Atanifanyiaje kitu chochote wakati hayupo!?Yaani wewe unataka Mungu akufanyie kila kitu kama mtoto mchanga,vip na hyo akili amekupatia ya kazi gani sasa? Wewe siyo Roboti
Ili dunia iwepo na maisha yaendelee lazima hali zote ziwepo kupata na kukosa na uzima na maradhi yawepo hiyo ndio dunia haiwezekani watu wooote wawe matajiri maisha yesingekuwa poa kabisaTazama hiyo video halafu useme ilikuwaje mtoto mdogo akawa vuguvugu.
Vipi umewahi kwenda hospital kitengo cha Cancer na kuona watu wanavyooza?
Wanaoza kwasababu ya uvuguvugu?
Ficha ujinga wakoSasa Mungu alivyokuleta umuabudu yeye anapata faida gani?
Kwanini alipata wazo la ghafra akaharakisha kuumba vitu ndani ya siku, hilo wazo la haraka hivyo alilipata wapi kwanini asingebaki kwenye umilele akaamua kuumba dunia ambayo ni kama machinjio na mateso kwa viumbe wake.
Hilo lengo la kuletwa dunian sijui umelitoa wapi,
Unaweza kuthibitisha kama Mungu kweli yupo?
Acha kuchafua hoja,Ficha ujinga wako
Asili yako "binadamu" ni ipi?Mungu hayupo.
Anchana na wishful thinking uliyonayo.
Labda kama unaweza kutuelezea kwa vithibitisho tujue kama kweli Mungu yupo.
Safi mkuu, mambo yako?Mambo you?!
Mungu afanye kazi yake... Aache kutupandikiza udhaifu halafu anatuadhibu. Yeye ni mkuu anao uwezo wa kurekebisha.Ni sawa na kusema,nimejikuta nimezaliwa,na nimekuwa nisifanye kazi yoyote,nisubiri kulishwa itakuwa ni ujinga huo.
Huyo shetani,ni wewe mwenyewe unamfuata,uifuate gari ikugonge,uumie,halafu useme gari ziondolewa barabarani,wakati hizo zinamanufaa.
Shetani ni mtihani,kama mtihani wa shule,chuo,kazini na kwingineko,ili ufauli mtihani upate malipo mazuri,ukifeli mtihani shule,chuo ndio umeanguka kimasomo,ukifeli interview hupati kazi,utalaumu Mwalimu?.Na katika maisha hivyo hivyo,shetan ni mtihani,ukimfuata utaanguka kimaisha.Acha kumfuata shetani,unakwenda zini bila ndoa,unapata mtoo,unamlaunu Mungu,wakati umekwenda mwenyewe kufanya tendo lililokatazwa na Mungu.Unakwenda kunywa pombe,Unapata ajali,unamlaumu Mungu ,wakati ulishakatazwa na Mungu usilewe.
Na ni Mungu ndo kaniumba hivi. Alaumiwe yeyeShetani Inaweza Ikawa Wewe Pia kwa Hiyo Muda ukifika Utaondoka,Shetani Ni yoyote anayepinga Amri za mungu.
NdioKumbe na wewe ni atheist?
Kifo ni njia ya kuondoka Duniani kwa Kila kiumbe ni lazima japo Kuna vifo kwa matakwa ya wanadamu mfano wachawi na vya matakwa ya Mungu.Umeshindwa kujibu kama inavyopaswa,
Nlikuuliza hv
Au si za Mungu?
- Sasa kwanini Hadi hzo nyumba za ibaada zinabomoka?
Unasema sio yote ni ya Mungu
Sawa, sio makanisa yote ni ya Mungu ila yapo baadhi ni ya Mungu yanayokutwa na majanga. (kwa mujibu wako)
Sasa tumia hoja ya hizo nyumba baadhi ambazo ni za Mungu, achana na zisizo za Mungu kujibu swali langu.
Kwanini hizo nyumba baadhi ambazo ni za Mungu (sio zote) zinabomoka wakati wa majanga ya asili wakati ni zakwake?
♦️♦️♦️♦️♦️♦️♦️♦️♦️♦️♦️♦️♦️♦️
Swali jingine ni hili hujalijibu,
Ulisemavkuwa watu wanakufa kwasababu hawamtumainii Mungu,
Wote waliokufa kwenye matetemeko hawamtumainii Mungu?
Next time you tag me
Kifo ni njia ya kuondoka Duniani kwa Kila kiumbe ni lazima japo Kuna vifo kwa matakwa ya wanadamu mfano wachawi na vya matakwa ya Mungu.
Nimekupa jibu kuhusu makanisa kupitia maandiko ndipo utaweza yatambua yapi ni ya Mungu na yapi Sio.
Majanga ya asili uwapata wote sawa na mvua zinanyesha kote kwa waovu na wema kulingana na mapenzi ya Mungu kadri atakavyo kwa maana Kila mmoja kaandikiwa siku yake.
Shida huja kwa Nia mbalimbali mfano kukukomaza,kukufunza,kukuepusha na hatari kubwa zaidi,kukulinda na mabaya,kukuletea NEEMA kubwa mbeleni nk
Ulisema kuwa watu wanakufa kwasababu hawamtumainii Mungu,
Wote waliokufa kwenye matetemeko hawamtumainii Mungu
Unasahau mada hapo awali tuliongelea kuhusu vifo.Kifo ni njia ya kuondoka Duniani kwa Kila kiumbe ni lazima japo Kuna vifo kwa matakwa ya wanadamu mfano wachawi na vya matakwa ya Mungu.
Unasema sio yote ni ya Mungu
Sawa, sio makanisa yote ni ya Mungu ila yapo baadhi ni ya Mungu yanayokutwa na majanga. (kwa mujibu wako)
Sasa tumia hoja ya hizo nyumba baadhi ambazo ni za Mungu, achana na zisizo za Mungu kujibu swali langu.
Kwanini hizo nyumba baadhi ambazo ni za Mungu (sio zote) zinabomoka wakati wa majanga ya asili wakati ni zakwake?
Yote hayo umeongea lakini unarudi hapo hapo kwenye square ya 1.Nimekupa jibu kuhusu makanisa kupitia maandiko ndipo utaweza yatambua yapi ni ya Mungu na yapi Sio.
Majanga ya asili uwapata wote sawa na mvua zinanyesha kote kwa waovu na wema kulingana na mapenzi ya Mungu kadri atakavyo kwa maana Kila mmoja kaandikiwa siku yake.
Shida huja kwa Nia mbalimbali mfano kukukomaza,kukufunza,kukuepusha na hatari kubwa zaidi,kukulinda na mabaya,kukuletea NEEMA kubwa mbeleni nk
China , Korea zote na Japan hawaamini katika mungu na ndo wanaendelea kuliko jamii zinazomuamini mungu
Asili ya binadamuAsili yako "binadamu" ni ipi?
Dunia ni makao ya mda mfupi ya Mwanadamu thus yote uliyoyataja yataishia tu huku Duniani.Hujaweza kunijibu bado, unatengeneza swali lako na kulijibu
Embu fuatilia mtiririko huu nliouchanganua
Unasahau mada hapo awali tuliongelea kuhusu vifo.
Na ukasema watu wanakufa kwenye majanga kwasababu hawamtumainii Mungu.
Nkakuuliza wote wafao kwenye matetemeko hawamtumainii Mungu?
Tena hadi nyumba za ibada kwenye miradi yake ya kuvuna pesa (makanisa+misikiti) tunaona inabomoka kwasababu ya majanga hayo.
Kweli inawezekana hicho kitu na Mungu kuwepo then aruhusu?
Hapa pia kuna mtiririko usio na logic kama wa hapo juu
Yote hayo umeongea lakini unarudi hapo hapo kwenye square ya 1.
Kama huyo Mungu mjuzi wa yote, Mungu muweza wa yote na mwenye upendo wote inawezekana vipi aruhusu watu wataabike kwa shida na mateso?
Kama alikuwa na uwezo wote asingeshindwa kuumba ulimwengu usiowezekana mateso hayo yanayosababishwa na mabaya.
Nmebold hapo umesema kuwa shida zinakuja ili kutufunza na kutulinda na mabaya.
Wakati Haya mabaya ni huyo Mungu ndio kayatengenezea mazingira ya kuwezekana kwenye ulimwengu wake.
Huoni kama huyu Mungu hayupo, ni wakuungwa ungwa tu na watu ndio maana anajipinga mwenyewe kimantiki.?
Kwamba dunia ni makao ya muda, means kuna makao mengine mkuu?Dunia ni makao ya mda mfupi ya Mwanadamu thus yote uliyoyataja yataishia tu huku Duniani.
Sasa hata kama ni makazi ya muda, ndio mabaya yawezekane?Dunia ni makao ya mda mfupi ya Mwanadamu thus yote uliyoyataja yataishia tu huku Duniani.
Hizo ni story za abunuwasi eti species mbona siku hizi binadam hawabadiliki kwa mujibu wenu means mabadiliko ni on going process na Sio static,mbona binadam amestack kubadili kuelekea another species.Asili ya binadamu
(unapoongelea bonadamu unaongelea ni species ya homo sapiens)
Binadamu (homo Sapiens) ana asili ya kimsingi kutoka kwenye mnyama wa kale anayefahamika kama Homo habilis, ambaye aliishi takriban miaka 2.4 hadi 1.4 milioni iliyopita. Hapo awali, binadamu wa kale (homo habilis) waliishi katika mazingira ya pori huko Afrika Mashariki, ambayo ni sehemu ya sasa ya Tanzania na Kenya.
Kupitia mchakato wa mamilioni ya miaka, spishi mpya zilijitokeza, kama vile Homo erectus, Homo neanderthalensis, na mwisho Homo sapiens, ambao ndio spishi pekee ya binadamu inayosalia duniani leo.