Kwanini Watanzania na Tanzania ni masikini pamoja na rasilimali (resources) tulizonazo?
20231112_033402.jpg

Kama akili ndo hizo basi hata rasilimali zenyewe zinashangaa
 
Sababu ni maarifa na ujuzi kidogo sana. Pili,.watu wengi huamini nguvu zilizoko gizani !
 
Naona double double [duledule]

Hivi huu mgawo wa umeme na mfumuko wa bei za kijinga hivi vitu chanzo ni nn??!! Manake nalipa kodi yangu ili
nisipate tabu matokeo yangu nakaangika na kodi watu shida?

Sukari bei imeota mbawa unajua sielewi nasema tena shida nini ama kweli nchi hii wazalendo
hamna.

Nchi Ina kila kitu mali za kutosha lakini wanachi wanaishi kwenye umasikini wa KUNUKA
 
Nimeangalia nchi Saudi Arabia, China, South Africa na nyingine kama hizo ambazo kipindi flani tulikua nao sawa ila kwa sasa wametuacha mbali sana.

Hivi ni kweli hatuwezi jenga hata matundu choo mpaka tusaidiwe na Marekani?

Tuna kila kitu kuanzia rasilimali kama gesi, dhahabu nk nk lakini why sisi ni maskini?
 
Nimeangalia nchi Saudi Arabia, China, South Africa na nyingine kama hizo ambazo kipindi flani tulikua nao sawa ila kwa sasa wametuacha mbali sana.

Hivi ni kweli hatuwezi jenga hata matundu choo mpaka tusaidiwe na Marekani?

Tuna kila kitu kuanzia rasilimali kama gesi, dhahabu nk nk lakini why sisi ni maskini?
Ccm
 
Nimeangalia nchi Saudi Arabia, China, South Africa na nyingine kama hizo ambazo kipindi flani tulikua nao sawa ila kwa sasa wametuacha mbali sana.

Hivi ni kweli hatuwezi jenga hata matundu choo mpaka tusaidiwe na Marekani?

Tuna kila kitu kuanzia rasilimali kama gesi, dhahabu nk nk lakini why sisi ni maskini?
Ukisoma huu uzi wote utapata majibu
👇
 
Sera mbovu za Serikali.

Ndio zimesababisha nchi ipo kwenye mkwamo wa umasikini.

Tanzania ikiwekeza vizuri kwenye kilimo Cha umwagiliaji, inaweza kulisha nchi zote za East Africa na itatengeneza ajira nyingi. Ikiweza kupunguza Kodi kwenye viwanda vidogo vya waza itatengeneza ajira nyingi.

Ikiweka kupata working permit atleast watu walipie mil 25 Kwa mwaka Kwa watu wa nje ya East Africa na Mil 12 Kwa East Africa italinda ajira zawatu wa ndani Kwa kiasi kikubwa.

Nchi haiwez kuendelea kwa sababu ya ufisadi wa viongozi.

Katiba ingelazimisha watoto wa viongozi wasome shule za uma, watibiwe hospital za uma, nahao viongozi pia wachunguzwe ukwasi wao unatokana na mishahara tu au kujilimbikizia Mali za masikini.

Pia baadhi ya taasisi zipewe meno yakufanya maamuzi.
 
Back
Top Bottom