Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,966
- 11,218
Mkandara,
Mkuu umetuuliza swali muhimu sana, na nilikua naifutalia hii mada hila hawa jamaa nao saa zingine mambo yao ya kuchanganya habari yanachosha that is (Mods) kidogo nisiielewe kwani kuna watu walikuja na maelezo mazuri sana especially member mwenye jina la sijui nini tena alafu mwishowe kuna 'dude', sasa tena wameenda kuchanganya maswali yako na nakala ya 2007 hawa nao sometimes mambo yao kha!!.
Hila bado sijaona watu kukuelewa vizuri kwani ni wachache so far waliokupata ya kwamba sisi ni maskini its a fact na si hadithi, the sooner we realize that the better. Na tuache hizi hisia za kwamba tuna sijui mariasili nyingi hivyo sisi si maskini, ni sawa na mtu ambae anasubiri urithi wa mamilioni lakini mlo wa siku unampa tabu hivyo kwa situation yake ni fukara mpaka apo atakapo shika hiyo hela mkononi ndio unaweza sema vinginevyo.
Hivyo licha ya maliasili sisi ni maskini, again labda sio wachangiaji wa humu ndani walioko tanzania na kwengineo hila proportion kubwa ya watanzania ni maskini wengi ni maskini.
Amini usiamini umaskini ni tabia rather than the belief 'ndivyo tulivyo' ni fikra kama hizi ndio tunakubali situation kama hizi za umaskini.
Tuna matatizo matatu makubwa yanayo tuletea umaskini tanzania watanzania wenyewe kujitakia (kwa kujua au kutojua matendo yao) na muongozo (tabia za washika madaraka sehemu zote) na sheria zisizo fanya kazi yake. Yaani hivi ni vyanzo ambavyo inabidi tuvitatue kabla hata atujachunguza uchumi kwani bila ya kutatua haya matatizo matatu ni kama tuna cheza mduara tu.
Watanzania, wengi hawajajua kuchukua personal responsibility na maisha yao hivyo kujitia kwenye mashimo makumbwa ya matatizo na choices ambazo wanazi-make on their daily lives. Mfano wa mtu ambae ana kipato kidogo lakini sijui watoto sita nyumbani na bado wengine wa nyumba ndogo hivyo ni kuongeza idadi ya watanzania watakao kuwa maskini mpaka hao vijana waanze kujitegemea ikiwa wata muiga baba sijui mimi ni mtoto wakiume warudie matendo yale yale picha umeipata.
Kitu kingine bado wengi wetu atujajua kwamba tuna majukumu na maisha yetu hivyo choice tunazochagua au maisha tunayo taka saa zingine ni kuleta matatizo, watu wanaishi kama vile amna kesho leo mi ni siku ya mshahara wacha nikajilushe katikati ya mwezi njaa upya, leo mi nimepika sufuria chafu wacha nimwage hiki kiporo kwenye mfereji, na taka zingine za nyumbani kesho kipindu pindu kwa watoto wao, leo mi sina kitu wacha nikope, kulipa shughuli kesho umepoteza mtu ambae alikua anakunyanyua unapo kwama. Hii inaonyesha ni jinsi gani hawa watu wanavyoishi in ignorance sasa watu wa dizaini hizi hata ukiwajengea cha maana uishia kuburunda kwa kuwa wanamaisha yao ni ya leo. Nii ignorance ya kutowajibika ndio maana ata hawaelewi ni nani ana responsibility ya kusaidia kuinua maisha yao hili waweze jisaidia. Ndio maana wakipelekewa pilau na mtu ambae ana responsibility ya kusimamia maslahi yao na ni fisadi tunaemsema hapa kila siku wao watampa kura kisa pilau na mengine hawaya jui tena. Sasa embu chunguza na mifano mingine ya leo hawa jamaa wanavyoishi utajua kuwa ni kazi kweli kweli kuwasaidia hawa watu na kuwaelezea msimpe kura mtu kama Lowassa.
Pili viongozi wetu hii sii itaji kukwambia unajua ni watu wa dizaini zipi ndio wenye madaraka Tanzania na jinsi wanavyo yatumia hayo madaraka. Lakini hii ni reflection ya watanzania wenyewe tumia nafasi yako kujiboresha ni maisha ya leo na mwishoe kuishia kuua na hiyo miundombinu, sijui biashara au kuwa na secta mbovu ya uzalishaji again hii ni ile ile ignorance ya kuishi kwa leo na kutokua na mipango ya kesho.
Mwisho ni sheria zetu ambazo kwa kweli aziwahusu wakubwa wetu kwenye jamii na ni watu ambao wengi wako kwenye tatizo la pili. Sasa kama tunachagua watu, kutusaidia alafu awawajibiki na isitoshe mali zenyewe wanatia mfukoni utapata maendeleo gani hapo? isitoshe vyombo vyenyewe vyasheria vina utaratibu huo huo kutowajibika na inafika mpaka mkuu wa polisi kuwa jambazi tutaenda wapi. Hivyo hata kama upendi kinachoendelea kusema utaogopa kwani sheria inayo kulinda aiko side yako utaishia kuambiwa si mtanzania upelekwe rumande kuna namna hapo vinginevyo wote humu tungekuja na majina yetu ya kweli na kuomba ukombozi wetu na si kujiita sijui nani wala na nani.
Sasa bado atuja chambua sababu za uchumi wetu kwanini mmbovu, kwa nini madaktari wetu ni hovyo na sababu zingine nyingi ambazo tunazijua ni tatizo la taifa na itakuwa point less kwenda huko iwapo bado tunaishi kwenye disfunctional society first things first.
ps. pole na msiba wenu
Mkuu umetuuliza swali muhimu sana, na nilikua naifutalia hii mada hila hawa jamaa nao saa zingine mambo yao ya kuchanganya habari yanachosha that is (Mods) kidogo nisiielewe kwani kuna watu walikuja na maelezo mazuri sana especially member mwenye jina la sijui nini tena alafu mwishowe kuna 'dude', sasa tena wameenda kuchanganya maswali yako na nakala ya 2007 hawa nao sometimes mambo yao kha!!.
Hila bado sijaona watu kukuelewa vizuri kwani ni wachache so far waliokupata ya kwamba sisi ni maskini its a fact na si hadithi, the sooner we realize that the better. Na tuache hizi hisia za kwamba tuna sijui mariasili nyingi hivyo sisi si maskini, ni sawa na mtu ambae anasubiri urithi wa mamilioni lakini mlo wa siku unampa tabu hivyo kwa situation yake ni fukara mpaka apo atakapo shika hiyo hela mkononi ndio unaweza sema vinginevyo.
Hivyo licha ya maliasili sisi ni maskini, again labda sio wachangiaji wa humu ndani walioko tanzania na kwengineo hila proportion kubwa ya watanzania ni maskini wengi ni maskini.
Amini usiamini umaskini ni tabia rather than the belief 'ndivyo tulivyo' ni fikra kama hizi ndio tunakubali situation kama hizi za umaskini.
Tuna matatizo matatu makubwa yanayo tuletea umaskini tanzania watanzania wenyewe kujitakia (kwa kujua au kutojua matendo yao) na muongozo (tabia za washika madaraka sehemu zote) na sheria zisizo fanya kazi yake. Yaani hivi ni vyanzo ambavyo inabidi tuvitatue kabla hata atujachunguza uchumi kwani bila ya kutatua haya matatizo matatu ni kama tuna cheza mduara tu.
Watanzania, wengi hawajajua kuchukua personal responsibility na maisha yao hivyo kujitia kwenye mashimo makumbwa ya matatizo na choices ambazo wanazi-make on their daily lives. Mfano wa mtu ambae ana kipato kidogo lakini sijui watoto sita nyumbani na bado wengine wa nyumba ndogo hivyo ni kuongeza idadi ya watanzania watakao kuwa maskini mpaka hao vijana waanze kujitegemea ikiwa wata muiga baba sijui mimi ni mtoto wakiume warudie matendo yale yale picha umeipata.
Kitu kingine bado wengi wetu atujajua kwamba tuna majukumu na maisha yetu hivyo choice tunazochagua au maisha tunayo taka saa zingine ni kuleta matatizo, watu wanaishi kama vile amna kesho leo mi ni siku ya mshahara wacha nikajilushe katikati ya mwezi njaa upya, leo mi nimepika sufuria chafu wacha nimwage hiki kiporo kwenye mfereji, na taka zingine za nyumbani kesho kipindu pindu kwa watoto wao, leo mi sina kitu wacha nikope, kulipa shughuli kesho umepoteza mtu ambae alikua anakunyanyua unapo kwama. Hii inaonyesha ni jinsi gani hawa watu wanavyoishi in ignorance sasa watu wa dizaini hizi hata ukiwajengea cha maana uishia kuburunda kwa kuwa wanamaisha yao ni ya leo. Nii ignorance ya kutowajibika ndio maana ata hawaelewi ni nani ana responsibility ya kusaidia kuinua maisha yao hili waweze jisaidia. Ndio maana wakipelekewa pilau na mtu ambae ana responsibility ya kusimamia maslahi yao na ni fisadi tunaemsema hapa kila siku wao watampa kura kisa pilau na mengine hawaya jui tena. Sasa embu chunguza na mifano mingine ya leo hawa jamaa wanavyoishi utajua kuwa ni kazi kweli kweli kuwasaidia hawa watu na kuwaelezea msimpe kura mtu kama Lowassa.
Pili viongozi wetu hii sii itaji kukwambia unajua ni watu wa dizaini zipi ndio wenye madaraka Tanzania na jinsi wanavyo yatumia hayo madaraka. Lakini hii ni reflection ya watanzania wenyewe tumia nafasi yako kujiboresha ni maisha ya leo na mwishoe kuishia kuua na hiyo miundombinu, sijui biashara au kuwa na secta mbovu ya uzalishaji again hii ni ile ile ignorance ya kuishi kwa leo na kutokua na mipango ya kesho.
Mwisho ni sheria zetu ambazo kwa kweli aziwahusu wakubwa wetu kwenye jamii na ni watu ambao wengi wako kwenye tatizo la pili. Sasa kama tunachagua watu, kutusaidia alafu awawajibiki na isitoshe mali zenyewe wanatia mfukoni utapata maendeleo gani hapo? isitoshe vyombo vyenyewe vyasheria vina utaratibu huo huo kutowajibika na inafika mpaka mkuu wa polisi kuwa jambazi tutaenda wapi. Hivyo hata kama upendi kinachoendelea kusema utaogopa kwani sheria inayo kulinda aiko side yako utaishia kuambiwa si mtanzania upelekwe rumande kuna namna hapo vinginevyo wote humu tungekuja na majina yetu ya kweli na kuomba ukombozi wetu na si kujiita sijui nani wala na nani.
Sasa bado atuja chambua sababu za uchumi wetu kwanini mmbovu, kwa nini madaktari wetu ni hovyo na sababu zingine nyingi ambazo tunazijua ni tatizo la taifa na itakuwa point less kwenda huko iwapo bado tunaishi kwenye disfunctional society first things first.
ps. pole na msiba wenu