahali.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Kila binadamu amezaliwa na uwezo wa kukidhi mahitaji yake yaani hahitaji kufundishwa.

Fanyeni kazi tafuta hela acha kutegemea watu watakupa pesa
Sawa. Wanaendelea kutafuta hela,hilo halijaweza kumaliza tatizo la nchi yako na watu wake na wewe ukiwemo kuitwa masikini
 
Una rasilimali ila huna mtaji wana technolojia,1+1 sio mbili kila sehemu
 
Tatizo la nchi hii ni matumizi makubwa ya serikali, angalia kuanzia Rais mpaka wakuu wa idara, mishahara mikubwa, marupurupu, na mengine bado magari n.k
Hilo kwa kweli ni tatizo kubwa sana. Imagine Mawaziri, Wakurugenzi, Makatibu Wakuu, Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya nk. wote hao utakuta wanatumia zaidi ya gari moja kwa siku. Tena magari ya gharama kubwa ...... Wengine mpaka wanatumia magari ya serikali kupeleka watoto wao mashuleni. Tanzania nafikiri nchi inayoongoza kwa serikali kuwa na madereva wengi .....!!

Personally, huwa anangalia kampuni kama ya TANROAD au TRA hivi kweli hao Maofisa na Mainjinia hawawezi kujiendesha wenyewe. Yaani mtu kwenda lazima apelekwe na kurudishwa naa Driver .... Engineer mzima!!

Kuna watu wanaendeshwa na Madereva mpaka kwenye michepuko yao ..... Yaani ni kama vile serikali imebariki hayo ....Pathetic!!
 
Nchi nyingi za kiafrika ndivyo zilivyo, iangalia Kongo.
Tatizo ngozi nyeusi bado haijastaarabika. Yaani haijafikia katika hatua ya juu ya ubinadamu.

Hapo hata ichukue CHADEMA au CHAWATA hali inaweza kuwa mbaya zaidi.
Ikichukuwa Chadema au cuf mabadiluko yanaweza kutokea endapo hakutakuwepo na vinyongo na malalamiko
Asikwambia mtu huku kukwama kwetu kwenye nyanja mbalimbali za kiuchumi nikutokana na baadhi ya Watanzania wenzetu kuweka vinyongo na chuki

Mf; suala la Elimu Bure limeleta mkanganyiko kwa walimu waliozoea kujipigia mapesa ya michango ya wananchi maskini, sasa Serikali iliposema Elimu Bure ikawaacha njia panda
Kwa hali kama hiyo usitegemee kama tutaondokana kwenye lindi la umaskini.
 
Mkuu huko nikuharibu Ajira za watu
Sasa wakisema wajiendeshe wenyewe hao madereva watakula wapi
Huoni kama utaingeza umaskini?
Acha watanzania wenzako wajipatie kipato kupitia fani yao.
 
Waafrika kwa ujumla wetu tunahangaishwa na:-
1 - Ushirikina
2 - Wizi
3 - Uongo
4 - Uvivu
5 - Kutojiamini
6 - Uthubutu
 
Shida ipo hapo na utitiri wa taasisi, angalia kuna TANROAD lakini hapo hapo kuna TARURA, kuna RUWASA lakini hapo hapo kuna mamlaka za maji yaani ni mambo ya hovyo sn
 
Mkuu huko nikuharibu Ajira za watu
Sasa wakisema wajiendeshe wenyewe hao madereva watakula wapi
Huoni kama utaingeza umaskini?
Acha watanzania wenzako wajipatie kipato kupitia fani yao.
Hakuna fani ya udereva ni matumizi mabaya ya fedha za umma, kwanini wasipewe kazi zingine hata kuwa Forman kwenye miradi ya serikali?
 
Sawa
 
Hatari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…