wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Wewe endelea kuwalea watoto wako ki-junior junior Ila akija kukutana na wahuni watamuingiza kwny Banda la mbwa na Cha kufanya hamna.Hapana,huwezi kumruhusu mbwa amararue mtoto kwa kigezo cha kumfunza adabu,hicho ni kitendo cha kinyama,alikuwa na option nyingi sana za adhabu lakini sio hio.
Hata kama mtoto hakufa ila kitendo cha kumruhusu mnyama kumpa adhabu mtoto ni kudhalilisha utu.
Hana tofauti na wale wanaochoma moto watoto sehemu za mwili kisa kaiba hela ndani au kala mboga kwa kigezo cha adhabu.
Paka shenzi kabisa unasaga Dona yako fresh unahifadhi kwenye kilindo ye anafukua unga anakata gogo afu anafukiaKaka hichi ulichokiandika nikosa kubwa sana. Hawa wanyama wafungwao ni wanyama kama tulivyo sisi, kwanini yale mabaki tunayokula sisi tunawapa wao. Wale wanyama wanahitaji chakula kisafi na mahali pasafi kama sawa na mazingira tunayokula chakula chetu sisi tunaojiita wanadamu
Sisi pia ni wanyama kama walivyo wao kwanini tuwaweke store na wakati unaweza hata muombea kwa jirani mwenye banda na asubuhi ukamchukua kwa shughuli yako?
Umesahau nyoka.
Mtanzania hata akiwa na v8 anaenda msibani akimwona nyoka lazima asimame na kuanza kumsulubisha
Aisee me nisingekuwa na mudA wa Kuna kukuuliza Wala kuendesha kesi ilikuwa ni kuwatia vilema wote wewe na mbwa wako,huwezi linganisha thamani ya mtoto na ya mbwa,never hata kiuumbaji Mungu alimpendelea zaidi binadamuNi ujinga tu....hapa mtaani kwetu kuna watoto walikuwa wanatoka shule siku moja nikawaluta wanasalandia mbwa wangu aliyekuwa kwenye kibanda chake tena ndani ya geti wameshika mawe wamtungue. Nikawavizia na nikabahatiak kumkamata mmoja. Nikamuingiza ndani na kumfungulia mbwa amrarue na alimng'ata vizuri tu. Akaenda kwao kisha akarudi na wazazi wake kuja kulalamika na kunishitaki. Nikawaambia ukweli kilichotokea, baba wa mtoto kwa ujinga alionao alkasema eti huu ni mtaa wa Kiislam unafuga mbwa wa nini? Nikamjibu tu vibaka wengi wa hapa mtaani ni waislam Mze baba akanishangaa, wakaenda nishitaki Polisi Mabatini ila kesi haikufika mbali, ilifutwa. Yule dogo ni mwaka sasa hajathubutu kuja kurusha mawe tena, yuko tu makovu yake ya kujitakia.
Hakuna kitu kama hicho huo ni ukichaa tuWewe endelea kuwalea watoto wako ki-junior junior Ila akija kukutana na wahuni watamuingiza kwny Banda la mbwa na Cha kufanya hamna.
Atang'atwa tu.Hakuna kitu kama hicho huo ni ukichaa tu
umenikumbusha utotoni nilkua na hyo tabia ya kuwinda mijusi na kuifanyia operation kwa kiwembe, akifa naenda kuzika..nilitenga kabisa makaburi na mochwari ya mijusi.Utotoni kulikuwa na michezo ya watoto kwenda kuwinda mijusi then kuwachezea na kuwaua.
Mzee alinifundisha si vizuri kuua kiumbe bila sababu. Walikuwa wananiita mlokole. sababu nilikuwa nikiwakataza nikisema sio vizuri.π
πππ haka ka paka ni kakuda kamejua kameharbu kana kimbia.
π€£π€£π€£π€£Watz ni watu na stress zao hawana mda wa kucheka na paka
Shukuru umekutana na wazazi wastaarabu sio watu wa visasi yaaani mchukue Mwanangu ufanye ulichotenda kisha nikuache aiseee utajua hujuiπ¬Ni ujinga tu....hapa mtaani kwetu kuna watoto walikuwa wanatoka shule siku moja nikawaluta wanasalandia mbwa wangu aliyekuwa kwenye kibanda chake tena ndani ya geti wameshika mawe wamtungue. Nikawavizia na nikabahatiak kumkamata mmoja. Nikamuingiza ndani na kumfungulia mbwa amrarue na alimng'ata vizuri tu. Akaenda kwao kisha akarudi na wazazi wake kuja kulalamika na kunishitaki. Nikawaambia ukweli kilichotokea, baba wa mtoto kwa ujinga alionao alkasema eti huu ni mtaa wa Kiislam unafuga mbwa wa nini? Nikamjibu tu vibaka wengi wa hapa mtaani ni waislam Mze baba akanishangaa, wakaenda nishitaki Polisi Mabatini ila kesi haikufika mbali, ilifutwa. Yule dogo ni mwaka sasa hajathubutu kuja kurusha mawe tena, yuko tu makovu yake ya kujitakia.
Kwa hiyo una ID mbili,
Moja umeleta kisa, ingine unajitetea nayo,
Wewe ni Katili hata uandike magazeti vipi na una bahati mimi sio member wa hiyo familia ya mtoto, ilikua unapewa kesi moja takatifu (kukusudia kuua mtoto) ungekaa jela hadi ujue tofauti ya Mnyama na Mtoto,
eti namuhudumia Mbwa sijui nini, aiseee! kuna watu sijui mnaishi sayari gani.
Bado vipo... Uliviuza?umenikumbusha utotoni nilkua na hyo tabia ya kuwinda mijusi na kuifanyia operation kwa kiwembe, akifa naenda kuzika..nilitenga kabisa makaburi na mochwari ya mijusi.
Nilkua katili kwa wadudu yani walikua wakiniona wanaanza mbio...ila cha kushangaza kwenye ndege na wanyama hawa nilkua na huruma nao sana.Nilkua siwezi kuchinja kuku kabisa, walikua wakichinja kama kuku namjua nilkua nalia hatari π , bora nifuge kuku mpaka afe mwenye kuliko kuchinja.
Siku hizi niko peace na viumbe hai sipendi kuvidhuru, nikiona watu wana piga wanyama najisikia vibaya niko radhi nikule hela uache kumpiga huyo mnyama.
Kuna siku nilkua natoka kwenye mishe zangu maeneo flani hivi nikakutana na mzee fulani alikua watoto wameshika mbwa wawili mmoja mkubwa kengine kadogo, cjui hata hao mbwa waliwakosea nini.
Walikua wanataka kuwaua kwa kuwa nyonga ( just imagine ) kwanza hao mbwa walikua wamesha chapika hatar...pona yao ilikua ni mimi kutokea.
Niliwaomba wasiwadhuru hao mbwa lakin wapi mpaka nikatoa buku ten nikampa huyo, uzur alkua ni choka mbaya alikubali akanipa hao mbwa.
Niliwahudumia hao mbwa asee jinsi nilivyo wakuta na walivyo kuwa ni vitu viwili tofauti.Na huyo mbwa mkubwa kumbe alkua na mimba siku alivyozaa cjui alifuata nini barabarani akapigwa tairi na gari la wagonjwa akafa.Aliacha vitoto 6 vidogo hatar hata havioni kasheshe ikawa ni kuvilea, sema nilipambana navyo mpaka vikakua vikubwa.