Kwanini Watoto wa Kike wa Marehemu Mafuru hata hawalii Msibani na hawana Wasiwasi tofauti na Misiba yetu Sisi Uswahilini ambapo hulia kwa Kukufuru?

Hii inau
Labda sisi wa uswazi huwa tuna bond sana na familia kuliko hao wa mageti makali ndio maana tunakua na hisia kali😂
Kweli. . Watoto wa matajiri na watu wakubwa wanaazia shule za bweni wakiwa wadogo mpaka vyuoni. Wengine nje ya nchi hivyo hisia kwa wazazi ziko chini.

Wanamjua matroni, masister kama shule zinamilikiwa na.madhehebu ya kidini pamoja na warden
 
Ni kweli tena mimi sijui itakuaje nilivyo. Nileleeni
 
Sometime bond kati ya watoto na baba. Unajua ukishakuwa mtumishi wa uma kwenye nyazifa za juu ni kuwa bize Sana, Leo upo Tanzania kesho upo London etc. sasa sisi wa kuhemea asubh jioni upo nyumbani ni tofauti
 
Ndugu waliomaanishwa hapo sio ndugu wa damu bali ndugu katika Kristo Yesu!
 
😄 🤣 😂 😆 😄 we jamaaa sio mazuri aise

Kwahiyo uliaji wa kimaskin ni wakupayuka na kugalagala na
Uliaji wa kitajiri niwa kukunja nne kwenye kiti huku unafuta tuchozi na kitaambaa au kukaa kimya sio
95% ya uliaji wa kupiga makelele ni umaskini na dhiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…