Tony Cipriano
JF-Expert Member
- Nov 17, 2022
- 2,139
- 5,109
Tatizo ni viongozi hawana nia thabiti ya kuleta maendeleoNimeangalia nchi Saudi Arabia, China, South Africa na nyingine kama hizo ambazo kipindi flani tulikua nao sawa ila kwa sasa wametuacha mbali sana.
Hivi ni kweli hatuwezi jenga hata matundu choo mpaka tusaidiwe na Marekani?
Tuna kila kitu kuanzia rasilimali kama gesi, dhahabu nk nk lakini why sisi ni maskini?
Watanzania wote ni masikini hao unaowaona matajiri wengi ni janja janja na wizi. Ukifanya nao kazi utaelewa, hakuna mtu tajiri analipa wafanyakazi mishahara duni au kuwadhulumu.Tanzania Sio maskini bali Kuna baadhi ya watanzania ni maskini Sio wote
Nimeangalia nchi Saudi Arabia, China, South Africa na nyingine kama hizo ambazo kipindi flani tulikua nao sawa ila kwa sasa wametuacha mbali sana.
Hivi ni kweli hatuwezi jenga hata matundu choo mpaka tusaidiwe na Marekani?
Tuna kila kitu kuanzia rasilimali kama gesi, dhahabu nk nk lakini why sisi ni maskini?
MaziNimeangalia nchi Saudi Arabia, China, South Africa na nyingine kama hizo ambazo kipindi flani tulikua nao sawa ila kwa sasa wametuacha mbali sana.
Hivi ni kweli hatuwezi jenga hata matundu choo mpaka tusaidiwe na Marekani?
Tuna kila kitu kuanzia rasilimali kama gesi, dhahabu nk nk lakini why sisi ni maskini?
Sababu ni hizi:Nimeangalia nchi Saudi Arabia, China, South Africa na nyingine kama hizo ambazo kipindi flani tulikua nao sawa ila kwa sasa wametuacha mbali sana.
Hivi ni kweli hatuwezi jenga hata matundu choo mpaka tusaidiwe na Marekani?
Tuna kila kitu kuanzia rasilimali kama gesi, dhahabu nk nk lakini why sisi ni maskini?
Tatizo ni ccm.Nimeangalia nchi Saudi Arabia, China, South Africa na nyingine kama hizo ambazo kipindi flani tulikua nao sawa ila kwa sasa wametuacha mbali sana.
Hivi ni kweli hatuwezi jenga hata matundu choo mpaka tusaidiwe na Marekani? Ko
Tuna kila kitu kuanzia rasilimali kama gesi, dhahabu nk nk lakini why sisi ni maskini?
Samia alisema tumetoka uchumi wa kati na sasa tuko uchumi wa chini yaani nchi zenye umaskini mkubwa.Nani kakudanganya kuwa Tanzania ni masikini?
The green mambas(CCM)!!Nimeangalia nchi Saudi Arabia, China, South Africa na nyingine kama hizo ambazo kipindi flani tulikua nao sawa ila kwa sasa wametuacha mbali sana.
Hivi ni kweli hatuwezi jenga hata matundu choo mpaka tusaidiwe na Marekani?
Tuna kila kitu kuanzia rasilimali kama gesi, dhahabu nk nk lakini why sisi ni maskini?
Nimeangalia nchi Saudi Arabia, China, South Africa na nyingine kama hizo ambazo kipindi flani tulikua nao sawa ila kwa sasa wametuacha mbali sana.
Hivi ni kweli hatuwezi jenga hata matundu choo mpaka tusaidiwe na Marekani?
Tuna kila kitu kuanzia rasilimali kama gesi, dhahabu nk nk lakini why sisi ni maskini?
Wewe unajazwa ujinga na unaendelea kukujaa. Mimi naamini kama nchi Tanzania sio masikini. Bali, Watanzania ndio masikini wa akili.Samia alisema tumetoka uchumi wa kati na sasa tuko uchumi wa chini yaani nchi zenye umaskini mkubwa.
Botswana? Namibia?Huu uongo kwamba mlikuwa sawa na China sijui mmelishwa na nani?
Anyway tatizo ni ngozi nyeusi, popote alipo mtu mweusi ni matatizo!
🙄MTU mweusi ndivyo alivyo
Kama unadhani watu ni masikini kisa hawana pesa ,majumba au magari utakuwa unakosea.
Tafuta masikini yeyote umpe hela then utazame matumizi yake!
Duniani kote alipo MTU mweusi huwa hakuna maendeleo
Mkuu, what a good publication you have presented today about the opposition more especially CDM!These CHADEMA's operatives may have preconeived notions about Tanzania that are not grounded in reality-lets face it, none of these 'scripted rhetoric' messages came with a solution.
CHADEMA has to engage its citizens in a dialogue that is rooted in respect. And not negative reinforcement that are compounded with superficial judgment.
Much like how borders can be seen as arbitary lines that don't necessarily reflect the true nature of a region or its people. CHADEMA arbitarily uses foreing agents to spearhead provocative, senseless and unfounded narrative to fit its agenda in Activism, by mocking Tanzania's citizens?
To you who hide behind scripted messages and digital avatars to spread such misconceptions, know that your actions are a diisservice to Tanzania.
CHADEMA, you must change your narratives, and strive for deeper comprehension that goes beyond superficial judgements. Tanzania, like all nations, cannot be defined by a single narrative or a singular issue, for instance the presence or absence of latrines.
Question to the CHADEMA hired Operatives-Why are you hiding in the guise of being Tanzanians? Why digital blackfacing?
Your digital masks perpetuates hate and division and distorts and diminishes the lived experiences of Tanzanians.
Somewhat, you think the words you're using are not harmless; well, they are. They contribute to a narrative that dehumanizes and mocks and slander, all under the guise of fostering development, democratic ideals and so on using humor or social commentary or the 'Savior mentality, where you believe you're helping or saving Tanzania problems while actually perpetuating stereotypes.
CHADEMA cannot solve Tanzanias problems if it continues to engage foreign operative and agents in a socio-political sphere that is culturally different from them.
I urge all Tanzanians to reject CHADEMA their foreign agents and Operatives and their digital masks that perpetuate hate and division, and instead urge CHADEMA and its affiliates of foreign advesaries to engage in a dialogoe rooted in respect and truth.
We must challenge these narratives.
Tatizo ni zaidi ya ccm. Ingekuwa tatizo ni ccm peke yake, basi chadema sasa hivi kingekuwa chama cha kupigiwa upatu kila mahali kwa kuleta revolution ideas za kimaendeleo. Lakini wapi, hata kiwanja tu cha kujenga ofisi ya makao makuu ya chama hawana!Kwa sababu ya CCM.
Hilo halina mjadala.
Ni kama Cuba bado wanaishi maisha ya miaka ya 1950's.
Inasikitisha sana.
Jibu ni uwepo wa CCM madarakani.Nimeangalia nchi Saudi Arabia, China, South Africa na nyingine kama hizo ambazo kipindi flani tulikua nao sawa ila kwa sasa wametuacha mbali sana.
Hivi ni kweli hatuwezi jenga hata matundu choo mpaka tusaidiwe na Marekani?
Tuna kila kitu kuanzia rasilimali kama gesi, dhahabu nk nk lakini why sisi ni maskini?