Kwanini watumishi wengi wa 'idara nyeti' ni matapeli na hupenda kujifunua utambulisho wao kwa wauza bia bar

Kabisa kabisa mkuu. Basi punguza hasira ndugu yangu. Maisha yenyewe haya mafupi sana na kila siku linatokeza janga jingine la kupukutisha watu. Sasa hivi corona inatosha, hebu bastola tuziweke kando kwanza
Corona ni kama mafua tu boss ukiwa na afya njema haiwezi kukutikisa ila ukiwa na afya kama huyu miss pablo jiandae kwa lolote hata kama ukipata hiyo J&J
 
Sio wanawake wote wana tabia za ulimbukeni na tamaa za pesa kama wewe, hivyo usipende kuwasemea wanawake wengine jisemee wewe binafsi kuwa ukihongwa wekundu watatu unaachia orifice [emoji28][emoji28]
Nyoo. Ona ulivyo na ushamba. Sisi tunahonga kijana. Ukicheza na mimi na wewe nitakuhonga vilevile nikuoe. Mshamba wa mwisho

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Sasa kama unafanya kazi nyeti lakini choka mbaya vimishahara vya kuungaunga kwa tozo unawezaje kuacha kuwa tapeli? ni kama Jeshini tu askari wana maisha magumu sana ukiacha wale wakubwa ambao wana mishahara mikubwa na marupurupu mbalimbali, huwezi kuishi bila kuwa tapeli wakati unataka ujenge nyumba nzuri, uendeshe gari zuri lakini pia viwanja unavyotembelea vyote ni vile classic haiwezekani, ukiwaambia walime vitunguu ama wafuge kuku hawataki kisa wao ni nyeti kuliko nyeti zenyewe. Kuna mmoja anabanduliwa na dogo yaani anakuaga hana hata mia mfukoni , full mizinga ,kujigamba tu ooh najua mambo mengi sijui nini lakini mfukoni mweupeeee
 
Nyoo. Ona ulivyo na ushamba. Sisi tunahonga kijana. Ukicheza na mimi na wewe nitakuhonga vilevile nikuoe. Mshamba wa mwisho

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Una hela gani wewe? Jitahidi kuzihurumia sehemu zako za siri usikute hata nimekutafuna kimasihara 😅😅
 
Low ethics, low wages, employment by undugunization, high Life with low wages,
 
Shida ni ccm mkuu
 
Jinga lingine hili hapa, kwa comparison ya ajira za kitanzania wanajeshi wanapokea mishahara mizuri tu usidanganywe na mtu.

Hao Polisi unaowaona wanaendekeza njaa ukae ukijuwa, kila Polisi anapokea posho ya shilling laki tatu kila mwezi bila kujari cheo, na hii ni nje ya mishahara yao ambayo kila mtu analipwa kutokana na level yake.
 
masikini wewe kwahiyo posho ya laki tatu ndio hela , acha ujinga wewe tunaongelea mishahara duni hivi mtu analipwa laki saba sijui nane huo ni mshahara ama hela ya vocha? na bado anakitambi eti, stupid , they dont think PERIOD
 
Mkuu tueleze hapa huezi jua utatusaidia wangapi
Atakujaza ujinga na chuki tu hana cha kukueleza jinga tu hilo.

Hapo alipo wala hajui kuna madaktari maafisa usalama na wanalipwa mishahara kwa level zao za Kidaktari, wapo mainjinia vivyo hivyo, wapo wahasibu na CPA zao halafu jinga moja linakuja na ngonjera za one size fit all kisa kagongewa demu na uvccm anayevaa kaunda suti na beji ya bendera ya Tanzania, bure kabisa huyu dogo.
 
masikini wewe kwahiyo posho ya laki tatu ndio hela , acha ujinga wewe tunaongelea mishahara duni hivi mtu analipwa laki saba sijui nane huo ni mshahara ama hela ya vocha? na bado anakitambi eti, stupid , they dont think PERIOD
Tena hiyo nyingi sana, wafanyakazi wengi kwa wahindi na ndio wameajiri watu wengi mishahara yao ni laki mbili kwa mwezi.

Wajinga kama wewe ndio wamesababisha sekta binafsi kuwaamini Wakenya kwa sababu ya ujinga wenu wa kutajirika over night.

Hao unaowadharau wenzako wana Saccoo na mikopo isiyokuwa na riba wanafanya mambo yao kimyakimya.
 
Sibishani na wewe kwakua wewe ndio wale wale narudia tena wewe ni masikini, kuna hao wenzio wanakopa bia tu kila siku huku kwenye vijiwe vyetu, kwa taarifa yako naweza kuwaajiri nyie hata kumi na nawalipa mshahara mzuri tu, sio kila mtu kaajiriwa kwenye vijiserikali vyenu masikini, we unajua watumishi wa umma nchini wako wangapi ukilinganiasha na watu zaidi ya milioni 60 ambayo ndio population ya Tanzania na bado hao wachache wanawashinda kuwalipa vizuri. SHAME masikini hata uwezo wa kufikiria ni mdogo unadhani sekta nyeti huko walikoendelea wanalipwa vijilaki kama wewe
 
Yaana mefanya as if wanapokea flat rate. Hajui hadi kuna mashoe shiner wana life kubwa tu[emoji23] halaf alitaka mtu anaanz akazi tu alipwe milion 10 ama? Hajui kuna levels? Huyu wamemlia mkewe. Na akicheza watamuhamisha mazima

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Mimi niko real siku zote, kwa sisi wanywaji bia kukopa ni kawaida sana tena, na ukiona hukopeshwi wewe si mteja na huna jina hapa mjini.

Iko hivi, nina daftari la kukopa kwa Mangi, nina daftari la kukopa bar, ninakopa hata bodaboda mwenzio ujuwe.

Sasa wewe tajiri unanizidi kipi sijui? Wenzako tunakopa mpaka Hyatty Kilimanjaro hotel manager mzungu anatujuwa.

Una akili za kisukuma wenzako wanakopa ndege wewe wajifanya eti una cash.

Through my experience watu wa dizaini yako huwa ni watu duni sana na mafukara wa kutupwa, faraja pekee mnaipata kuja kujifaraguwa mitandaoni. Fanculo

Nota bene: Mimi sina ajira yoyote hapa mjini na sidhani kama nina umri wa kuajiliwa.
 
Huyu Diwani Athumani ni Tiss kitambo tu, nchi ilivyokabidhiwa kwa washamba akapigwa demotion ya kuwa RAS huko katavi, kumbe yule mzee wa chuki hakujuwa kwamba huyu jamaa ni kazi maalum ndipo akaumwa sikio hapo umechemka huyo ni kitengo, Finally Diwani amerudi nyumbani ndio DG wa TISS sasa.
 
Mmmh uandishi wako ni wa kiume! Mbona umeumia hivyo? Kulikoni?

Wewe ni mwanamke kweli? Nafsi inakataa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…