Kwanini watu wengi siku hizi hujifanya ni usalama wa taifa, askari au wanajeshi?

Kwanini watu wengi siku hizi hujifanya ni usalama wa taifa, askari au wanajeshi?

Makari hodari

JF-Expert Member
Joined
May 17, 2022
Posts
3,339
Reaction score
6,666
Habari za leo wanajamvi!

Natumaini wote ni wazima wa afya na tunaendelea vyema kusukuma gurudumu la maendeleo ya taifa letu ingawa ni kwa kasi ya kobe lakini si haba, tukishirikiana na serikali yetu tukufu.

Kwa miaka kadhaa ya hivi karibuni kama wewe/nyinyi ni wafuatiliaji/mfuatiliaji/wadadisi/mdadisi wa mambo Kumekuwa na wimbi au tabia ya watanzania wengi hususani vijana kuthubutu bila woga kujifanya na kutamka mbele ya umati kwamba yeye au fulani ni mwanajeshi au askari.

Wapo wanaofika mbali kufanyia watu ubabe au unyang'aji na huku wakitoa vitisho, dhihaka na kujinadi au kutafuta sifa kwamba yeye/wao ni mwanajeshi/wanajeshi au polisi. Bila hofu wala uoga mwingine anadiriki kusema au kutafuta sifa kwambe yeye ni member wa "TISS" (Mwanajeshi/afisa Usalama wa taifa) na anathubutu kuzisambaza taarifa zile bila woga dhidi ya fulani au yeye mwenyewe. Inamaana vitengo hivyo vimekuwa poapoa tu kiasi kwamba hata ule usiri haupo tena? Yaan TISS siku hizi anafahamika kizembe tu kama katibu kata wa kawaida au mwenyekiti wa serikali ya mtaa.

Mnafkiri kwanini ongezeko la watu wajingawajinga wa namna hii linakuwa kwa kasi hapa nchini?!...Ni ukosefu wa ajira kiasi kwamba mtu/watu wanaona huko ni sehemu bora na salama zaidi. au kutafuta kuogopeka au ni kutest mitambo kama waswahili wasemavyo uone nini kitatokea? Au wao wenyewe TISS, na vyombo vingine vya usalama wanaachia hali hii iendelee na vitengo hivi nyeti viendelee kuonekana ni kitu cha kawaida au mihemko tu?

Sijui kama watu wa namna hii kama wanaitambua hatari yake pale ambapo wao wenyewe wakiamua kukuchukua/kuwachukua na kukuweka/kuwaweka chini ya ulinzi kwenye machimbo yao wanayoyajua wao wenyewe na serikali yao.

Tafadhali TISS ni vyema mkashughulika na hili rasmi ingawa mnashughulika na critical issues, this is terrible!

Nakupenda Tanzania! 🇹🇿❤💪🏾
 
Habari za leo wanajamvi!

Natumaini wote ni wazima wa afya na tunaendelea vyema kusukuma gurudumu la maendeleo ya taifa letu ingawa ni kwa kasi ya kobe lakini si haba, tukishirikiana na serikali yetu tukufu.

Kwa miaka kadhaa ya hivi karibuni kama wewe/nyinyi ni wafuatiliaji/mfuatiliaji/wadadisi/mdadisi wa mambo Kumekuwa na wimbi au tabia ya watanzania wengi hususani vijana kuthubutu bila woga kujifanya na kutamka mbele ya umati kwamba yeye au fulani ni mwanajeshi au askari.

Wapo wanaofika mbali kufanyia watu ubabe au unyang'aji na huku wakitoa vitisho, dhihaka na kujinadi au kutafuta sifa kwamba yeye/wao ni mwanajeshi/wanajeshi au polisi. Bila hofu wala uoga mwingine anadiriki kusema au kutafuta sifa kwambe yeye ni member wa "TISS" (Mwanajeshi wa Usalama wa taifa) na anathubutu kuzisambaza taarifa zile bila woga dhidi ya fulani au yeye mwenyewe. Inamaana vitengo hivyo vimekuwa poapoa tu kiasi kwamba hata ule usiri haupo tena? Yaan TISS siku hizi anafahamika kizembe tu kama katibu kata wa kawaida au mwenyekiti wa serikali ya mtaa.

Mnafkiri kwanini ongezeko la watu wajingawajinga wa namna hii linakuwa kwa kasi hapa nchini?!...Ni ukosefu wa ajira kiasi kwamba mtu/watu wanaona huko ni sehemu bora na salama zaidi. au kutafuta kuogopeka au ni kutest mitambo kama waswahili wasemavyo uone nini kitatokea? Au wao wenyewe TISS, na vyombo vingine vya usalama wanaachia hali hii iendelee na vitengo hivi nyeti viendelee kuonekana ni kitu cha kawaida au mihemko tu?

Sijui kama watu wa namna hii kama wanaitambua hatari yake pale ambapo wao wenyewe wakiamua kukuchukua/kuwachukua na kukuweka/kuwaweka chini ya ulinzi kwenye machimbo yao wanayoyajua wao wenyewe na serikali yao.

Tafadhali TISS ni vyema mkashughulika na hili rasmi ingawa mnashughulika na critical issues, this is terrible!

Nakupenda Tanzania! 🇹🇿❤💪🏾
afya ya akili ina matege
 
Wewe jamaa una shida kubwa sana hujajua tu. Muone Mwamposa kwa uponyaji wa binadamu wa aina yako.
 
Usalama wa taifa naonaga hawanaga sare afu wengi hujichanganya tu unaeza kuta hata watch man ni usalama wa taifa
 
Habari za leo wanajamvi!

Natumaini wote ni wazima wa afya na tunaendelea vyema kusukuma gurudumu la maendeleo ya taifa letu ingawa ni kwa kasi ya kobe lakini si haba, tukishirikiana na serikali yetu tukufu.

Kwa miaka kadhaa ya hivi karibuni kama wewe/nyinyi ni wafuatiliaji/mfuatiliaji/wadadisi/mdadisi wa mambo Kumekuwa na wimbi au tabia ya watanzania wengi hususani vijana kuthubutu bila woga kujifanya na kutamka mbele ya umati kwamba yeye au fulani ni mwanajeshi au askari.

Wapo wanaofika mbali kufanyia watu ubabe au unyang'aji na huku wakitoa vitisho, dhihaka na kujinadi au kutafuta sifa kwamba yeye/wao ni mwanajeshi/wanajeshi au polisi. Bila hofu wala uoga mwingine anadiriki kusema au kutafuta sifa kwambe yeye ni member wa "TISS" (Mwanajeshi wa Usalama wa taifa) na anathubutu kuzisambaza taarifa zile bila woga dhidi ya fulani au yeye mwenyewe. Inamaana vitengo hivyo vimekuwa poapoa tu kiasi kwamba hata ule usiri haupo tena? Yaan TISS siku hizi anafahamika kizembe tu kama katibu kata wa kawaida au mwenyekiti wa serikali ya mtaa.

Mnafkiri kwanini ongezeko la watu wajingawajinga wa namna hii linakuwa kwa kasi hapa nchini?!...Ni ukosefu wa ajira kiasi kwamba mtu/watu wanaona huko ni sehemu bora na salama zaidi. au kutafuta kuogopeka au ni kutest mitambo kama waswahili wasemavyo uone nini kitatokea? Au wao wenyewe TISS, na vyombo vingine vya usalama wanaachia hali hii iendelee na vitengo hivi nyeti viendelee kuonekana ni kitu cha kawaida au mihemko tu?

Sijui kama watu wa namna hii kama wanaitambua hatari yake pale ambapo wao wenyewe wakiamua kukuchukua/kuwachukua na kukuweka/kuwaweka chini ya ulinzi kwenye machimbo yao wanayoyajua wao wenyewe na serikali yao.

Tafadhali TISS ni vyema mkashughulika na hili rasmi ingawa mnashughulika na critical issues, this is terrible!

Nakupenda Tanzania! 🇹🇿❤💪🏾
Ushamba tuu na kutojitambua!
 
Umejibu swali au umekasirika?
Samahani.... uko timamu mkuu?! Au unatumia simu ukiwa ushapendeza tayari?! 😀

Nani kakasirika hapo?! Inamaana huoni kuna compliment yenye swali juu yako na jibu vilevile?!

Una umri gani na elimu gani komredi?! 😀
 
Back
Top Bottom