Kwanini Watanzania na Tanzania ni masikini pamoja na rasilimali (resources) tulizonazo?
Mchambuzi: Ni kweli kuwa kuna ncha mbili zinazotudumaza za ndani na za nje, za ndani ni asilimia 60 na za nje ni 40. Za nje ni 40 kwasababu ingekuwa ni kubwa kama unavyosema basi tusingekuwa na tofauti ya umasikini wa Kilimanjaro na Singida au Mbeya na Kigoma. Kwa vile sababu kubwa ni za ndani tofauti ya Kagera na Mtwara inakuwa wazi.

Hivi unafahamu kwamba masuala mengi sana huko mikoani/vijiji yanaendeshwa na Donor Funded Projects? Na hakuna consistency wala coordination ya kupima impact ya shughuli hizi in a consistent way, kwani unakuta upande wa nchi au mkoa, mashariki wapo wa-sweden sijui na mradi gani, magharibi wapo wamarekani na mradi mwingine, kaskazini wapo wajerumani wakifanya hiki, kati wapo waingereza na hili, humo humo kuna wachina wanajenga barabara huku wakichimba madini humo humo njiani n.k.
 
Kwa hiyo nakubalina na wanaosoma kwamba tatizo kubwa kwamba mpaka sasa hatujajitambua. Leo hii tukiulizwa national treasurer za tanzania ni zipi . hta viongozi wenyewe hawajui.

Hata sidhani kama serikali inajua maana ya national treasure ni nini. Ukiwauliza, pengine watakuambia national treasure ni mnyama wa taifa kwahiyo kwetu sisi ni Twiga. Nadhani hili chaguo linatokana na sababu za urefu na madaha ya twiga. Vinginevyo, its possible kabisa kwamba hata Chatu angekuwa anaweza kusimama na kufikiria urefu wa twiga, kungekuwa na ushindani kweli kweli huko serikalini kuhusu national treasure yetu ni nini. Tena ushindani wa kupeana mpaka tender. Otherwise, as you put it rightly, 'Hatujajituambua', na kujitambua ndio msingi wa national treasure.
 
Kwa sababu Nyerere alishindwa kutupa elimu inayostahiki.
Na mkoloni alituachia elimu gani? Na Je, nini tofauti kubwa kati ya Elimu ya Mkoloni by 1961, Elimu chini ya Nyerere by 1985, na Elimu ya 2012 in terms of ubora na huo ustahiki unaouzungumzia? au Udom ndio kipimo cha ubora pamoja na shule kila kata? Naomba utupe na sisi hizo inputs and outputs unazozitumia kubaini huo ustahiki, ili na sisi tupimie efficiency ya elimu katika vipindi hivi vitatu.

Pia haujanirudia na majibu ya maswali yangu ya jana dada yangu mpendwa.
 
Hivi unafahamu kwamba masuala mengi sana huko mikoani/vijiji yanaendeshwa na Donor Funded Projects? Na hakuna consistency wala coordination ya kupima impact ya shughuli hizi in a consistent way, kwani unakuta upande wa nchi au mkoa, mashariki wapo wa-sweden sijui na mradi gani, magharibi wapo wamarekani na mradi mwingine, kaskazini wapo wajerumani wakifanya hiki, kati wapo waingereza na hili, humo humo kuna wachina wanajenga barabara huku wakichimba madini humo humo njiani n.k.
Na hili nalo afadhali umelileta. Kwanza umeonyesha kuwa hakuna coordination na consistency ya donor funded project. Hapa unaunga mkono hoja kuwa tatizo letu ni uongozi. Hatutegemei wanavijiji wafanye coordination hizi.
Wale wenye dhamana hiyo hawajui wafanye nini.

Kwa uzoefu wangu wa kuizunguka Tanzania, nimejifunza kitu kimoja. Mahali penye maendeleo japo kidogo kuna vitu viwili.
Uongozi unaoweza ku coordinate na kuwashirikisha wananchi na Wananchi walio hamasika. Chachu ya yote haya ni elimu.
Angalia sehemu yoyote ya Tanzania inayoizidi nyingine tofauti kubwa inatokana na elimu. Sasa suala la elimu ni la ndani na hili hatujalifanyia kazi. Sidhani donors lazima waratibu hata mipango yetu ya elimu.Mfano, Donor anatakiwa atusaiidie pale tutakapohitaji maabara nzuri ya kisasa katika chuo au shule. Asilimia 60 ya kazi ya ujenzi na uratibu wa mipango ni yetu wananchi tukiongozwa na viongozi.

Kinyume chake viongozi wameacha kazi ya kuratibu na kuwashirikisha wananchi na wamejikita kuomba misaada kwa neno la mfadhili.
Hivi tunahitaji mfadhili wa JICA kuja kuchimba vyoo vya shule na mkuu wa Wilaya akabidhiwe!!
Kwamba Mkuu wa wilaya ameshindwa ku organize hadi wafadhili waje.

Hoja yangu ni kuwa hata kama Donor wanafanya asiliamia 60 na sisi 40, ukweli unabaki kuwa tunapaswa kufanya 60 na ikibidi 40 tuwaombe. Hapa ndipo ninaposema hili la external factor lipo lakini si kubwa kama la internal na hadi tukubali kuwa tunapaswa kujisaidia kwanza kabla ya kusaidiwa hatutaweza kuondokana na utegemezi.
 
In a nut shell, Tanzania ni masikini kwa sababu watanzania wamekubali iwe hivyo. Enough is enough! Kwisha
 
Huduma alizikuta za mkoloni, yeye akaziuwa, sio ruzuku. Funguka.


Nakubaliana na wewe, hizo hesabu blank ndicho alicho kifanya Nyerere.

Halafu uweke na hesabu ya Reserve ya Tanganyika 1961/2 ilikuwa ngapi na 1985 ilikuwa ngapi.

Hizo blanks nimekuachia wewe ujaze, vinginevyo sio kwamba sina takwimu, na zinaonyesha dhahiri kwamba nyerere aliondoka 1985 hizo namba zikiwa za juu kuliko alivyopokea nchi 1961, sasa sijui hoja yako ya nyerere aliua, ailbomoa inaegemea vigezo vipi, wakati ni yeye ndiye aliyejenga, marais waliofuata ndio wakabomoa. Kuhusu reserve ya Tanganyika 1962 versus ya 1985 ni hoja ya aibu kwani hata kama reserve ya 1961/2 ilikuwa kubwa, ilitokana na uchumi wa kuwanyonya watanganyika, na kuwatambua kama tu swala, sungura na ngiri waishio porini. Haikuwa reserve iliyokuwa accumulated kuwahudumia watanganyika. Na je unajua kiasi gani cha capital flight kilitokea kipindi hicho cha 1961/2? Ukiona takwimu ndio utaelewa haikuwa reserve meant for us 'watanganyika', but for them 'wakoloni'.
 
Na hili nalo afadhali umelileta. Kwanza umeonyesha kuwa hakuna coordination na consistency ya donor funded project. Hapa unaunga mkono hoja kuwa tatizo letu ni uongozi. Hatutegemei wanavijiji wafanye coordination hizi.
Wale wenye dhamana hiyo hawajui wafanye nini.

Kwa uzoefu wangu wa kuizunguka Tanzania, nimejifunza kitu kimoja. Mahali penye maendeleo japo kidogo kuna vitu viwili.
Uongozi unaoweza ku coordinate na kuwashirikisha wananchi na Wananchi walio hamasika. Chachu ya yote haya ni elimu.
Angalia sehemu yoyote ya Tanzania inayoizidi nyingine tofauti kubwa inatokana na elimu. Sasa suala la elimu ni la ndani na hili hatujalifanyia kazi. Sidhani donors lazima waratibu hata mipango yetu ya elimu.Mfano, Donor anatakiwa atusaiidie pale tutakapohitaji maabara nzuri ya kisasa katika chuo au shule. Asilimia 60 ya kazi ya ujenzi na uratibu wa mipango ni yetu wananchi tukiongozwa na viongozi.

Kinyume chake viongozi wameacha kazi ya kuratibu na kuwashirikisha wananchi na wamejikita kuomba misaada kwa neno la mfadhili.
Hivi tunahitaji mfadhili wa JICA kuja kuchimba vyoo vya shule na mkuu wa Wilaya akabidhiwe!!
Kwamba Mkuu wa wilaya ameshindwa ku organize hadi wafadhili waje.

Hoja yangu ni kuwa hata kama Donor wanafanya asiliamia 60 na sisi 40, ukweli unabaki kuwa tunapaswa kufanya 60 na ikibidi 40 tuwaombe. Hapa ndipo ninaposema hili la external factor lipo lakini si kubwa kama la internal na hadi tukubali kuwa tunapaswa kujisaidia kwanza kabla ya kusaidiwa hatutaweza kuondokana na utegemezi.

Na tufanye nini kuhusu hizi DFP? Kwani 80% ya fedha huenda kwenye mishahara ya expatriates na ile ya watumishi wazawa pamoja na posho za safari, rent za nyumba n.k, na 20% ndio uenda to the actual cause yenye kulenga kumwinua maskini. 80/20 ni principle hata ya NGOs zote hizi tunazoziona mitaani. Huu umaskini wetu ni kama vile Ukimwi kwani, badala ya kutafutiwa tiba, wahisani wapo busy kuutafutia ARVs ili kuurefusha maisha.
 
Hivi unafahamu kwamba masuala mengi sana huko mikoani/vijiji yanaendeshwa na Donor Funded Projects? Na hakuna consistency wala coordination ya kupima impact ya shughuli hizi in a consistent way, kwani unakuta upande wa nchi au mkoa, mashariki wapo wa-sweden sijui na mradi gani, magharibi wapo wamarekani na mradi mwingine, kaskazini wapo wajerumani wakifanya hiki, kati wapo waingereza na hili, humo humo kuna wachina wanajenga barabara huku wakichimba madini humo humo njiani n.k.

Kuna mfano halisi ya Mkoa wa kigoma wilaya za kasulu, kibondo na hata maeneo ya Ngara
UMASIKINI maeneo haya ulikatika sababu ya maafa ya RWANDA na burundi yaliyosababisha WAKIMBIZI.

So economic activty/ Project iliyowai kuwa na impact kubwa na chanya kwenye maisha ya watu wa kigoma ni WAKIMBIZI. ebu fikiria. Yaani maisha ya wananchi yanaborka kwa trigger ya tukio mablo hatuna control nalo.
 
Kuna mfano halisi ya Mkoa wa kigoma wilaya za kasulu, kibondo na hata maeneo ya Ngara
UMASIKINI maeneo haya ulikatika sababu ya maafa ya RWANDA na burundi yaliyosababisha WAKIMBIZI.

So economic activty/ Project iliyowai kuwa na impact kubwa na chanya kwenye maisha ya watu wa kigoma ni WAKIMBIZI. ebu fikiria. Yaani maisha ya wananchi yanaborka kwa trigger ya tukio mablo hatuna control nalo.

Exactly. Wahisani wanatafuta sana project kama hizo. Hata huku mijini, watu wanakuna vichwa kuja na ubunifu wa kuanzisha NGO ambayo itawapa ajira in the name of eliminating poverty. lakini kwa vile NGO ni ajira, na sio wito, wahusika kamwe hawawezi kubali shughuli za kumaliza umaskini ziishe, kwani watakula wapi? Ndio maana leo hata wahisani wanakuja na SAPs, mara PRSP, mara MDGs, mara sijui nini, ili mradi kurefusha ajira zao, na pia mianya ya kufanya biashara na serikali mbalimbali kwa kuwakopesha fedha in the name of poverty alleviation. Hata sasa suala la poverty in afrika ni a big industry ya vijana wa huko ulaya na marekani ambapo wanakuja huku kila summer kwa maelfu kwa miezi kadhaa kwani huko kwao kazi za mcdonalds, burger king, n.k zimedorora, so in order for the economy to export trouble ya vijana wana vyuo ambao wanaweza kuwa idle wakati wa likizo, ni kuwaleta afrika wakashike shike videvu wazee huko vijijini, wakapige picha na wamasai, n.k, kisha kulipwa senti kadhaa za kwenda kununulia bikari shule zikifungua. Pia wanaondoka na mind set kwamba 'alah, kumbe nchi yetu (marekani) ni very philanthropic huko africa', pia kuwajaza mind sets kwamba kumbe mataifa yao ni bora, wasiyachukulie for granted kwani afrika ni balaa. Thats the essence of 'International Development'.
 
Exactly. Wahisani wanatafuta sana project kama hizo. Hata huku mijini, watu wanakuna vichwa kuja na ubunifu wa kuanzisha NGO ambayo itawapa ajira in the name of eliminating poverty. lakini kwa vile NGO ni ajira, na sio wito, wahusika kamwe hawawezi kubali shughuli za kumaliza umaskini ziishe, kwani watakula wapi? Ndio maana leo hata wahisani wanakuja na SAPs, mara PRSP, mara MDGs, mara sijui nini, ili mradi kurefusha ajira zao, na pia mianya ya kufanya biashara na serikali mbalimbali kwa kuwakopesha fedha in the name of poverty alleviation. Hata sasa suala la poverty in afrika ni a big industry ya vijana wa huko ulaya na marekani ambapo wanakuja huku kila summer kwa maelfu kwa miezi kadhaa kwani huko kwao kazi za mcdonalds, burger king, n.k zimedorora, so in order for the economy to export trouble ya vijana wana vyuo ambao wanaweza kuwa idle wakati wa likizo, ni kuwaleta afrika wakashike shike videvu wazee huko vijijini, wakapige picha na wamasai, n.k, kisha kulipwa senti kadhaa za kwenda kununulia bikari shule zikifungua. Pia wanaondoka na mind set kwamba 'alah, kumbe nchi yetu (marekani) ni very philanthropic huko africa', pia kuwajaza mind sets kwamba kumbe mataifa yao ni bora, wasiyachukulie for granted kwani afrika ni balaa. Thats the essence of 'International Development'.

Mchambuzi umenena ukweli. Hakuna siku niliyosikitika niliposikia JK anasema asiposafiri kwenda nje tutalaa njaa. You can not believe kama kauli hii inatoka kwa rais wa nchi. Siku zote nchi za magharibi zinaona sifa kutoa misaada, lakini vilevile zinadharau sana wanaopokea misaada. Na wana akili ya kuifanya misaada ifanye kazi on their advantage, na kuhakikisha viscous cirlcle of poverty inaendelea ili waweze kuendelea kuitumia kwa muda mrefu. Ni aibu kusikia kiongozi ana akili ya kupokea misaada, ya kusifu wahisani na kujidai kuwa tumesaidiwa.

Kwa wenzetu kupokea misaada ni kitu kibaya na aibu, lakini kutoa ni sifa kubwa. NI bahati mbaya sana kwa sasa tuna mentality ya kupokea misaada, na kushindwa kufanya lolote kwa kuwa tunategemea tutasaidiwa.
 
Wakuu umaskini wa Tanzania unatokana na weaknesses zilizopo ndani ya Tanzania, kuwalaumu wa nje ni kukwepa ukweli. External factors zina role yake, lakini bado sisi wenyewe hapa nyumbani hatujafanya kazi ya kutosha na kufikia kiwango cha kusema tatizo liko nje na si ndani. Zamani tulikuwa tunaambiwa tulinyonwa tulipuuzwa na kudharauliwa, lakini sasa hivi tunaona kuwa tumejiweka wenye vulnerable kutokana na kuwa we have one of the worst political systems, weakest institutions on the planet, corruption na uswahili.

Watu wanazungumzia viwanda, wengine wangependa virudi kama ilivyokuwa enzi ya nyerere, which is good, ambavyotunasikitika Kuna element nyingine ya uswahili ambayo ni kubwa sana na ni kansa katika siasa na utendaji wa Tanzania. hatua ya kwanza ni kuondoa ujinga huu. Uswahili ndio sumu kwenye attitude towards work kwa watanzania wengi. Tunaendesha mambo kishakaji, hata kazi tunafanya kishkajikishkaji tu.

Kwa hiyo kama ni kutoa jibu rahisi, ni kuwa Tanzania ni maskini kutokana na poor management, hatuna uwezo wa ku-organize resources zetu na kuzifanya zituletee maisha mazuri. Tukiendelea na style ya sasa ya uongozi hapa Tanzania, na kama serikali itanedelea kuwa ya design ya sasa hakuna kitakachobadilika hata miaka 1000. Tutakaa kujiliwaza kuwa uchumi wetu unakuwa kwa asilimia 5, na na muaskini pia unakuwa kwa asilima 10.
Haswaa! external factors ni kidogo sana,hatuwezi kukusanya kodi halafu tukanunua mashangingi na fenicha kutoka malaysia, halafu tukawalaumu IMF au WB.

Kuhusu viwanda suluhisho halikuwa kuvigawa na kufanya vyuma chakavu. Bado tulikuwa na fursa ya kuviendeleza kwa njia mbadala hata kama ni ubia. Viwanda havikufa kwasababu nyingine zaidi ya poor management. Mbona CRDB inafanya vyema pengine vizuri zaidi kuliko NBC tuliyoitoa zaka na bado ipo hapa hapa nchini?

Natofautiana na mkuu Bongolander kuhusu tabia za uswahili za utendaji. Siku zote watu katika institution, gov au private sector hufanya kazi kwa mtazamo wa uongozi.

Utendaji umekuwa mbaya kwasababu viongozi wetu hawana haiba, maadili au sifa za uongozi. Sasa kama kuna mtu ana damka saa 10 usiku kule Mbagala halafu akifika ofisini yupo busy na kutafuta mafaili, huyu anaposikia kuna mwenzake analipwa 200,000 kwa kukaa katika kiti cha kazi anajisikiaje.!!!

Endapo kuna mtu anaishi kwa 200,000 kwa mwezi na bado anasikia yule anayepata milioni 12 kwa mwezi bado analalamika maisha magumu na anaomba 200,000 za kukalia kiti chake, excitment na moral ya kazi itatoka wapi. Kwanini na yeye asiuze vitumbua. Ikifika hapo unamlaumu kwa uswahili gani.

Mwalimu anayeishi porini akitoa elimu kwa kutumia mkaa na ubao wake alioazima kwa fundi mwashi anaposikia mshahara wake hakuna kwa miezi 3 na wakati huo huo anasikia kuna fenicha zimeagizwa kutoka Malaysia kwa thamani ya milioni 10 sawa na mshahara wa mwalimu wa miaka 3 hapo hamasa ya kazi inatoka wapi. n.k

Kifanyike nini? Tusidhani Watanzania hawajui, no! wanajua ni muda tu muafaka haujafika. Sisi sote tunadhima ya kuwaambia kuwa wao ndiyo waajiri wa kundi hili la Serikali na Bunge wanaomega na kukomba kila tu. Tuwaambie hakuna muda mwingine zaidi ya huu na hatuna sababu ya kusubiri miaka 5. Tuwakemee na kuwaambia wazi, tumechoka na hatuna matumaini nao, Waondoke na wapishe wenye nia na mapenzi mema na nchi hii.

Kama hatutawatia nidhamu basi tusiombe nidhamu kutoka kwa mfagizi anayejua allowance ni aina ya gari la Kijapan.
 
Na tufanye nini kuhusu hizi DFP? Kwani 80% ya fedha huenda kwenye mishahara ya expatriates na ile ya watumishi wazawa pamoja na posho za safari, rent za nyumba n.k, na 20% ndio uenda to the actual cause yenye kulenga kumwinua maskini. 80/20 ni principle hata ya NGOs zote hizi tunazoziona mitaani. Huu umaskini wetu ni kama vile Ukimwi kwani, badala ya kutafutiwa tiba, wahisani wapo busy kuutafutia ARVs ili kuurefusha maisha.
Mkuu, hili ni tatizo kubwa sana. Kuna sehemu watu walijenga bara bara kwenye majabali kwa mikono yao miongo mingi iliyopita kwa njia ya kujitolea. Wakajenga mashule na zahanati kwa njia hiyo hiyo. Tanki lao la maji limekuwa dogo na wanapaswa kujenga jingine hivi sasa. Nilipouliza kuna mpango gani nikajibiwa na kiongozi kuwa bado Mbunge wao anatafuta wafadhili. Yaani mfadhili wa ku organize kukusanya mawe yanayopatikana mita 100. Hawakumbuki kilometa 23 zilizochimbwa kwa mkono na wazazi wao, wanachojua ni mfadhili.

Huyu mbunge naye badala ya kufanya kazi ya kuwahamasisha na kuwaeleza ukweli, ameamua kupitisha bakuli. Guess what! alikuja mfadhili na kundi lake la wafanyakazi wa kizungu halafu wakawalipa wananchi sh 10,000 sawa na dolllar 8 kwa mita ya mawe.
Huyu mfadhili haijulikani alipewa kiasi gani huko kwao, lakini utaona kuwa alijenga Tank hilo hilo kwa ushirikiano na uongozi wa kata pengine kwa dollar 8000kwa kutumia nguvu kazi aliyoshindwa kuitumia Mbunge na viongozi wenzake wa Wilaya na Mkoa.

Na wafadhili wengine ni kama ulivyosema, wanapita wakichimba madini na kubeba pembe za vifaru na ndovu!
Tatizo lipo kwa viongozi wa nchii wasiojua wafanye nini. Kiongozi kama hajiulizi kwa nini nchi hii ni masikini bali kwanini JF isifungiwe unategemea ana mtazamo gani mwingine zaidi ya kukusanya milioni 12 na laki 2 kila akikaa kwenye kiti cha kazini kwake.
Tatizo la pili ni wananchi, hatujafikia mahali pa kuwafanya hawa viongozi watambaue kuwa sisi ndio mabosi wao.

Pa kuanzia ni kurejesha nidhamu kwa viongozi la sivyo tutaendelea kuishi kwa 'ufadhili'
kurudisha nidhamu ni kazi yetu, ni ngumu lakini ikibidi kutumia viboko na iwe hivyo
 
Economy Tanzania


The economy is mostly based on agriculture, which accounts for more than half of the GDP, provides 75% (approximately) of exports, and employs approximately 75% of the workforce. Topography and climate, though, limit cultivated crops to only 4% of the land area. The nation has many natural resources including minerals, natural gas, and tourism.
Extraction of natural gas began in the 2000s. Gas is drawn into the commercial capital, Dar Es Salaam and exported to various markets overseas. Tanzania has vast amounts of minerals including gold, diamonds, coal, iron, uranium, nickel, chrome, tin, platinum, coltan, niobium, and others. It is the third-largest producer of gold in Africa after South Africa and Ghana. The country is also known for Tanzanite, a type of precious gemstone that is found only in Tanzania. The mineral sector started to pick-up slowly in the late 90s; major discoveries are announced regularly. However, the mineral sector has yet to start contributing significantly to the overall Tanzanian economy, and industry is still mainly limited to processing agricultural products and light consumer goods.
Growth from 1991 to 1999 featured industrial production and a substantial increase in output of minerals, led by gold. Commercial production of natural gas from the Songo Songo island in the Indian Ocean off the Rufiji Delta commenced in 2004,[SUP][18][/SUP] with natural gas being pumped in a pipeline to Dar es Salaam, the bulk of it converted to electricity by both public utility and private operators. A new gas field is being brought on stream in Mnazi Bay.

Panorama of Dar es Salaam

Recent public sector and banking reforms, as well as revamped and new legislative frameworks, have all helped increase private-sector growth and investment. Short-term economic progress also depends on curbing corruption.[SUP][19][/SUP]
Prolonged drought during the early years of the 21st century has severely reduced electricity generation capacity (some 60% of Tanzania's electricity supplies are generated by hydro-electric methods).[SUP][20][/SUP] During 2006, Tanzania suffered a crippling series of "load-shedding" or power-rationing episodes caused by a shortfall of generated power, largely because of insufficient hydro-electric generation. Plans to increase gas- and coal-fueled generation capacity are likely to take some years to implement, and growth is forecast to be increased to 7% or more per year.[SUP][21][/SUP]
There are two major airlines in Tanzania: the Air Tanzania Corporation and Precision Air; both provide local flights to Arusha, Kigoma,Mtwara, Mwanza, Musoma, Shinyanga, Zanzibar and regional flights to Kigali, Nairobi and Mombasa. There are also several charter firms and smaller airlines, such as Bold Aviation Ltd.

, Tropical Air and Coastal Aviation Ltd
. There are two railway companies: TAZARA provides service between Dar-es-Salaam and Kapiri Mposhi, a district of the Central Province in Zambia. The other one is the Tanzania Railways Corporation, which provides services between Dar-es-Salaam and Kigoma, a town on the shores of Lake Tanganyika and between Dar-es-Salaam and Mwanza, a city on the shores of Lake Victoria. Several modernhydrofoil boats also provide transportation across the Indian Ocean between Dar-es-Salaam and Zanzibar.Tanzania is part of the East African Community and a potential member of the planned East African Federation.


Tanzania imekuwa ni nchi Masikini duniani kutokana na Uongozi wake ni Mbovu Viongozi wa Tanzania ni Wapendao ubinafsi, Ufisadi,ulaji Rushwa na uaminifu wao mdogo katika kuongoza nchi nchi yetu ndio maana hatuendelei hata kama mika 50 ijayo ikiwa kama uongozi utakao kuja utakuwa kama huu tulionao madarakani tutazidi kuwa masikini sana kazi yetu viongozi wetu wakija nje ya nchi ni kuomba omba misaada tu mpaka lini tutakuwa Watu wa kuombaomba?
 
(Tanzania has vast amounts of minerals including gold, diamonds, coal, iron, uranium, nickel, chrome, tin, platinum, coltan, niobium,and others. It is the third-largest producer of gold in Africa after South Africa and Ghana) Madini tuliyokuwa nayo ni zaidi ya 11aina mbali mbali bado Eti sisi Wa Tanzania ni Nchi Masikini? Uongozi wetu ni Mbaya tungelikuwa na Viongozi wa kuwapenda Wanachi wake Wallah tusingelikuwa Masikini Tanzania ni Nchi ya Tatu katika Afrika kwa wingi wadhahabu uzalishaji baada ya afrika kusini na Ghana Tanzania inafuatia kwa wingi wa Dhahabu katika Bara letu tukufu la Afrika Eti bado sisi tu ni masikini? Uchumi tunao tunaukalia sisi wenyewe.
 
Katuni%2BAgost%2B24.jpg
 
FaizaFoxy;3269000]Hapo sio sahihi, Mjerumani aliwekeza reli inayopita sehemu zote muhimu, kulikuwa kuna central, south na north Routes. Mwingereza aliirithi reli na akahakikisha inafanya kazi vizuri kabisa, na wakati tunachukuwa Uhuru, kulikuwa kuna reli kila siku ya kwenda Mwanza, ya kwenda Tanga, Ya kwenda Arusha na ya kwenda mpaka Kenya. Ambapo hakuna reli kulikuwa kuna mabasi ya Railway na magari ya mizigo ya railway. Barabara ingawa zilikuwa si za lami lakini wakati tunachukuwa Uhuru barabara zote kubwa zilikuwa zikipitika misimu yote, si mvua si jua. Kulikuwa kuna PWD (Public Works Department) ikifanya kazi inavyotakiwa na mabarabara yote makuu yalikuwa na vituo vya TRM (Tanganyika Road Maintenance) hawa walikuwa wanahakikisha barabara zinapitika wakati wote
Sina nia ya kubadili au kutafuta mbinu za kuua mjadala makini wa Mkandara kwa kuendekeza chuki.
Ninajaribu kuweka kumbu kumbu sawa ili watu wasipotoshwe.

1. Tulipopata uhuru kulikuwa hakuna reli ya Dar es Salaam hadi Tanga nikimaanisha Kutoka Mnyuzi hadi Ruvu. Reli hiyo imejengwa baada ya uhuru. Ni upotoshaji wa hali ya juu kusema mkoloni aliiacha.
Wasafiri wa kutoka Tanga walikuwa wanasafiri kwa trni hadi Korogwe halafu wanachukua mabasi kupitia Handeni, Morogoro hadi Dar.

2. Hakukuwepo na bara bara ya Chalinze Segera, imejengwa baada ya Uhuru.

3. Hakukuwepo na Bara bara ya mkomazi hadi Same, ilikuwepo inayopitia Same, kisiwani, Gonja hadi Mkomazi.

4. Shirika la reli lilijulikana kama East African Railway Cop. shirika hili lilikufa mwaka 1977 baada ya jumuiya kufa.
Ndipo shirika la reli Tanzania lilipoanzishwa kwa kutumia mabehewa ya abiria na mizigo yaliyokuwa nchini.
Kama kuna mtu aliwahi kulalaia mashuka meupe basi ilikuwa EAR

Hatua ya dharura kukabaliana na kifo cha EAR ilikuwa kuagiza injini kutoka Bombardier Cananda zilizokuwa maarufu kwa jina la Mcanada. Halafu zikaagizwa injini kutoka India zilizokuwa zinafungwa mbili. Hizi zilikuja na mabehewa ya abairia

5. Kama zamani ya mashuka na vikombe ni ya 1977 nakubaliana, na nakumbuka kulikuwa na madaraja yote na lile la second sitting.

6. Huduma za kila siku kati ya Dar/Moshi/Tanga zilikufa mwaka 1997( around 1997-1980) na si kweli ilikufa kabla ya mwaka 1985.

7. Reli ya Arusha ipo, ya Chekereni hadi Voi ipo. Reli ya kati imefanya kazi kawaida matatizo yameanza tulipotoa zawadi kwa wahindi chini ya Jakaya Mrisho Kikwete.

Tuitafakari mada ya Mkandara na tuachane na tararira zinazotutoa katika mada tukiendekeza chuki za mtu au watu.
 
Mimi niliona pori limegeuzwa university town, huko Dodoma, miaka Sita nyuma kulikuwa kichaka, ukienda Leo kuna cho kikubwa sana na mji haswa. Hujapaona huko, basi hata hujapasikia?


Magorofa na mejongo si kigezo kizuri cha maendeleo. . Angalia afya za watu, angalia chakulka wanachokula, angalia wanapolalala, maji wanayokunywa, elimu na shule zao, barabara zao etc etc utaona kuwa bado watu wamechoka sana. Maendeleo ni kubwa zaidi ya hapo.
 
Ungesoma vizuri post yangu nimeweka wazi kabisa kuwa palipokuwa hakuna Reli kulikuwa kuna mabasi ya Railway. Au hilo hukuliona? Kama umeliona ni nini kilichopotoshwa? Jaribu kufunguka kidogo, usiwe kila kitu ni lazima ubishe tu.

Haya huduma za Reli ya kati tulipopata Uhuru ndio sawa na alizoziacha Nyerere?

7. Kuendeshwa kwa ruzuku na treni iliyokuwa nasafiri mara moja kila siku, ikafikia hata kuondoka mara moja kwa wiki ni bahati, na huduma mbovu ajabu ndio unasema ilkuwa inafanya kazi ya kawaida? Unanchekesha.
FaizaFoxy;3269000]Hapo sio sahihi, Mjerumani aliwekeza reli inayopita sehemu zote muhimu, kulikuwa kuna central, south na north Routes. Mwingereza aliirithi reli na akahakikisha inafanya kazi vizuri kabisa, na wakati tunachukuwa Uhuru, kulikuwa kuna reli kila siku ya kwenda Mwanza, ya kwenda Tanga, Ya kwenda Arusha na ya kwenda mpaka Kenya.Barabara ingawa zilikuwa si za lami lakini wakati tunachukuwa Uhuru barabara zote kubwa zilikuwa zikipitika misimu yote, si mvua si jua. Kulikuwa kuna PWD (Public Works Department) ikifanya kazi inavyotakiwa na mabarabara yote makuu yalikuwa na vituo vya TRM (Tanganyika Road Maintenance) hawa walikuwa wanahakikisha barabara zinapitika wakati wote
Ya kwenda Mwanza! kutoka wapi? Ya kwenda Tanga! kutoka wapi? Hapa unamaanisha kutoka Dar kwenda Mwanza na Kutoka Dar kwenda Tanga. Upotoshaji mkubwa! hakukuwa na treni ya Dar Tanga! Haikuwepo!

2. Bara bara ya Da es Salaam Kilwa ilikuwa inapitika wakati wote pia. Ilikuwaje safari za kupigania uhuru zililazimu kupitia Ruvuma. Umeshadadisi hilo.

3. Hakuna kipindi cha nyuma treni ilikuwa mara moja, haya yameanza kipindi cha mwisho cha Mkapa. Kwa bahati mbaya zaidi kwa Watanzania Jakaya Mrisho Kikwete akafuta hata hiyo moja, akaenda India kuwaita Wahindi, wameng'oa reli kama chuma chakavu.
Reli ya kati haifanyi kazi chini ya Uongozi wa Jakaya Mrisho Kikwete. Kama kuna aliyeacha mablanketi machafu Jakaya Mrisho amethubutu kuuza mataruma

Kabla huja nyoosha kidole kwa kiongozi yoyote wa nchii hii, muulize Jakaya Mrisho miaka 6 ameliumiza taifa kwa kiasi gani.
Jakaya Mrisho hajui kwanini sisi masikini atajuaje kama kuna reli inafanya kazi.
 
Wakuu zangu nadhani lengo la mada hii ni kutafuta suluhisho, na sidhani kama tukirudi nyuma kumtazama Nyerere tutakuwa tunajitendea haki maana tumekuwa na fikra hizo kwa miaka 25 kumlalamikia Nyerere kuwa sababu ya kukwama kwetu lakini sidhani kama ndiye sababu ya KUSHINDWA hata kuondoka ktk shimo tulotumbukia. Hata kama Nyerere alikuwa sababu na tuseme naikubali na pengine tukubali wote...Je, tunaweza vipi kuondoka hapa tulipo maana tunatumia mfumo tofauti kabisa na ule wa Nyerere lakini bado tumekwama, Sasa kipi kifanyike?

Binafsi kusema kweli hata siku moja sintothamini makuzi ya mwili kutokana na umri kama dada yetu FaizaFoxy anavyoainisha maendeleo. Hakuna nchi yoyote duniani inafanana na wakati inapata Uhuru kulikowa na mabadiliko ambayo mimi huyaita makuzi ya mwili akini kiafya yaa UCHUMI wa nchi ukiwa bado dhaifu basi hakuna maendeleo. Hiyo Haiti yenyewe ilopata Uhuru miaka 200 iliyopita ukitazama kila miaka 50 au hata 20 kuna mabadiliko makubwa tu lakini bado wamesimama kama nchi maskini sana duniani japokuwa ipo ktk nchi zinazoongoza upekeaji wa misaada. Hawa wamekuwa wakisaidiwa kwa miaka 200 na hawajaenda popote. Kwa hiyo Haiti ni kibibi tu kinachoizeeka ktk umaskini ingawaje hakifungi diapers na kunyonya pacifier..

Nguruvi3,
Utendaji umekuwa mbaya kwasababu viongozi wetu hawana haiba, maadili au sifa za uongozi. Sasa kama kuna mtu ana damka saa 10 usiku kule Mbagala halafu akifika ofisini yupo busy na kutafuta mafaili, huyu anaposikia kuna mwenzake analipwa 200,000 kwa kukaa katika kiti cha kazi anajisikiaje.!!!

Endapo kuna mtu anaishi kwa 200,000 kwa mwezi na bado anasikia yule anayepata milioni 12 kwa mwezi bado analalamika maisha magumu na anaomba 200,000 za kukalia kiti chake, excitment na moral ya kazi itatoka wapi. Kwanini na yeye asiuze vitumbua. Ikifika hapo unamlaumu kwa uswahili gani.

Mwalimu anayeishi porini akitoa elimu kwa kutumia mkaa na ubao wake alioazima kwa fundi mwashi anaposikia mshahara wake hakuna kwa miezi 3 na wakati huo huo anasikia kuna fenicha zimeagizwa kutoka Malaysia kwa thamani ya milioni 10 sawa na mshahara wa mwalimu wa miaka 3 hapo hamasa ya kazi inatoka wapi. n.k
Mkuu wangu ktk kipande hiki umenigusa haswaa palipo...Kusema kweli hii ndio sababu haswa ilonifanya mimi nifikirie mada hii kutokana na kwamba wananchi sasa wamepoteza hata UZALENDO kwa sababu ya uongozi mbaya au pengine Ubepari wenyewe..

Na nimeiona hatari ya maamuzi kama haya ikiwa kweli daktari ataamua kuwaumiza wananchi wanyonge wenzake kwa sababu tu tunafikiri anayo haki ya kudai haki yake..Inanikumbusha enzi za UDA au daladala watu walivyokuwa wakigombania kupanda kuwahi viti badala ya kuji organise wenyewe wapange msitari na kuingia kwa utaratibu, ukikosa la kwanza panda la pili na kadhalika. Na sii kwamba hujawahi kujaribu kujipanga bali tulijaribu sana mgambo wakisimamia kuweka utaratibu lakini ilishindikana kutokana na uhaba wa vyombo vya usafiri..Wananchi wakakosa Subira na hakuna kitu kibaya duniani hapa kama kutokuwa na subira.

Wasiwasi wangu mkubwa ni pale napofahamu kwamba Uhaba (Scarcity) husababisha HOFU, hii ni hisia nyingine kabisa nje ya demand na supply maana iko nje ya uwezo huo. Na mara zote mahala penye uhaba hufuatia hofu, kisha ikafuata kupoteza subira (tumaini) na mwisho wake watu hupoteza UZALENDO... sasa hapo ndipo ile phrase ya - Survival of the fittest huchukua nafasi..na hapo tena hakuna msalie maana ndio hatua ya mwisho ya binadamu kuupoteza UTU wake.. Pengine wenzangu hawayaoni haya kiasi kwamba Haki ya mtu imechukua nafasi ya juu zaidi ya UTU na tunapoupoteza utu ina maana tumeupoteza Uzalendo.

Kuna watu wameniuliza nani anayetakiwa kuwa na Uzalendo, wakiwa na maana viongozi ndio wanatakiwa na kama wao wamekosa Uzalendo basi hakuna sababu ya wananchi kuwa wazalendo. Hii imenishtua sana kwa sababu inaonyesha wananchi wanatafsiri UZALENDO wao kwa Utawala, au serikali iliyopo madarakani na sio nchi yao. Uraia wao (Citizenship) hauthamishwi isipokuwa kwa kuitazama serikali iliyopo madarakani kama Simba ambaye kajifunza kuwinda toka kwa wazazi wake. Binadamu hatutakiwi kuwa hivyo, tuna uongozi ambao wanatakiwa kuwajibika ndani ya katiba na wakikiuka miiko na maadili yetu hawa watu wanatakiwa kuondoka madarakani..

Hivyo kama kweli tunaamini sote kwamba Uongozi wa CCM ndio sababu kubwa ya kukwama kwetu iwe tokea Nyerere hadi leo hii ya JK, basi kwa nini wananchi tunaacha hali hii imefika hadi hapa tulipo wakati tunajua fika kwamba hawa watu hawawezi kubadilika wameisha kuwa sawa na wanyama?..

Hivi kweli tumefikia mahala kila mmoja wetu abebe msalaba wake? tumeshindwa kuwawajiisha viongozi wetu tukisubiri uchaguzi wa mwaka 2015 hali wabunge wanakataa hata kukaa vikaoni vya bunge wakidai ongezeko la posho?.. Ndugu zangu, nadhani sasa hivi tupo ktk mtihani mkubwa sana na tunatakiwa kuonyesha uzalendo kwa nchi yetu, kujivunia Uraia wetu japokuwa wengi hawana elimu ya uraia lakini tusikubali kuburuzwa na aidha viongozi wetu ama madaktari.. Tunatakiwa kuwaonyesha nani mwajiri wao wote na kama kweli tumeisha poteza Uzalendo basi nachoweza kuwaomba wanabodi wenzangu ni kuurudisha kwanza Uzalendo hapokuwa tumaini limeisha potea..
 
Nadhani unatambua haujajibu swali langu kuhusu Nyerere. Utawala wa kutojilimbikizia au kutumia ikulu kifisadi unakupa raha gani kama Rais, kuwatawala wengine?
Na wala hatakujibu. Kwa sababu hana jibu.
 
Back
Top Bottom