Kwanini watoto wa viongozi wa umma hawasomi shule za umma?

Kwanini watoto wa viongozi wa umma hawasomi shule za umma?

Mkuu kiswahili ndio lugha ya taifa kufundishwa shuleni ni wajibu,lakini kujifunza lugha ya kiingereza kama tunavyojifunza katika masomo mengine kama hesabu,chemia na mengine kwa kuwa kiswahili ni changa hahijitosherezi kwenye nyanja nyingine.
Matokeo yake hata kazi ya udereva vijana wetu kupata kazi Saudia,Iraq,Bahrain,Kuwait, Qatar, UAE,hawapati kwa kuwa communication skills wanataka English tena basic.Lakini Kenya na Uganda wako madereva kwa maelfu.
English ndiyo kila kitu hakuna namna
 
Mkuu kiswahili ndio lugha ya taifa kufundishwa shuleni ni wajibu,lakini kujifunza lugha ya kiingereza kama tunavyojifunza katika masomo mengine kama hesabu,chemia na mengine kwa kuwa kiswahili ni changa hahijitosherezi kwenye nyanja nyingine.
Matokeo yake hata kazi ya udereva vijana wetu kupata kazi Saudia,Iraq,Bahrain,Kuwait, Qatar, UAE,hawapati kwa kuwa communication skills wanataka English tena basic.Lakini Kenya na Uganda wako madereva kwa maelfu.
Watu wenye akili na mtazamo kama wako ndio mnapendwa sana serikali ya ccm Ili waendele kuwatawa wewe na kizazi chako

Ebu niambie ofisi gani nyeti ya serikali inatumia lugha ya kiswahili?

Wewe unajua umuhimu wa kiswahili katika nchi hi kuliko Mawaziri ? Mbona wao watoto wao wanawapeleka English Media
 
Watoto na wajukuu wa viongozi wakuu wa umma (Rais, Marais wastaafu, mawaziri, wakuu wa mikoa na wilaya, wabunge, wakurugenzi wa wilaya, wakuu wa mashirika ya umma, wakuu wa chama tawala, nk) hawako kwenye shule za umma wanazozijenga na kuziongoza kwanini?

Ni watoto na wajukuu wa wakulima, wafugaji na watumishi wadogo wa umma wanaosoma kwenye shule za umma.

Hali hii iendelee hivihivi au kuna kitu kifanyike?

Lakini pia Tanzania viongozi wengi ni wazee

Walishamaliza kusomesha
makonda ni mzee? anahubiri uzalendo lakini mwanawe hasomi shule za kizalendo.
 
Lazima zitungwe sheria kali watoto wa viongozi wote lazima wasome shule za umma
ndo magufuli alikataa viongozi kutibiwa nje ya nchi, yeye na familia yake kutibiwa kwenye hospitali za umma ilisababisha yeye kuboresha hospitali za umma kama muhimbili na Mzena na nyinginezo. Kama viongozi wa umma watapeleka watoto wao kusoma kwenye shule za umma itasaidia kuziboresha.
 
ndo magufuli alikataa viongozi kutibiwa nje ya nchi, yeye na familia yake kutibiwa kwenye hospitali za umma ilisababisha yeye kuboresha hospitali za umma kama muhimbili na Mzena na nyinginezo. Kama viongozi wa umma watapeleka watoto wao kusoma kwenye shule za umma itasaidia kuziboresha.
Iwe ni sheria, haiwezekani unasema umeboresha huku mtoto wako hasomi hapo
 
Back
Top Bottom