bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,794
- 7,551
Yaani daraja lenu utapata 120 au 130 ndizo rates mpya hizo. Kisheria zimeshaanza kutumika tangu July mwaka huu.Ile rate walitupa mkuu na hata sasa nazani wanapewa taasisi nyingi chini ya maliasili na utalii rafiki zangu wanasema wanalipwa hio 150k na kwa marafiki zamgu wa ruwasa pia wanalipwa 130k na tumeajiriwa nao hata miaka mitatu bado.