Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 13,336
- 12,370
Kwasababu ni viongozi wa ummaWatoto na wajukuu wa viongozi wakuu wa umma (Rais, Marais wastaafu, mawaziri, wakuu wa mikoa na wilaya, wabunge, wakurugenzi wa wilaya, wakuu wa mashirika ya umma, wakuu wa chama tawala, nk) hawako kwenye shule za umma wanazoziongoza kwanini? Ni watoto na wajukuu wa wakulima, wafugaji na watumishi wadogo wa umma wanaosoma kwenye shule za umma.
Hali hii iendelee hivihivi au kuna kitu kifanyike?
Atafute Hela ampeleke mtoto shule kwasababu niyeye aliyesababisha awepo duniani Hilo swali wengi wameliuliza hakuna jibu kwasasa jibu Zuri litakuwa la uchocheziHuna hela wewe tafuta hela utoe mentality ya kimasikini,
Yaani uwe Rais mwanao akasome shule ya msingi Mwembetogwa B au Kunduchi then umpeleke
Gerezani secondary school?
Aweeee aweeee wozaa!
ππ
Lakini pia Tanzania viongozi wengi ni wazeeWatoto na wajukuu wa viongozi wakuu wa umma (Rais, Marais wastaafu, mawaziri, wakuu wa mikoa na wilaya, wabunge, wakurugenzi wa wilaya, wakuu wa mashirika ya umma, wakuu wa chama tawala, nk) hawako kwenye shule za umma wanazoziongoza kwanini? Ni watoto na wajukuu wa wakulima, wafugaji na watumishi wadogo wa umma wanaosoma kwenye shule za umma.
Hali hii iendelee hivihivi au kuna kitu kifanyike?
Ili shule za umma zirudi kwenye ubora iwepo sharia kuwa watoto wa viongozi kuanzia rais, waziri, RC, DC na DED wasome shule za serikali.Watoto na wajukuu wa viongozi wakuu wa umma (Rais, Marais wastaafu, mawaziri, wakuu wa mikoa na wilaya, wabunge, wakurugenzi wa wilaya, wakuu wa mashirika ya umma, wakuu wa chama tawala, nk) hawako kwenye shule za umma wanazoziongoza kwanini? Ni watoto na wajukuu wa wakulima, wafugaji na watumishi wadogo wa umma wanaosoma kwenye shule za umma.
Hali hii iendelee hivihivi au kuna kitu kifanyike?
Kila mtu ana haki ya kusoma shule anayotaka,Watoto na wajukuu wa viongozi wakuu wa umma (Rais, Marais wastaafu, mawaziri, wakuu wa mikoa na wilaya, wabunge, wakurugenzi wa wilaya, wakuu wa mashirika ya umma, wakuu wa chama tawala, nk) hawako kwenye shule za umma wanazoziongoza kwanini? Ni watoto na wajukuu wa wakulima, wafugaji na watumishi wadogo wa umma wanaosoma kwenye shule za umma.
Hali hii iendelee hivihivi au kuna kitu kifanyike?
Wanasomea walikowekeza wazeeπ«Watoto na wajukuu wa viongozi wakuu wa umma (Rais, Marais wastaafu, mawaziri, wakuu wa mikoa na wilaya, wabunge, wakurugenzi wa wilaya, wakuu wa mashirika ya umma, wakuu wa chama tawala, nk) hawako kwenye shule za umma wanazoziongoza kwanini? Ni watoto na wajukuu wa wakulima, wafugaji na watumishi wadogo wa umma wanaosoma kwenye shule za umma.
Hali hii iendelee hivihivi au kuna kitu kifanyike?
Mbayuwayu kwao hapana,hiyo makitu ni kwa ajili yako na mimiJibu ni rahisi, "shule zetu ni kayumba, hawataki kuyumbisha watoto wao ".
Mbona sisi tulisoma nao Azania na Tambaza na haikuwa shida? Kama kuna hofu basi watawala wawajibike maana wao ndio chanzo.Hizo shule wanapelekwa kwa ajili ya usalama wa watoto wa Viongozi wetu wazalendo
Mara nyingi viongozi wanaokuwa na maadui wengi
huwezi kuwaweka na watoto wa maskini wasiovaa hata viatu hakuna chakula Wenye chuki na hasira kwa ajili ya ugumu wa maisha
Ni rahisi kuwadhuru watoto wa Viongozi
Alisikika kiongozi mmoja akitetea hoja πππ
WAMESOMA SHULE ZA UMMA. MIMI NILISOMA SHULE MOJA NA KUKAA DAWATI MOJA NA MTOTO WA WAZIRI WA ELIMU MUNGAI, MTOTO WA MKUU WA WILAYA BW. KILIVATA. LEO HII HATA MTOTO WA DIWANI HASOMI SHULE HIZO, LAKINI WAKATI WA KAMPENIKwanza niulize,
Hivi watoto wa Hayati Mwl.J.K.Nyerere walisoma shule za umma?.
Mimi nikiwa rais watoto wangu watasoma shule za umma zikiwemo hizi za kata(kwa sekondari).
Kuna dhambi nyingine wanaofanya hawa watunga sera na watunga Sheria wetu kwenye elimu. Watoto wao hawasomi shule za msingi na sekondari za umma lakini wanasoma kwenye vyuo vikuu vya umma vyenye unafuu wa ada. Hivyo watoto na wajukuu wanakwenda shule za private ili kupata ufaulu mkubwa ambao watautumia dhidi ya watoto wa walalahoi kupata nafasi ya kuingia vyuo vikuu vya umma vyenye ada ndogo na walimu wengi na scholarships mbalimbali zinazolenga watoto wenye ufaulu mkubwa. Hivyo wanatangeneza tabaka la walalahoi wa milele na walalahoi.Huwa nina mashaka makubwa sana na uzalendo wa viongozi wetu wengi.
Mfano waziri wa fedha.
Watoto wao wanasoma mifumo ya CambridgeOngezea na hii
Alafu haohao wakuu ni wanaotunga sera na ndio wafanyao mabadiliko ya mifumo ya elimu.
Mwisho wa siku changamoto za elimu yetu wanaokuja kuumia ni watoto wa maskini. Wakati huo wakwao wapo South.
Siku hizi shule za uma sio shule ni viwanda vya kuzalisha wajingaWatoto na wajukuu wa viongozi wakuu wa umma (Rais, Marais wastaafu, mawaziri, wakuu wa mikoa na wilaya, wabunge, wakurugenzi wa wilaya, wakuu wa mashirika ya umma, wakuu wa chama tawala, nk) hawako kwenye shule za umma wanazoziongoza kwanini? Ni watoto na wajukuu wa wakulima, wafugaji na watumishi wadogo wa umma wanaosoma kwenye shule za umma.
Hali hii iendelee hivihivi au kuna kitu kifanyike?
amkeeni amkeni amkeni bwaanaa!! kitanda wasichokilalia hawezi kuwajua kunguni wake. Lazima viongozi na watumishi wa umma wasome na kutibiwa shule na hospitali za umma ili wajue wapi panapovuja ikinyesha.Jibu ni rahisi, "shule zetu ni kayumba, hawataki kuyumbisha watoto wao ".
Lazima zitungwe sheria kali watoto wa viongozi wote lazima wasome shule za ummaWatoto na wajukuu wa viongozi wakuu wa umma (Rais, Marais wastaafu, mawaziri, wakuu wa mikoa na wilaya, wabunge, wakurugenzi wa wilaya, wakuu wa mashirika ya umma, wakuu wa chama tawala, nk) hawako kwenye shule za umma wanazoziongoza kwanini? Ni watoto na wajukuu wa wakulima, wafugaji na watumishi wadogo wa umma wanaosoma kwenye shule za umma.
Hali hii iendelee hivihivi au kuna kitu kifanyike?