Kwanini watu wanapata shida na dhiki duniani, Mungu hana huruma?

Je hadithi hiyo inauhusiano gani na uwepo wa Mungu?
 
Ana utajiri usiokwisha,,,,,

Hiyo statement ndio inamwelezea Mungu vyema,
Kama utajiri unaoujua wewe unaisha ujue sio huo unaomaanishwa kwenye statement hiyo, kama amani unayoijua wewe inaishia basi jua siyo hiyo inayozungumziwa,
 
Hujaweza kuthibitisha Mungu yupo.

Fuatilia mtiririko huu,
Yaani watu wanaona mfano mtu akiwa na ulemavu fulani basi kalaaniwa au ana madhambi kumbe hamna

Sometimes nature tu na hitilafu miili ni ya nyama hii

Kama jibu ni nature na hitilafu sawa ✅

Lakini ni udhihirisho mwingine kuonesha kuwa Mungu mjuzi wa yote, muweza wa yote na mwenye upendo wote hayupo na wala hawezekani kuwepo.

Angekuwepo hizo hitilafu za maumbile tusingeziona
Sasa kwa mtirirko huu uliouvamia na maelezo ya wanafunzi shuleni nashindwa kukuelewa.

Umejibu mtiririko usiouelewa,
Hivyo sijakuelewa.

Unaweza thibitisha Mungu yupo?
 
Ana utajiri usiokwisha,,,,,

Hiyo statement ndio inamwelezea Mungu vyema,
Kama utajiri unaoujua wewe unaisha ujue sio huo unaomaanishwa kwenye statement hiyo, kama amani unayoijua wewe inaishia basi jua siyo hiyo inayozungumziwa,
Alfu lela ulela
 
Umesema shetani ni mtihani?
Unamaanisha nini
 
Mungu hahusiki, hiyo ni kazi ya mtu mwingine kabisa, siwezi mtaja sababu ni mteja wangu.
 
Kaka wewe unataka uchakate mbususu ,ukitoka kwenda kazi Hela inamwagika ,mvua ikunyeshee kwa muda ,usiibiwe ,usirogwe na kadhalika ,Yaani mteremko ndo ujue mungu yupo kazi full time ,anakupigania ???[emoji23][emoji23][emoji23]namshukuru mungu kwa mapito na mateso yote aliyoruhusu nipate .,Kuna mengi nlijifunza from them .
Ulipo unavuta hewa Bure ,usalama unao ,mlo Leo umepata ,jua kesho unauhakika lazima lichomoze na litue ,una ardhi na nguvu mpaka simu yakumtusi ukisema hajiwezi ...
Jifunze kushkuru ,utajiri ni bidii yako mwenyewe , au wataka akuletee maburubgutu ya dola uamke pap don ???[emoji23][emoji23][emoji23]
Muulize tajiri yyte analalaje usiku ,atavuta pumzi ndefu ndo akujibu .
Sijui lini nlilala nkashiba usingizi na Hela amenibariki nayo
 
Narudia kukujibu,Mungu uokoa walio wake.Iman haithibitishwi kwa macho tu,si Kila alitajale jina la Mungu au aingiaye kanisan anamuabudu Mungu pia Sio yote makanisa ni ya Mungu inakuhitaji macho ya rohoni kuyatofautisha kupitia maandiko.
 
Nikuulize swali?!

Unaweza kunambia kitu gani ambacho mwanadamu anaweza kukiongelea na hakipo kabisa.....?! Yaani hata idea yake hakipo kama vile mwaka 1920 ukizungumiza iPhone 14 pro max nani angekuelewa na ungeilezea vipi kwa watu bila kukuona mwehu na haueleweki?!

Je, unaweza nambia sasa ni kitu gani ambacho mwanadamu anaweza kukiongelea na hakipo kabisa popote pale?
 
Unaweza kuvuka highway huku unachezea simu ukitembea taratibu?!
 
Tunaweza kuongelea Taa ya dhahabu ing'arayo pale juani,

Tunaweza kuongelea habari za Spiderman, James bond, Mungu, wanyonya damu wa kule primary, Ngoswe, Yajuj wa Majuj, joka la dhahabu, kuna lile lidragon litakalokwangua theluthi ya nyota zote zianguke duniani n. K
 
Nenda mlimani city pale mbona yupo[emoji23][emoji23][emoji23]
Unaelewa maana ya spiderman?
Au ukikuta kinyago chake ndiyo huyo unadhani tunamuongelea?

Anaweza kutoa web huyo?
 
Unaweza kuvuka highway huku unachezea simu ukitembea taratibu?!
Uwezekano upo, na unaweza vuka gari zikasimama tu zisikugonge.

Japo Hujajibu hoja nliyowapa hapo.

Mmesema kuwa kifo ni kuchagua.

Nmewauliza mtoto nae akifa anakuwa amechagua?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…