Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
2))NAITAJI AFYA NJEMA KWANGU NA WAZAZI WANGU/FAMILIA NK
2))Lazima uokoke...hilo halina ubishi kwamba wokovu ni lazima ,na napenda kurejea tena leo kwamba BIBLIA inaweka wazi kwamba BAADA YA KIFO HUKUMU.....hakuna sehemu iliyoandikwa ukifa unanafasi nyinge ya kuomba msamaha ama kuomba uokoke..biblia iko wazi wakati wa wokovu ni sasa...
hakuna haja ya kupoteza muda wewe unaesoma leo hii amua kutoka moyoni mwako mrudie bwana yesu....mfwate akuokoe kama bwana na mokozi wa maisha yako kumbuka yule alietoa sadaka sana yesu akamwambia pamoja na kunitolea sadaka umeoksa kitu kimoja nacho ni wokovu..hivyo pasipo kuwa na wokovu utahudhuria kanisani mpaka soli iachie hakuna kubarikiwa
MKUU MBONA SIJAONA HAPO LINALOPINGANA
2))Lazima uokoke...hilo halina ubishi kwamba wokovu ni lazima ,na napenda kurejea tena leo kwamba BIBLIA inaweka wazi kwamba BAADA YA KIFO HUKUMU.....hakuna sehemu iliyoandikwa ukifa unanafasi nyinge ya kuomba msamaha ama kuomba uokoke..biblia iko wazi wakati wa wokovu ni sasa...
hakuna haja ya kupoteza muda wewe unaesoma leo hii amua kutoka moyoni mwako mrudie bwana yesu....mfwate akuokoe kama bwana na mokozi wa maisha yako kumbuka yule alietoa sadaka sana yesu akamwambia pamoja na kunitolea sadaka umeoksa kitu kimoja nacho ni wokovu..hivyo pasipo kuwa na wokovu utahudhuria kanisani mpaka soli iachie hakuna kubarikiwa
MKUU MBONA SIJAONA HAPO LINALOPINGANA