Kwanini watu wengi siku hizi hujifanya ni usalama wa taifa, askari au wanajeshi?

Kwanini watu wengi siku hizi hujifanya ni usalama wa taifa, askari au wanajeshi?

wanadhani ni sifa kumbe uzwazwa tu, kama zamani mtu anajiita mzungu.
Na hawanaga hela hawa jamaa... ni kukopa tu na kuombaomba

Akishajinadi anakuita pembeni anakusaundisha alafu anakukopa... maneno meeeengi kama maneno 10 wa jambo na vijambo 😅😅😅

Kwa payroll zile TISS awe na njaa za kukopa hovyo kitaa?! 😳😅😅😅🙌🏾
 
Samahani.... uko timamu mkuu?! Au unatumia simu ukiwa ushapendeza tayari?! 😀

Nani kakasirika hapo?! Inamaana huoni kuna compliment yenye swali juu yako na jibu vilevile?!

Una umri gani na elimu gani komredi?! 😀
Ukijibiwa hayo maswali hautokasirika?Maana nina majibu yenye kuudhi tu.
 
Habari za leo wanajamvi!

Natumaini wote ni wazima wa afya na tunaendelea vyema kusukuma gurudumu la maendeleo ya taifa letu ingawa ni kwa kasi ya kobe lakini si haba, tukishirikiana na serikali yetu tukufu.

Kwa miaka kadhaa ya hivi karibuni kama wewe/nyinyi ni wafuatiliaji/mfuatiliaji/wadadisi/mdadisi wa mambo Kumekuwa na wimbi au tabia ya watanzania wengi hususani vijana kuthubutu bila woga kujifanya na kutamka mbele ya umati kwamba yeye au fulani ni mwanajeshi au askari.

Wapo wanaofika mbali kufanyia watu ubabe au unyang'aji na huku wakitoa vitisho, dhihaka na kujinadi au kutafuta sifa kwamba yeye/wao ni mwanajeshi/wanajeshi au polisi. Bila hofu wala uoga mwingine anadiriki kusema au kutafuta sifa kwambe yeye ni member wa "TISS" (Mwanajeshi/afisa Usalama wa taifa) na anathubutu kuzisambaza taarifa zile bila woga dhidi ya fulani au yeye mwenyewe. Inamaana vitengo hivyo vimekuwa poapoa tu kiasi kwamba hata ule usiri haupo tena? Yaan TISS siku hizi anafahamika kizembe tu kama katibu kata wa kawaida au mwenyekiti wa serikali ya mtaa.

Mnafkiri kwanini ongezeko la watu wajingawajinga wa namna hii linakuwa kwa kasi hapa nchini?!...Ni ukosefu wa ajira kiasi kwamba mtu/watu wanaona huko ni sehemu bora na salama zaidi. au kutafuta kuogopeka au ni kutest mitambo kama waswahili wasemavyo uone nini kitatokea? Au wao wenyewe TISS, na vyombo vingine vya usalama wanaachia hali hii iendelee na vitengo hivi nyeti viendelee kuonekana ni kitu cha kawaida au mihemko tu?

Sijui kama watu wa namna hii kama wanaitambua hatari yake pale ambapo wao wenyewe wakiamua kukuchukua/kuwachukua na kukuweka/kuwaweka chini ya ulinzi kwenye machimbo yao wanayoyajua wao wenyewe na serikali yao.

Tafadhali TISS ni vyema mkashughulika na hili rasmi ingawa mnashughulika na critical issues, this is terrible!

Nakupenda Tanzania! 🇹🇿❤💪🏾
Wapo wanaofika mbali kufanyia watu ubabe au unyang'aji na huku wakitoa vitisho, dhihaka na kujinadi au kutafuta sifa kwamba yeye/wao ni.......hapo ndo mkakati husika
 
Habari za leo wanajamvi!

Natumaini wote ni wazima wa afya na tunaendelea vyema kusukuma gurudumu la maendeleo ya taifa letu ingawa ni kwa kasi ya kobe lakini si haba, tukishirikiana na serikali yetu tukufu.

Kwa miaka kadhaa ya hivi karibuni kama wewe/nyinyi ni wafuatiliaji/mfuatiliaji/wadadisi/mdadisi wa mambo Kumekuwa na wimbi au tabia ya watanzania wengi hususani vijana kuthubutu bila woga kujifanya na kutamka mbele ya umati kwamba yeye au fulani ni mwanajeshi au askari.

Wapo wanaofika mbali kufanyia watu ubabe au unyang'aji na huku wakitoa vitisho, dhihaka na kujinadi au kutafuta sifa kwamba yeye/wao ni mwanajeshi/wanajeshi au polisi. Bila hofu wala uoga mwingine anadiriki kusema au kutafuta sifa kwambe yeye ni member wa "TISS" (Mwanajeshi/afisa Usalama wa taifa) na anathubutu kuzisambaza taarifa zile bila woga dhidi ya fulani au yeye mwenyewe. Inamaana vitengo hivyo vimekuwa poapoa tu kiasi kwamba hata ule usiri haupo tena? Yaan TISS siku hizi anafahamika kizembe tu kama katibu kata wa kawaida au mwenyekiti wa serikali ya mtaa.

Mnafkiri kwanini ongezeko la watu wajingawajinga wa namna hii linakuwa kwa kasi hapa nchini?!...Ni ukosefu wa ajira kiasi kwamba mtu/watu wanaona huko ni sehemu bora na salama zaidi. au kutafuta kuogopeka au ni kutest mitambo kama waswahili wasemavyo uone nini kitatokea? Au wao wenyewe TISS, na vyombo vingine vya usalama wanaachia hali hii iendelee na vitengo hivi nyeti viendelee kuonekana ni kitu cha kawaida au mihemko tu?

Sijui kama watu wa namna hii kama wanaitambua hatari yake pale ambapo wao wenyewe wakiamua kukuchukua/kuwachukua na kukuweka/kuwaweka chini ya ulinzi kwenye machimbo yao wanayoyajua wao wenyewe na serikali yao.

Tafadhali TISS ni vyema mkashughulika na hili rasmi ingawa mnashughulika na critical issues, this is terrible!

Nakupenda Tanzania! 🇹🇿❤💪🏾
Kwani hata wakisema hivyo na wewe ni raia mwema una shida gani!
 
Vijana wengi wamekuwa wajinga kwa ugoi goi walionao
Hivyo kutokana na uvivu unaochangiwa na udumavu wa Fikra wanapenda kukaa vijiweni kucheza kamali na kubet, kwa kuzoea vya bure ndio ujikuta wanafanya vitendo vya uharifu kwa kuibia wananchi kwa kujifanya maafisa usalama.... Nina washkaji zangu watatu wamejichanga changa wameshota kaunda zao, wanapiga pesa za wajinga kama hawana akili nzuri...
ila naamini ipo siku moja inakuja kwao

Sent from my SOV37 using JamiiForums mobile app
 
Mbona mwendazake wa Rondo alikuwa akijitambulisha kwa tittle ya Jasusi/kachero mbobezi?
Tulia usome tena uzi kwa makini utauelewa. Alafu kaa utafakari huyo unayemzungumzia hapo alikuwa mtu hopeless kama unavodhani wewe?!

Ukihisi alikuwa akijikweza tafuta Biography yake uisome kwa makini

Na ujiulize kama kweli alikuwa akijikweza kwanini hawakumpa onyo wao wenyewe?! Na kwanini aliachiwa na kupewa airtime aongee hovyo?!
 
Vijana wengi wamekuwa wajinga kwa ugoi goi walionao
Hivyo kutokana na uvivu unaochangiwa na udumavu wa Fikra wanapenda kukaa vijiweni kucheza kamali na kubet, kwa kuzoea vya bure ndio ujikuta wanafanya vitendo vya uharifu kwa kuibia wananchi kwa kujifanya maafisa usalama.... Nina washkaji zangu watatu wamejichanga changa wameshota kaunda zao, wanapiga pesa za wajinga kama hawana akili nzuri...
ila naamini ipo siku moja inakuja kwao

Sent from my SOV37 using JamiiForums mobile app
Unaweza kuja PM tuyajenge kamanda?! 🤔
 
Wapo wanaofika mbali kufanyia watu ubabe au unyang'aji na huku wakitoa vitisho, dhihaka na kujinadi au kutafuta sifa kwamba yeye/wao ni.......hapo ndo mkakati husika
🤔🤔🤔 nini kifanyike komredi?!
 
Utawajua hao DSO,RSO lakini wale wenyewe hutawajua mpaka unakufa.Na hutakuwi kuwajua.Jidanganyeni tu hapa.
 
Habari za leo wanajamvi!

Natumaini wote ni wazima wa afya na tunaendelea vyema kusukuma gurudumu la maendeleo ya taifa letu ingawa ni kwa kasi ya kobe lakini si haba, tukishirikiana na serikali yetu tukufu.

Kwa miaka kadhaa ya hivi karibuni kama wewe/nyinyi ni wafuatiliaji/mfuatiliaji/wadadisi/mdadisi wa mambo Kumekuwa na wimbi au tabia ya watanzania wengi hususani vijana kuthubutu bila woga kujifanya na kutamka mbele ya umati kwamba yeye au fulani ni mwanajeshi au askari.

Wapo wanaofika mbali kufanyia watu ubabe au unyang'aji na huku wakitoa vitisho, dhihaka na kujinadi au kutafuta sifa kwamba yeye/wao ni mwanajeshi/wanajeshi au polisi. Bila hofu wala uoga mwingine anadiriki kusema au kutafuta sifa kwambe yeye ni member wa "TISS" (Mwanajeshi/afisa Usalama wa taifa) na anathubutu kuzisambaza taarifa zile bila woga dhidi ya fulani au yeye mwenyewe. Inamaana vitengo hivyo vimekuwa poapoa tu kiasi kwamba hata ule usiri haupo tena? Yaan TISS siku hizi anafahamika kizembe tu kama katibu kata wa kawaida au mwenyekiti wa serikali ya mtaa.

Mnafkiri kwanini ongezeko la watu wajingawajinga wa namna hii linakuwa kwa kasi hapa nchini?!...Ni ukosefu wa ajira kiasi kwamba mtu/watu wanaona huko ni sehemu bora na salama zaidi. au kutafuta kuogopeka au ni kutest mitambo kama waswahili wasemavyo uone nini kitatokea? Au wao wenyewe TISS, na vyombo vingine vya usalama wanaachia hali hii iendelee na vitengo hivi nyeti viendelee kuonekana ni kitu cha kawaida au mihemko tu?

Sijui kama watu wa namna hii kama wanaitambua hatari yake pale ambapo wao wenyewe wakiamua kukuchukua/kuwachukua na kukuweka/kuwaweka chini ya ulinzi kwenye machimbo yao wanayoyajua wao wenyewe na serikali yao.

Tafadhali TISS ni vyema mkashughulika na hili rasmi ingawa mnashughulika na critical issues, this is terrible!

Nakupenda Tanzania! 🇹🇿❤💪🏾
Ushamba, ujinga, kujimwambafai, utoto, utapeli, wizi....
 
Back
Top Bottom