Kwanini wazungu huwa hawali sana kama sisi Waafrika?

Kwanini wazungu huwa hawali sana kama sisi Waafrika?

Wakuu

Kuna wazungu flan nilikua nao kwenye kuwasaidia project yao flani,so tukawa tuna ukaribu ambao mara nyingi tulijikuta muda wa lunch tunakua pamoja.

Wazungu pamoja na kuwa na mamiili makubwa but sio walaji wa chakula kingi kama sisi waafrika. Utakuta muda wa lunch mzungu anakula sandwich moja tu na juisi nusu glass anashiba. Back to sisi waafrika sasa.

Kwanza kuna mwingine bila kula ugali anaona hajala kabisa na muda huo huo afya zetu ndio hizi mgogoro.

Je, kuna siri gani kwa wazungu kula msosi kidogo?
This is not true
 
Wakuu

Kuna wazungu flan nilikua nao kwenye kuwasaidia project yao flani,so tukawa tuna ukaribu ambao mara nyingi tulijikuta muda wa lunch tunakua pamoja.

Wazungu pamoja na kuwa na mamiili makubwa but sio walaji wa chakula kingi kama sisi waafrika. Utakuta muda wa lunch mzungu anakula sandwich moja tu na juisi nusu glass anashiba. Back to sisi waafrika sasa.

Kwanza kuna mwingine bila kula ugali anaona hajala kabisa na muda huo huo afya zetu ndio hizi mgogoro.

Je, kuna siri gani kwa wazungu kula msosi kidogo?
WANALIMIWA, VYAKULA KWAO GHARAMA SANA.
 
Wakuu

Kuna wazungu flan nilikua nao kwenye kuwasaidia project yao flani,so tukawa tuna ukaribu ambao mara nyingi tulijikuta muda wa lunch tunakua pamoja.

Wazungu pamoja na kuwa na mamiili makubwa but sio walaji wa chakula kingi kama sisi waafrika. Utakuta muda wa lunch mzungu anakula sandwich moja tu na juisi nusu glass anashiba. Back to sisi waafrika sasa.

Kwanza kuna mwingine bila kula ugali anaona hajala kabisa na muda huo huo afya zetu ndio hizi mgogoro.

Je, kuna siri gani kwa wazungu kula msosi kidogo?
Wazungu wanakula mlo kamili,
,waafrika tunakula ili tushibe na kujaza matumbo..
 
Wakuu

Kuna wazungu flan nilikua nao kwenye kuwasaidia project yao flani,so tukawa tuna ukaribu ambao mara nyingi tulijikuta muda wa lunch tunakua pamoja.

Wazungu pamoja na kuwa na mamiili makubwa but sio walaji wa chakula kingi kama sisi waafrika. Utakuta muda wa lunch mzungu anakula sandwich moja tu na juisi nusu glass anashiba. Back to sisi waafrika sasa.

Kwanza kuna mwingine bila kula ugali anaona hajala kabisa na muda huo huo afya zetu ndio hizi mgogoro.

Je, kuna siri gani kwa wazungu kula msosi kidogo?
Wanakula kidogo kidogo mara kwa mara
 
Mind set...

Raised that way...

Discipline....

Ustaarabu....

Binadamu aliyefikia hatua ya kufanya kila kitu kwa kiasi ikiwemo chakula pia, ..... nashindwa kuelezea ila ni hatua flani ambayo wengine hawaiwezi.

Na inapendeza ikiwa self discipline.
Hiv n nan aliwafundisha kilabanachofanya mzungu ni ustaarabu?
Hiv n nn maana ya ustaarabu?
 
Mfuko ni 1kg, kama bei itakuwa kubwa kwako nunua huo kwanza then utasoma mchanganyiko wa ngano, ulezi, mahindi, etc kwenye ratio imeandikwa baadae utasaga kwa mchanganyiko huo. Maziwa unatia wakati unapika uji, siagi unatia kwenye kikombe unakoroga. I hope hujawahi tumia uji maana huu utaratibu ni universal kibongo bongo
Siwezi kupika kwa ugali?
 
Wazungu wako 2 hao uliokutana nao ndio uje kututolea mfano hapa?

40% ya wamarekani ni overweight na obese kutokana na kula hovyo na ulaji usiopangiliwa na inakadiriwa kufikia 2030 60% ya wamarekani watakua overweight kutokana na kula hovyo wewe unasema wazungu hawali sana? Kwa hiyo overweight wameitoa mbinguni?

Ukiangalia mataifa na watu walionenepeana hovyo Duniani utakuja kutuweka sisi waafrika na kula yetu ya hovyo unayoisema?

Shuleni mnasoma nini siku hizi? Yaani sample size ya watu 2 tayari ushafanya conclusion? Aisee.
Mkuu Nina rafiki wazungu ukweli jamaa Hawaii bali WANAONJA!
asubuhi kipande Cha kiazi mviringo na kamchicha kaduchu.
Mchana slesi 2 za boflo na kamboga ka majani na juisi ya limao
 
Wabongo wanakula hovyo sana na tatizo la kiribatumbo kwa wanaume na wanawake linazidi kushika kasi nchini.
Wazungu wako 2 hao uliokutana nao ndio uje kututolea mfano hapa?

40% ya wamarekani ni overweight na obese kutokana na kula hovyo na ulaji usiopangiliwa na inakadiriwa kufikia 2030 60% ya wamarekani watakua overweight kutokana na kula hovyo wewe unasema wazungu hawali sana? Kwa hiyo overweight wameitoa mbinguni?

Ukiangalia mataifa na watu walionenepeana hovyo Duniani utakuja kutuweka sisi waafrika na kula yetu ya hovyo unayoisema?

Shuleni mnasoma nini siku hizi? Yaani sample size ya watu 2 tayari ushafanya conclusion? Aisee.
 
Wachina na Wakorea ndio binadamu wanaozingatia ulaji mzuri kuliko wengine wote ndio maana hata kiwango cha tatizo la Kiribatumbo(obesity) kwao ni kidogo sana.
Kwa Africa Rwanda inajitahidi katika ulaji mzuri unaozingatia afya.
Wazungu wanakula kiafya na kufuata taratbu za ulaji tofauti na waafarica
Utakuta mtu ana umri wa miaka 50,60,70 anakula milo 3 kwa siku sawasawa na Mtu wa umri wa miak 10,20
Mmeng’enyo wa chakula unapungua umri unapozidi kwenda na mwili wako lazima kuendana na mabadiliko ya chakula.
Kuna umri wa kula milo 3,2 na 1 kwa Siku ukiendana na kula matunda
 
Ukiangalia mara nyingi wazungu wanakuwa hawali chakula cha aina moja wanakuwa wanakula vyakula vya aina tofauti tofauti
 
Wazungu wanakula zaidi vyakula vilivyochakatwa viwandani(processed foods) na vyenye sukari nyingi ambavyo ni vyakula vibaya sana kwa afya.
Tatizo nyie hamjawahi kuishi na wazungu kule kwao, mnaona moja moja hapa wanao kuja kutalii au kufanya kazi kwa mda, ila ukweli wazungu wana kula sana ×2 ya wa Africa na wengi wana obesity......ulaji wao una weza kuuliganisha na kuku wa kufuga wa nyama broilers.
 
Wakuu

Kuna wazungu flan nilikua nao kwenye kuwasaidia project yao flani,so tukawa tuna ukaribu ambao mara nyingi tulijikuta muda wa lunch tunakua pamoja.

Wazungu pamoja na kuwa na mamiili makubwa but sio walaji wa chakula kingi kama sisi waafrika. Utakuta muda wa lunch mzungu anakula sandwich moja tu na juisi nusu glass anashiba. Back to sisi waafrika sasa.

Kwanza kuna mwingine bila kula ugali anaona hajala kabisa na muda huo huo afya zetu ndio hizi mgogoro.

Je, kuna siri gani kwa wazungu kula msosi kidogo?
Wanakula sana protini
 
Wakuu

Kuna wazungu flan nilikua nao kwenye kuwasaidia project yao flani,so tukawa tuna ukaribu ambao mara nyingi tulijikuta muda wa lunch tunakua pamoja.

Wazungu pamoja na kuwa na mamiili makubwa but sio walaji wa chakula kingi kama sisi waafrika. Utakuta muda wa lunch mzungu anakula sandwich moja tu na juisi nusu glass anashiba. Back to sisi waafrika sasa.

Kwanza kuna mwingine bila kula ugali anaona hajala kabisa na muda huo huo afya zetu ndio hizi mgogoro.

Je, kuna siri gani kwa wazungu kula msosi kidogo?
Utamaduni, misingi toka utotoni katika ngazi kaya, ukosefu wa elimu lishe katika ngazi za awali shule na familia na jamii, financial security, food security, misconceptions uelewa wa neno kushiba, kukosekana kwa vita ya dhati kupambana na adui mazoea kwenye tasnia ya kula.

Ukosefu wa elimu ya afya ya mwili, ulaji wa chakula, umuhimu wake na janga ubongo wa aina zote kutoshiriki kwenyw kufikiri,kushiriki na kuamua kuhusu msosi.

Macho
Pesa
Misifa
Uzuzu.
 
Sio wazungu hata hapa bongo kuna baadhi ya watu wachache kutokana na nature ya kazi zao wapo very smart shobo kwenye misosi sio kivile yaani mnatengewa mezani hotpots kama tano au sita zenye mososi tofauti tofauti pia kuna maji na soda lakini mtu anasave msosi kiasi tu anachukua maji madogo anatulia zake, sasa wenzangu na mimi anakimbilia msahani mkubwa anachota wali mweupe, pilau, maharage, njegere, ndizi za kupikwa, nyama ya kuku na ya ng'ombe kwenye vinywaji anachukua maji madogo matatu soda mbili yaani sahani ina bonge ya lumbesa vinywaji mpaka anaomba asaidiwe kubeba na hapo bado hajachukua matunda [emoji23][emoji23][emoji23].
Huyu mimi kabisa😄
 
Back
Top Bottom