Kwanini watumishi wengi wa Serikali wana hali duni kiuchumi?

Kwanini watumishi wengi wa Serikali wana hali duni kiuchumi?

Ila tusisahau kuna mapepo na uchawi katika familia kuna wabaya wanaroga, wanachukua nyota za watu, wanawatesa, nyie mnaona mwana anazingua pombe, mademu, usharo, pesa haikai kumbe kawekwa chuma ulete nafsi yake.

Mshukuru sanq mola wako kama una hali nzuri ya maisha.

Wengine aina ya wake zao sio, waume sio mambo ni mengi sana.

Tujipambanie sana kilq wakati fanyq check up ili mradi hurogi mtu wala huna husda pambana sana haya maisha ni battle kubwa hii ina wagusa sana walimu
Hili linawagusa sana walimu
 
expand...

Hili linawagusa sana walimu
 
K
Serikali yenyewe duni unataka wafanyakazi wake wasiwe duni? Hadi pale tutapokua na uchumi imara ndio wafanyakazi watapata ahueni kwanza nje ya mshahara kila mtumishi ana haki ya pesa ya usafiri, pesa ya makazi, pesa ya muda wa ziada kazini, pesa ya kuitwa kazini kwa dharula, pesa ya mawasiliano, lakini zote hizo wanapata wachache walimu, manesi, polisi, maafisa kilimo sidhani kama wanapata hizo
Walimu hawapati hiyo lbd walimu wakuu.. lkn nao wanalia njaa kilasiku
 
Kuna mzee mmoja niliwahi kutana naye 2009 wakati nilipoenda kupiga kimeo cha computer maintenance
kwenye wizara yao wakati tumekaa baada ya kazi kwisha katika kupiga stori akaniambia unajua kwanini sisi wafanya kazi wa serikali hatuna maisha ? nikamwambia sijui.. akaniambia.. Ni kwasababu tukiwa humu ofisini tunakuwa kama wafu vile akili zinakuwa zimepofushwa, akili ya kuzalisha katika ziada nje ya ofisi inatoweka katika kipindi chote cha utumishi wako, pili hii michezo ya kuiba iba hela za selikali unafanya watumishi wengi kuishi kwenye laana sana si kwa mtumishi anayeiba hizo hela tu mpaka familia yake, tatu ukiwa ofisi za serikali ukaanza kuishi maisha ya anasa, kushiriki vitendo vya ushirikina utaishi maisha ya kimaskini au utakufa kwa ajali au ugonjwa wenye uchungu sana hata kama ulikuwa na cheo cha juu..
Kweli kabisa aisee hii naichukua aisee
 
Back
Top Bottom