Kwanini Watanzania wengi hawafanikiwi kutokana na kazi zao?

Kwanini Watanzania wengi hawafanikiwi kutokana na kazi zao?

Tumepofushwa macho na akili kuamini kwamba wingi wa tegemezi ni kikwazo cha maendeleo. Kwanza hawa hawakwepeki labda uende kuishi Mbinguni.

Wingi wa walaji ni kigezo cha ukuaji kiuchumi. China, India, US, Nigeria nguvu zao za uchumi zinategemea idadi kubwa ya watu.

Hao tegemezi siyo laana ni lulu kwa faida ya maendeleo yako na taifa. Watengenezee programu kabambe maalum ya ku-match consumption na production alafu isimamie vilivyo, utatamani u-rush Kijijini kuongeza tegemezi wengine hata toka ujombani au ukweni.
BLACK TAX, ni mmojawapo ya vikwazo vikubwa vya maendeleo makubwa Africa.
 
Mazingira yetu ni magumu mno tunaishi kislavery kwenye mfumo wa capitalism.

Mfano. Miaka 8 nyuma nimemaliza chuo nikapata kazi kwa muasia mmoja hapo posta kampuni kubwa tu mshahara laki 3.. na wote tulioajiriwa tulikuwa ni degree basi income kwa mwezi ile ofisi tunaiingizia almost bill 1.1 kila mwezi. Ila mshahara ndo huo na hapo unachungwa hatari usiibe tukajiorganize tukapeleka proposal kwa manager huyo muasia aongeze mshahara basi maana yy anajilipa million 30 kwa mwezi anaservice ya gari million 4 anakaa appartment ya million 2.5 kwa mwezi..

Basi huwezi hamini akatuita wote akasema hawezi kuongeza chochote maana huo mshahara tunaolipwa hapa africa ni mkubwa na tunaweza kusurvive vizuri alafu akaongeza kama mnaona vipi acheni kazi huku kwenu africa labour force ni cheap sana na watu kibao hawana kazi..na maneno ya shombo mengiii tukapewa..

Mm kwa majibu yale nikaacha kazi siku iliyofuata niliona nimedhalilika sana nchini kwangu tunadharauliwa vile..nimekaa miezi 5 nikasikia alifukuza wenzangu wote waliobaki akaajiri wapya.
Africa ni shida basi tu..
Samahani mkuu, huyo bosi wenu alikuwa Mchina, Mhindi, au?
 
Africa achilia mbali kukosoa serikali.

Mwenge umetengewa bajeti ila ajabu bado watu wanachangishwa pesa zinapokwenda haijulikani hata tija ya huo mwenge haijulikani

Mtu akigoma kuchangia mwenge 50,000 kwa kigezo kuwa hajawiwa kufanya hivyo anaweza kufilisiwa biashara ya milioni 200 .
Naelewa maumivu yako mkuu hapo kwenye mwenge, watumishi wa tamisemi Ni kukatwa posho pasipo hiari kuchangia mwenge
Ila Sisi sijui tumerogwa namna gani,HV tunakubali VP ujinga kama huu lkn, yaani mtu anakuja na mkoti wake wa kijani kuchukua mchango WA mwenge
Huu Si usenge jamani
Tupo kama mazumbukuku
 
Wananchi siku moja wataamka tu.
Naelewa maumivu yako mkuu hapo kwenye mwenye, watumishi wa tamisemi Ni kukatwa posho pasipo hiari kuchangia mwenye
Ila Sisi sijui tumerogwa namna gani,HV tunakubali VP ujinga kama huu lkn, yaani mtu anakuja na mkoti wake wa kijani kuchukua mchango WA mwenge
Huu Si usenge jamani
Tupo kama mazumbukuku
 
Mbona kuna Wahindi walikuja Tanzania wakiwa na hali duni kiuchumi, wakapanga vyumba vya kawaida Uswahilini, lakini baada ya muda wakawa mabilionea?
Mfumo mfumo mfumo
Mlianzisha sera ya ujamaa na kujitegemea ambapo mlitaifisha Mali za Watanganyika.

Swali la kujiuliza jamii ya wahindi waliguswa?

Mlipiga marufuku Watanzania kumiliki biashara binafsi, kisa maduka ya ushirika.
Mbona wahindi waliluhusiwa?

Mfumo ulikosa amani ikiwa Watanganyika wakiweza kumiliki Mali kwa hofu ya kupinduliwa ila haukuwa na hofu na jamii ya Asia, ambayo yenyewe ilikuwa Profiteer na sio kitisho.

Mabenki na Taasisi za kifedha
Ni rahisi mpaka leo Mgeni (watu kutoka Asia na Ulaya) kupewa huduma ya kifedha kuliko Mtanganyika.

Hili limeanza kuisha ila Bado lipo.

Mnapojiuliza kwa nini, msisahau na tulipotoka, tulipo na tunapokwenda.

Ninyi ni JF lazima muwe smart
 
[emoji16][emoji16][emoji16] unajuwa mkuu dhana ya tegemezi ni tafsiri na mtizamo tu. Hata wazungu wana tegemezi kutuzidi.

Hawako nao ndani ya miji yao lakini wako nao huku Afrika (yaani sisi Waafrika).

Hata siku 1 wazungu hawajatuacha kwamba tumekuwa mzigo kwao.

Hata siku 1 wazungu hawajakosa kuendelea kwa sababu tumewaelemea kupitia utegemezi wetu kwao.

Wanachofanya wazungu ni kuhakikisha kuwa hatutafuni jasho lao bure tu kupitia utegemezi wetu kwao bali tunawafidia kwa faida ya ziada jasho lao.

Weka program mezani, kaa nao muichakate, waanze kuwa wa faida kwako.
Dah!,bonge moja la mfano na bonge moja la point

Nimekuelewa sana
 
Kwa mtu mmoja mmoja, maendeleo ni nini?
Mwenye vigezo vya mtu kuitwa ameendelea naomba aviweke hapa ili na mimi nijitadhimini niko hatua ipi.
Nikijikuta mimi bado kapuku, basi niongeze kiwango cha kuiba pesa za umma
Tafadhali usifanye hivyo!

Acha nikutie moyo! Wewe umeshaendelea.
 
Tuwaulize TFF ya Karia na timu yetu ya vijana chini ya umri miaka 15!!!
 
BLACK TAX, ni mmojawapo ya vikwazo vikubwa vya maendeleo makubwa Africa.
Hapo kwenye BLACK TAX ufafanuzi unahitajika mkuu🙏

Sijaambulia chochote. Maelezo zaidi, tafadhali🙏
 
Back
Top Bottom