BLACK TAX, ni mmojawapo ya vikwazo vikubwa vya maendeleo makubwa Africa.Tumepofushwa macho na akili kuamini kwamba wingi wa tegemezi ni kikwazo cha maendeleo. Kwanza hawa hawakwepeki labda uende kuishi Mbinguni.
Wingi wa walaji ni kigezo cha ukuaji kiuchumi. China, India, US, Nigeria nguvu zao za uchumi zinategemea idadi kubwa ya watu.
Hao tegemezi siyo laana ni lulu kwa faida ya maendeleo yako na taifa. Watengenezee programu kabambe maalum ya ku-match consumption na production alafu isimamie vilivyo, utatamani u-rush Kijijini kuongeza tegemezi wengine hata toka ujombani au ukweni.
Kwa mtu mmoja mmoja, maendeleo ni nini?Maendeleo yanapatikanaje?
Matatizo tu kila kukicha afadhali ya Jana, uwe na vitega uchumi vingi kwanza sio unafanya kazi sana alafu unalipwa 3000 kwa siku ni zaidi ya ujinga,kuna Watanzania wengi wanaofanya kazi kwa bidii lakini wangali wana hali ngumu kiuchumi.
Kwanini iko hivyo?
Nasisitiza hayupo na wala hatokuja kuwepoHakuna Daktari Tz anayepata ukwasi ndani ya mshahara wa serikali.
Samahani mkuu, huyo bosi wenu alikuwa Mchina, Mhindi, au?Mazingira yetu ni magumu mno tunaishi kislavery kwenye mfumo wa capitalism.
Mfano. Miaka 8 nyuma nimemaliza chuo nikapata kazi kwa muasia mmoja hapo posta kampuni kubwa tu mshahara laki 3.. na wote tulioajiriwa tulikuwa ni degree basi income kwa mwezi ile ofisi tunaiingizia almost bill 1.1 kila mwezi. Ila mshahara ndo huo na hapo unachungwa hatari usiibe tukajiorganize tukapeleka proposal kwa manager huyo muasia aongeze mshahara basi maana yy anajilipa million 30 kwa mwezi anaservice ya gari million 4 anakaa appartment ya million 2.5 kwa mwezi..
Basi huwezi hamini akatuita wote akasema hawezi kuongeza chochote maana huo mshahara tunaolipwa hapa africa ni mkubwa na tunaweza kusurvive vizuri alafu akaongeza kama mnaona vipi acheni kazi huku kwenu africa labour force ni cheap sana na watu kibao hawana kazi..na maneno ya shombo mengiii tukapewa..
Mm kwa majibu yale nikaacha kazi siku iliyofuata niliona nimedhalilika sana nchini kwangu tunadharauliwa vile..nimekaa miezi 5 nikasikia alifukuza wenzangu wote waliobaki akaajiri wapya.
Africa ni shida basi tu..
Yaani wizi..Siasa ndio kazi pekee Afrika inayoweza kukuletea mafanikio kwa haraka
Naelewa maumivu yako mkuu hapo kwenye mwenge, watumishi wa tamisemi Ni kukatwa posho pasipo hiari kuchangia mwengeAfrica achilia mbali kukosoa serikali.
Mwenge umetengewa bajeti ila ajabu bado watu wanachangishwa pesa zinapokwenda haijulikani hata tija ya huo mwenge haijulikani
Mtu akigoma kuchangia mwenge 50,000 kwa kigezo kuwa hajawiwa kufanya hivyo anaweza kufilisiwa biashara ya milioni 200 .
Naelewa maumivu yako mkuu hapo kwenye mwenye, watumishi wa tamisemi Ni kukatwa posho pasipo hiari kuchangia mwenye
Ila Sisi sijui tumerogwa namna gani,HV tunakubali VP ujinga kama huu lkn, yaani mtu anakuja na mkoti wake wa kijani kuchukua mchango WA mwenge
Huu Si usenge jamani
Tupo kama mazumbukuku
Mfumo mfumo mfumoMbona kuna Wahindi walikuja Tanzania wakiwa na hali duni kiuchumi, wakapanga vyumba vya kawaida Uswahilini, lakini baada ya muda wakawa mabilionea?
Kila lenye mwanzo halikosi kuwa na mwisho.Wananchi siku moja wataamka tu.
Dah!,bonge moja la mfano na bonge moja la point[emoji16][emoji16][emoji16] unajuwa mkuu dhana ya tegemezi ni tafsiri na mtizamo tu. Hata wazungu wana tegemezi kutuzidi.
Hawako nao ndani ya miji yao lakini wako nao huku Afrika (yaani sisi Waafrika).
Hata siku 1 wazungu hawajatuacha kwamba tumekuwa mzigo kwao.
Hata siku 1 wazungu hawajakosa kuendelea kwa sababu tumewaelemea kupitia utegemezi wetu kwao.
Wanachofanya wazungu ni kuhakikisha kuwa hatutafuni jasho lao bure tu kupitia utegemezi wetu kwao bali tunawafidia kwa faida ya ziada jasho lao.
Weka program mezani, kaa nao muichakate, waanze kuwa wa faida kwako.
Hard-work alone won't gurantee success, kuna watu tunafanya kazi kwa bidii lakini bado hatujafanikiwa.
Bidii + Malengo= Mafanikio
Kwa kufanikiwa ni "bahati nasibu?"Unaweza kuwa na bidii+malengo na usifanikiwe
Waafrika pia wana akili kuu.Akili...
Tafadhali usifanye hivyo!Kwa mtu mmoja mmoja, maendeleo ni nini?
Mwenye vigezo vya mtu kuitwa ameendelea naomba aviweke hapa ili na mimi nijitadhimini niko hatua ipi.
Nikijikuta mimi bado kapuku, basi niongeze kiwango cha kuiba pesa za umma
✅🙏🙏🙏Dah!,bonge moja la mfano na bonge moja la point
Nimekuelewa sana
AiseeMatatizo tu kila kukicha afadhali ya Jana, uwe na vitega uchumi vingi kwanza sio unafanya kazi sana alafu unalipwa 3000 kwa siku ni zaidi ya ujinga,
Hapo kwenye BLACK TAX ufafanuzi unahitajika mkuu🙏BLACK TAX, ni mmojawapo ya vikwazo vikubwa vya maendeleo makubwa Africa.