Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Mbona wameongezewa mshahara mwezi May Mwaka huu ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Isipokuwa wa tiara ei.Solution ni moja tu.
Serikali izuie benki za kibiashara na taasisi za kifedha kukopesha watumishi badala yake huo mzigo wa kuwakopesha watumishi ubaki mikononi mwa serikali.
Mikopo isiwe na riba maana tunakopeshwa MISHAHARA yetu ambayo ni haki zetu
1-4 ndio maisha ya standard mzee.hata uwe na nyumba kubwa kama uwanja wa taifa huwez kuilalia yote.portion yako ni 5×6 au 6×6 tena ubavun mwa chumba wala hata chumba hukimaliz.nunua kilo za muchele manyama masosej ila ukila sana sahan moja yan mambio yote ila maisha ndio mzu guko huoToka lini mwajiri akakulipa kiasi kikubwa cha pesa
1. Mwajiri anakulipa fedha ya kufanya uweze kula.
2. Uweze kununua nguo nadhifu ili uwavutie wengine kuajiriwa.
3. Uweze kupata matibabu ya kawaida
4. Uweze kujenga kibanda sio nyumba ya maana ili uweze kuishi humo na kufuga mabata, kulima mchicha.
5. Utapata mikopo yenye riba kubwa ili uwe mtumwa wa kudumu.
6. Ukionekana una mishe binafsi za kukuingizia kipato au kumiliki mali kama magari nyumba nzuri wanakuundia zengwe ili waweze kuharibia ramani zako.
Kwa ujumla kuajiriwa ni utumwa flani unafichwa na mshahara mdogo.
Kuajiriwa ni kimbilio la waoga wa maisha
Siku za nyuma huko mambo yalikuwa mazuri lakini wahusika walikuwa na nyumba ndogo mpaka vikkandikwa vitabu vya penzi kitovu cha uzembeSerikali yenyewe duni unataka wafanyakazi wake wasiwe duni? Hadi pale tutapokua na uchumi imara ndio wafanyakazi watapata ahueni kwanza nje ya mshahara kila mtumishi ana haki ya pesa ya usafiri, pesa ya makazi, pesa ya muda wa ziada kazini, pesa ya kuitwa kazini kwa dharula, pesa ya mawasiliano, lakini zote hizo wanapata wachache walimu, manesi, polisi, maafisa kilimo sidhani kama wanapata hizo
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Serikali yenyewe inakopa kwa riba toka kwa mabepari wewe mfanyakazi wa serikali unataka ukope bila riba serious?
Mikopo isiyo na riba ipo Mombasa tu na Uarabuni.
Jamii inaamini waajiriwa wanapesa na wako stable kuliko mtu anayefanya harakati zake .. hii imepelekea kuwa na dependence level kubwa na wao hawawezi kulikataa hili ukizingatia maisha waliyopitia huko nyuma kusomeshwa kwa michango nk...hivyo wanalazimika ku-pay back .Habari za kazi wanajamvi,
Kiuhalisia swala la watumishi kuwa na madeni kila kona ni jambo la kawaida sanaaa, na hili linanipa maswali mengi sana bila majibu kwasababu watumishi wa vyeo vya juu na kwa uchache wanahali nzuri ya kiuchumi ila wengi hawana haki nzuri Tatizo liko wapi? Na nini kifanyike kutatua swala hilii?
Nakaribisha mawazo yako ili wote tujifunze ili iwe msaada kwa watumishi wa serikali na wasio watumishi wa serikali.
Next time nipe connection na mm mkuu nijilipue ntoke local gvnmt.Wengi ni kwa sababu za kujitakia maana wanachoamini ni kwamba ukishaajiriwa serikalini ndo mwisho..hawana uthubutu kutafuta green pastures sehemu nyingine tofauti na sisi wa private sector anytime unaweza hamia kwenye green pastures. Ntakupa mfano mmoja kuna ndugu yangu mmoja yupo serikalini nilimpa connection moja ya kuingia kwenye mradi mmoja unafadhiliwa na USAID ulikua mradi wa miaka mitano na mzuri sana,akachomoa kabisa eti hawezi toka serikalini. Basi akampa mwenzake connection mwenzake akajilipua. Hivi ninavyokwambia huyo jamaa yake yuko mbali mno na anasema hata angefanya kazi milele serikalini asingefikia mafanikio aloyapata sasa. Mradi uliisha akaingia kwenye mradi mwingine nao mtamu sana. Yule bro wangu anajuta vibaya sana hadi wife wake anamsemaga ila ndo too late kaishia kuwa na carina wakati mwenzie anapush Volkswagen Tiguan ya 2015 na kabla ya hapo alishakua na harrier new model, kajenga zake goba kapangisha ye anapiga zake kazi mkoa na hata ndege alikua hajawahi kupanda ila saizi hadi kachoka na mindege.
View attachment 2420396
Local govt maisha ni magumu sanaNext time nipe connection na mm mkuu nijilipue ntoke local gvnmt.
Mbaya zaidi haya hayafundishwi mashuleni au vyuoni.Tatizo ninkutokua na Financial Literacy, Assets, Liability and Income, haya mambo matatu ukiyajua utatatua matatizo mengi sana
Hujazidaka connection mzee.haupo hata kamat za ujenz?Local govt maisha ni magumu sana
Madokezo hayatembei [emoji3]
Kama hauna safari za nje ya wilaya ni shida
Nilishahama local govt miaka 2 sasaHujazidaka connection mzee.haupo hata kamat za ujenz?
Hii haki iko kisheria au n matamko tu na kama kunakifungua Cha sheria naomba hicho kifungu kinachotaja haki za mtumishi kama ulivyoziainisha ktk andiko lako tafadhariSerikali yenyewe duni unataka wafanyakazi wake wasiwe duni? Hadi pale tutapokua na uchumi imara ndio wafanyakazi watapata ahueni kwanza nje ya mshahara kila mtumishi ana haki ya pesa ya usafiri, pesa ya makazi, pesa ya muda wa ziada kazini, pesa ya kuitwa kazini kwa dharula, pesa ya mawasiliano, lakini zote hizo wanapata wachache walimu, manesi, polisi, maafisa kilimo sidhani kama wanapata hizo
Unakopa milioni 14 unarudisha milioni 27 hauoni huo mzigo, hata mikopo ya utumishi ikiletwa wanapeana wakubwa tuWazo zuri ivii kwani riba ndio chanzo cha kuwa na halingumu ya maisha??
Yeah, hapo kwenye mikopo ya utumishi ile ya BOT wanajikopesha wao wenyewe umbwa waleUnakopa milioni 14 unarudisha milioni 27 hauoni huo mzigo, hata mikopo ya utumishi ikiletwa wanapeana wakubwa tu