Kwanini watu wa kamera wanaruhusiwa kuhujumu ziara ya Rais Samia?

Kuwajua wanawake aitaki uende darasani, anataka aonekane alivyokuwa mrembo kwenye mahala pakupiga kazi. Rais maskini wa fikra sana huyu. Tanzania nchi yangu yenye maajabu ya karne.
 
Kuwajua wanawake aitaki uende darasani, anataka aonekane alivyokuwa mrembo kwenye mahala pakupiga kazi. Rais maskini wa fikra sana huyu. Tanzania nchi yangu yenye maajabu ya karne.
Hili si suala la wanawake, marais wote wa Tanzania wameuza sura.

Na kwa kweli, kuuza sura ni sehemu ya kazi ya urais.

Wanasheria wana msemo wao kwamba haki si tu ifanyike, bali pia ionekane kwamba imefanyika.

Kwenye siasa nako ni hivyo hivyo, watu wana haki ya kikatiba ya kujulishwa habari za uongozi wa nchi yao.

Kwa hivyo, kwa upande fulani, rais asiyejali image ni rais asiyejua kazi yake.

Ila, kuna namna ya ku handle image bila ya kufanya habari ya image iwe ina derail mazungumzo.

Samia kashindwa kuweka proportion, inaonekana kuwa anakereka sana na anavyosemwa, na hana kifua cha kupuuzia maneno asiyajibu wakati hapohapo anayafanyia kazi.

Kwenye kujali image ni sawa rais kujali image. Na marais wote wamekuwa so careful kwenye image.
 
Rais yupo concerned na mambo yasiyo na tija mitandaoni ilhali kuna issues kibao tu humu ambazo hata hazizungumzii.

Wastaafu wengi wanadai mapunjo ya pensions zao na waziri anacheza reggae tu.

At anasafiri akisikiliza mtu mmoja mmoja.
 
Baada ya awamu ya kwanza ya Kikwete wananchi wengi wanaokwenda kwenye mikutano ya kiserikali wanavutwa yeye si wa kwanza. Kwa Magufuli walikuwa wanasombwa kwa malori kupelekwa wilayani.
Wasombaji wamehamia UKAWA eti?
 
Aachane na hao waandishi kama hana imani nao Raisi awe anatembea na kamera yake anajipiga mwenyewe akiwa na umati amesimama juu ya gari na kurusha mitandaoni atakuwa amemaliza fitina
 
2025 wala asigombee. Hana haiba ya leadership. Kina Mwigulu wanamgeuza geuza kama chapati.
Hatogombea Hilo liko wazi, tatzo Hasa ni muda uliobaki Hadi kufika 2025 pareeeefu sana, ni safari inayochosha akili na mwili.

Ameanza kukosa USINGIZI kama uncle.
 
Kulikuwa hakuna haja ya kuwaita wapande juu ya magari ili kupata picha.

Umati unaonekana tu hata ukiwa chini.

Watu wana njaa, maisha yamepanda mno, ashughulikie hilo,
Yaani uuvizie umati kuupiga picha.?!
 
Kazi anayofanya Mama Samia ni kubwa mno. Au hamwoni Mbowe na chama chake wako kimya wanafurahia kishindo cha Mama Samia?
 
Ina maana hawana picha za kutumia dronesmbona hata millard ayo na director Ken wana drones.
 
Ndiyo kwanza Agosti, sijui ikifika Mwezi Disemba hali itakuwaje 🙆
Itakuwa hivyo hivyo,kwanza mshukuri Bei zimeshuka kidogo maana natamani gunia lifike laki Ili nipige hela ila sioni likifika hata hiyo disemba au mwezi wa 2 unless mvua zizingue.
 
Hiyo inatusaidia nini kupambana na ugumu wa maisha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…