MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
- Thread starter
- #121
Hiyo ni opening statement, huyo boya aione
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni opening statement, huyo boya aione
Hakika Leo nimeamini kiswahili Ni kigumu,Kama kweli nilichoelewa kwenye comment sicho ulichomaanisha🙌🙌Hakuna sehemu niliyosema hivyo,soma tena comment yangu kwa umakini.
🤣🤣🤣🤣🤣Umenichekesha!Nilitaka kuanzisha uzi wa namna hii baada ya kwenda mkoa mmoja hivi. Yaani hata kama umeinamna hujamuona mtu utashangaa mtu kasimama analalamika hujaitikia salamu yake na humjui hakujui very boring
Mwingine yupo mbali mita kadhaa nae analazimisha salamu kelele kama zote hata hamfahamiani
Hawa ndiyo wasomi wetu [emoji4]Nchi ya malalamiko.
Aah mtongozo wapi ndio salamu zenyewe hizo zinazochosha ubongo.
Kha😂😂😂Utafanya jamii na wanaJF wanione nimeoa Mwanamke asiye na tabia njema, hivyo ni Bora ubakie palepale ili nieleze kuwa MKE wangu ni mgeni Kutoka Nchi za Ulaya Huko hajui Kiswahili vizuri, ndio maana anashindwa kusalimia, alafu utapewa nafasi ya kupunga angalau kamkono na kutabasamu tuu.
Hilo halitokushinda Darling 😊
Hiyo ni opening statement, ata kwenye barua formal tunaanza na opening statement.Hupendi salamu, ila umeanza na "habari wana jf" hufikirii kama utatupotezea muda kukujibu!?
Hii ni kwenu wapori poriunasemaje we mtambo rudia tena...
Mkuu tunakemea uzeeJamaa ameanza kuzeeka sasa shikamoo nyingi zinamuuma. Uzee sio dhambi wewe
Kha😂😂😂
Huwa inakera sana mtu kushindwa kufuata mambo yake anasalimia salimia mara kuulizia ulizia hovyo. Mimi napenda ukimya na nafurahi mtu akiwa busy na mambo yake
Mkuu, muda ni fedha, uwezi tumia nusu ya siku yako kuulizana mambo ya kipuuzi, mtu anakuuliza haujambo wakati uko road, ungekua na shida si ungekua hospital au rumande. Tumia kichwa kufikiri siyo kusukia rasta madamUnajua unaweza jiona una msimamo kumbe umejawa kiburi au ukajiona upo sahihi kumbe utoto na ushamba unakusumbua. Nasikitika unatuonyesha udhaifu wa wazazi wako hujui thamani ya salamu kwakua unahisi atakaekuzika ni yule ndugu yako tu unaemjua.
Watu kama nyie mnakuaga hamna mchango wowote kwenye familia alafu ndio wakwanza kukaza fuvu.
Jamaa ameanza kuzeeka sasa shikamoo nyingi zinamuuma. Uzee sio dhambi wewe
Ni kama mimi tu, shikamoo zimekuwa nyingi mpaka kero. Naamkiwa mpaka na vijana wakubwa. Naamkiwa mpaka kwenye sms. Kwenye bus unaambiwa "mzee onyesha tiketi". Unajiuliza hii ni mzee ya kishkaji au ndio uzee tayari?!Kwa kweli uzee bhana!
Siku hizi nasalimia Shikamoo Uncle, mwanzoni nilihisi kama wanakosea Kwa bahati Mbaya, lakini kadiri siku zinavyoenda nimethibitisha nimekua Mzee SASA.
Haiwezekani niende sehemu nyingine nisiyojulikana alafu Watoto wa eneo hilo wanisalimia Uncle.
Hiyo ilikuwa taa nyekundu kuwa uzee hauko mbali
Fikiria upo katika mazingira ya ugenini,umepatwa ajali unataka kusema watu wakuache mpaka waje wanaokujua ? Acha maringo salimia watuHabari wana JF
Niko shamba kwa mitikasi ya hapa na pale, yaani kila mtu anasalimia, kwa siku unasalimiwa zaidi ya mara 200
Mambo ya kijinga sana na ni code za kishamba sana, unakuta una mawazo yako mtu ana ku-distract alafu cha ajabu hakujui na hiyo salamu haijengi chochote.
Kwa hesabu ya kawaida energy unayotumia kujibu watu 200 ukii-conserve unaweza ukafanya jambo kubwa la msingi.
Tusalimie watu tunaowajua na tuwe tunamaanisha, vinginevyo tunachoshana. Mmesikia nyinyi wapori pori?