Kwanini watoto wengi wanaua mama zao?

Umenena point
 
hapo sababu ukiachana na masharti ya ushirikina ni tmaa zote ni juu ya kupta mali ila kwa wale walizaliwa katika jamii ambazo hazijastaarabika yaani hazina elimu za kijamii wantagemea za wazungu basi ni hatar sana kwao

elimu ya jamii ni malezi tosha kuweza kuwa kuishi na watu pia kuheshimiana nao kujitambua mali sio kitu ila utu ndo kila kitu

jamii zingine mali wameweka mbele hapas sijati mtu maana zipo nyingi kama hawatoau kwa nguvu basi hata kwa waganga kuna hii pia unakuta mtu yupo kachiikaaa
 
Vipi yupe dogo bonge wakichaga clip inasambaa amefungwa pingu alienda iba na kenta kabisa dukani kwa baba yake ILHALI BABA ALISHAMFUNGULIA BIASHARA YAKE ..ila akaona akaibe na kwa baba??


 
Hamna lolote ni njaa tu imezidi maisha magumu na watoto wanatamaa sana sikuhiZ
 
Yeye mzazi alipewa mtaji nani? Acha ujinga, komaa kijana tafuta zako.
 
Fanya hii research mleta mada,hawa watoto wanaoua wazazi wao ndio watoto ambao udogoni walipewa mapenzi mazuri na ya kiwango cha juu kuliko kawaida...
 
Umetoa sababu za kijinga Sanaa

Hakuna sababu yoyote ya KU justify mauaji..kuua tu kosa iwe ulikerekwa au iwe vipi mauaji ya kukusudia ni mbaya Sana tena hasa Hawa wanao ua wazazi wao kisa Mali (Kama inavyodaiwa)
🤙🤙🤙
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…