Davidmmarista
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,367
- 2,451
- Thread starter
-
- #81
Ndio kile tunasema they talk without seeing behind the sceneKagame na museven umeona,wakibinafsisha vitu vyao sisi hadi gesi tumewapa wazungu, hadi bandari waarabu wanayo ila hao hawataki
Hebu nipe rate ya IQ yao, inawezekana ukawa mtu wa kwanza kufahamu IQ zaoKwa mtazamo wako mdau ila si kwa mambo na rate ya IQ iliopo kwa hawa waungwana
Sawa lkn kuna wengine hata hatuna jitihada sana lkn tunatusua tuKufaulu darasani sio kuwa na IQ kubwa fuatilia kufaulu ni jitihada binafsi, mbinu na kuwekeza muda kwenye kujifunza
Hawajabinafsisha na hawawezi kuziendeleza pia ndo ishara ya kuwa na IQ ndogoKagame na museven umeona,wakibinafsisha vitu vyao sisi hadi gesi tumewapa wazungu, hadi bandari waarabu wanayo ila hao hawataki
😂😂😂😂😂😂Napenda kutembea kwa miguu,napenda mziki na football,ninasoma siku za mitihani tu! na nnafaulu, hivi hapa kesho asubuhi nina mtihani na sisomi lkn ntaenda kuunyoosha kama pasi ya Phillips.
Na tabia nyinginezo nyingi za kigenius
😂😂😂😂😂😂Nenda kalime!!!
Sawa genius
soma kwanza upate IQ Ok
Vip genius ndo unaandaa chatbot au145 to 159: Highly gifte
Yep. Au nikusomee.Sawa genius
Sawa ila ukiamka asubuhi nenda kalimeUombe kwa adabu sasa Masikini ww
Kwa kipimo rasmi wewe uko group la IQ ya chini kabisaSometimes ni wapuuzi. Kama wale wa kusema Mungu hayupo tuwaangalie tu?
Hebu toka huko,unanijua mimi ni mtu maarufu tu hapa BongoKwa kipimo rasmi wewe uko group la IQ ya chini kabisa
Proof ya IQ ndogo hiiHebu toka huko,unanijua mimi ni mtu maarufu tu hapa Bongo
Na sasa hivi nipo katika kukamilisha chatbot yangu iliyo na ubora mara tano ya chat gpt
We unapima na nini kama sio low IQ inakusumbuaProof ya IQ ndogo hii
IQ haihusiani na mambo ya daraani kabisa wala sio kufanikiwa kimaisha yenyewe Ina deal na deep reasoning, problem solving, self displine na mambo mengi 90% ya IQ ya mtu ni genetically inherited 10% ndio hukuzwa na mambo kaba continuous learning, vyakula kama dagaa na samaki, puzzle na magame kama chess na mambo mengine kibaoSawa lkn kuna wengine hata hatuna jitihada sana lkn tunatusua tu
Aya niambie IQ kubwa ni nini
Mtu hatakiwi kumwambia mtu mwingine ana IQ ndogo. Hamna vithibisho ni kweli Kuna wenye IQ ndogo below 120 lakini huwezi kukadiria IQ ya mtu bils wataalamuWe unapima na nini kama sio low IQ inakusumbua
Sifahamu kwa kweli bro nitakudanganya lakini hawa viongozi wameondoka wakionesha mambo mkubwa katika jamiiHebu nipe rate ya IQ yao, inawezekana ukawa mtu wa kwanza kufahamu IQ zao
Mamaa wivu..Wivu, Wivu , Wivu