Kwanini Watanzania wengi hufukuza ama kupiga wanyama bila sababu?

[emoji23]
 
sasa mtu hataki ngombe wale uroda anapiga mawe 😀
 
Hii haina tofauti na wale watanzania pale kivukoni wakishashuka kwenye ferry wanaanza kukimbia, bc ujue matatizo na shida ndiyo yanawafanya watu waheuke wafanye mambo kama hayo.
Kukimbia kwa pale kivukoni ni jambo la kihistoria na mazoea zaidi.

Kama ushafika Dar es salaam zamani na kufika kivukoni tambua zamani magari yalikua ya shida sana na daladala zilikua zinapaki right after lango la panton, basi watu walikua wakishuka tu ni mbio kuwahi daladala.

Ila kwa sasa kituo kipo mbali na bado utamaduni ukabaki ule ule....
 
Ndo umaskini wenyewe huo na sio wote wanakimbilia usafiri.
 
Elimu unahitajika sana kwenye hili, kwa Tanzania wanyamq wanayimwa haki zao ni mwendo wa cheos Kila kona
 
Akili yako haipo sawa, yaan mtoto anafanana na mbwa?? Hao wazazi labda ni masikini sana ila ingekua mm show ungeipata vzur
Mbwa wangu ni muhimu kuliko mtoto wa watu anayetafuta matatizo ya kujitakia. Una shida na hili pia?
 
Ni kwa sababu nilishawachoka awa watoto. Nilishawakataza mara kibao na kuwalalamikia wazazi wao lakini hakuna walichpkifanya kwani bado watoto wao wanazidi kuongezeka na kuwapiga walinzi wangu. Dawa pekee ya kuondoa huu ujinga ni ukatili tu, wembe kwa wembe. Na toka nifanye vile kwa yule mtoto inakaribia mwezi sasa hajakuja mjinga yeyote hapa nyumbani zaidi ya kunguru kuwaudhi hawa mbwa.
 
Nikikumbuka mbwa wangu watatu niliowapoteza kwa kulishwa sumu dah ni zaidi ya maumivu tena wote walikufa siku moja..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…