Kwanini Watanzania wengi hufukuza ama kupiga wanyama bila sababu?

Hawaitwi kunguru
Kwa hiyo Kosa lao ni jina Kunguru? Kwa hiyo ww ukienda kule Songea ukamkuta jamaa anaitwa Kunguru (Majina hayo yapo kule) na ikatokea amepita mbele yako basi jiwe litamhusu? Tukubaliane hapo.
 
Naona mnaongea sana,hamjawahi kuishi geto...huna kitu na vidagaa vyako amekula Paka unakutana naye mlangoni anatoka........wengi mnaongelea Paka aliyefugwa Kwa kufundishwa......Sasa hawa wanyama wetu hawa mimbwa koko na mipaka inapambana na binadamu ,vita lazima iwe kali sana.....
 
🤣 🤣 🤣 Nimecheka sana. Eti vidagaa vyako amekula paka unakutana naye mlangoni anatoka...🤣
 
"-Dume limempanda jike, mtu anaanza kuwarusha mawe.,,"

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wakiwa wamenatana matako [emoji240] wanakuwa ata kujitetea hawawezi

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 
Ametunga hii story sidhani kama ana roho chafu kiasi hicho ingawa binadamu anafanya mengi

Watoto hawajui kitu wanatakiwa kufundishwa maadili
Yaani umtupie mtoto mbwa je kama angemuua?
Halafu eti Polisi wakaiacha kesi iishe tu

Hakuna ukweli hapo
Labda kama ametunga sawa ila kuna watu humu wanaona eti ni sawa tu
 
Labda kama ametunga sawa ila kuna watu humu wanaona eti ni sawa tu

Hao wana malezi mabaya tangu mwanzo

Unajua humu kuna wazuri na wabaya pia kuna majambazi sugu, na kila aina ya watu kama tunaowaona live
Wala sishangai kwa ukatili huo na mtu anasapoti
 
Kwa hiyo Kosa lao ni jina Kunguru? Kwa hiyo ww ukienda kule Songea ukamkuta jamaa anaitwa Kunguru (Majina hayo yapo kule) na ikatokea amepita mbele yako basi jiwe litamhusu? Tukubaliane hapo.
Ndio apite tu mbele
 

[emoji256][emoji256][emoji256]
 
Na wenzetu wanawapa mpaka Vitamins Mbwa na matangazo kila kona
 
Lakini usisahau. Unaweza ukaenda na hasira zako kwa nia ya kutia vilema wote yeye na mbwa wake halafu kibao kikageuka na ukajikuta wewe ndo unatiwa kilema. Hilo pia linawezekana au vp. Hasira Hasara.
Kweli ndio maana ukajiita kirumberumbe Yani ulitaka nikafungue jarada la kesi au ulitaka nikaanze kumuomba msamaha,bullshit!!!
Yani na huo mtaa angehama kwa mudA Kwanza labda isiwe kijana wangu aliyefanyiwa hivyo
 
Kweli ndio maana ukajiita kirumberumbe Yani ulitaka nikafungue jarada la kesi au ulitaka nikaanze kumuomba msamaha,bullshit!!!
Yani na huo mtaa angehama kwa mudA Kwanza labda isiwe kijana wangu aliyefanyiwa hivyo
Hapana mkuu; Sikutaka lolote kati ya hayo mawili bali Nilitaka tu utumie busara na hekima kuli-handle hilo suala . Ni hayo tu.
 
Ila mapaka yanadharau sijapata kuona, linaweza kukukata jicho kwa dharau likakupandisha na kukushusha halafu likamalizia kwa kukusonya[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…