Kwanini watumiaji wa simu za itel, Tecno na Infinix wanadharaulika sana Dar?

Huu ni uongo,
Jamaa umecopy hii kitu kwa uzio usio onekana
Acha copying and paste kwani ungedirect wadau kwenda kwenye uzi husika umpe credit jamaa ungepukiwa nini!??

Acha wizi dogo
 

Uko sawa mkuu, hata mimi nafanya hivyo kazi, yote uliyosema uko sahihi !
 
Ukweli utabaki pale pale
Africa ni jalala la mchina...
Ma-pikipiki
Ma-simu
Ma- nguo
Nk
Nakuongezea tu kitu kichwani mwako
Si kila kitu cha mchina ni cha ovyo. Mfano kwenye simu China ina simu za ovyo kama TECNO, Infinix, itel, Doogee na kadhalika ila pia ana simu kali zenye international standards kama Xiaomi, One plus, Asus, Oppo, Motorola, Meizu na Vivo.
 
Yaani haina ubora haina class yeyote bora Samsung , Iphone napenda sana ila mmh! Ngumu kuitumia isije ikajiloki mie natumia hizi simu za wahuni za bei yakawaida tu red mi basi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…