Kwanini Watu wenye sifa nzuri kama uzuri na uhandsome au utajiri husemwa kwa mabaya? Je, ni wivu kwa waliokosa sifa hizo?

Kwanini Watu wenye sifa nzuri kama uzuri na uhandsome au utajiri husemwa kwa mabaya? Je, ni wivu kwa waliokosa sifa hizo?

Wivu tu ni kawaida ya binaadamu hawapendi kuona vitu vizuri

Mimi naamini kila mtu anajambo zuri la kujivunia ambalo Mungu kampa.

Mfano Kipaji, nguvu, akili, uzuri, รปkakamavu n.k.

Kwa nini mtu aone wivu kwa majaliwa ya wengine badala ya kufurahia majaliwa yake?
 
Back
Top Bottom