Kwanini watumishi wengi wa Serikali wana hali duni kiuchumi?

Solution ni moja tu.

Serikali izuie benki za kibiashara na taasisi za kifedha kukopesha watumishi badala yake huo mzigo wa kuwakopesha watumishi ubaki mikononi mwa serikali.

Mikopo isiwe na riba maana tunakopeshwa MISHAHARA yetu ambayo ni haki zetu
Isipokuwa wa tiara ei.
 
1-4 ndio maisha ya standard mzee.hata uwe na nyumba kubwa kama uwanja wa taifa huwez kuilalia yote.portion yako ni 5×6 au 6×6 tena ubavun mwa chumba wala hata chumba hukimaliz.nunua kilo za muchele manyama masosej ila ukila sana sahan moja yan mambio yote ila maisha ndio mzu guko huo
 
Siku za nyuma huko mambo yalikuwa mazuri lakini wahusika walikuwa na nyumba ndogo mpaka vikkandikwa vitabu vya penzi kitovu cha uzembe
 
Jamii inaamini waajiriwa wanapesa na wako stable kuliko mtu anayefanya harakati zake .. hii imepelekea kuwa na dependence level kubwa na wao hawawezi kulikataa hili ukizingatia maisha waliyopitia huko nyuma kusomeshwa kwa michango nk...hivyo wanalazimika ku-pay back .



Kingine wanaingia kwenye mikopo na kuanzisha busness mpya ambazo hawana uzoefu nazo.
 
Next time nipe connection na mm mkuu nijilipue ntoke local gvnmt.
 
Hii haki iko kisheria au n matamko tu na kama kunakifungua Cha sheria naomba hicho kifungu kinachotaja haki za mtumishi kama ulivyoziainisha ktk andiko lako tafadhari
 
Wazo zuri ivii kwani riba ndio chanzo cha kuwa na halingumu ya maisha??
Unakopa milioni 14 unarudisha milioni 27 hauoni huo mzigo, hata mikopo ya utumishi ikiletwa wanapeana wakubwa tu
 
Hawana akili na matumizi ya akili pia.
 
Unakopa milioni 14 unarudisha milioni 27 hauoni huo mzigo, hata mikopo ya utumishi ikiletwa wanapeana wakubwa tu
Yeah, hapo kwenye mikopo ya utumishi ile ya BOT wanajikopesha wao wenyewe umbwa wale
 
Kwa mtu ambaye hajawahi kuajiriwa na serikali hawezi kujua nini kipo ndani yake,mtoa mada nikukumbushe tu kuna watanzania wenzetu tena kundi kubwa sana wanaishi maisha magumu na ya kubahatisha halafu eti useme mfanyakazi wa serikali ana maisha magumu unajua unachekesha watu ukiachana na mishahara kuna taasisi zina ma allowance kibao mtu ukitoka tu ofisini kwenda kufanya kazi za nje analipwa pesa nzuri tu halafu uje ufananishe na masikini ambaye anajipa moyo kwa kusema one day yes wakati hana shughuli ya uhakika ya kumpa kipato tuwe serious jamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…