Kwanini wengi wanapenda kujifanya TISS wakati kazi hii ni kada ya ulinzi kundi moja na mgambo?

Kwanini wengi wanapenda kujifanya TISS wakati kazi hii ni kada ya ulinzi kundi moja na mgambo?

Boss napiga pumbu huelewi nini?

Na tunawapiga pumbu tu.
Kuna mmoja nilimpatia kwenye kikao cha ofisi ya DS.

Akawa ananipa mpaka documents zao nasoma, kwamba wakiwa chuoni kwao bagamoyo huchagua staili ya kupigana na kujiendeleza kama karate au boxing.
Lakini pia huyo demu wangu wa kwanza niliyemsindikiza kwenye chuo baada ya miezi mi3 ya course/kambi Kuna siku waliachiwa kama assignment waende sokoni wakusanye taarifa fulani.
Alipita gheto tukakumbushia then akaendelea na assignment yake.

Ni wa kawaida sanaaaa Hawa watu, ila MNAWAKUZA SANAAAA.

#YNWA
Acha utoto basi !! Chai yamoto sana
 
Pole kwa kutombewa mkuu.
Mtu kaeleza ukweli wewe unaleta utoto. Hao anaowazungumzia tunao mtaani wengine ni ndugu zetu hasa tunawajua nje ndani pamoja na maisha yao ya kukopa mtaani.

Au na wewe ni miongoni mwa watu wanaowaabudu hao? Nikuhakikishie wana njaa kali sana usione wanakopa magari ya kutembelea ukadhani ndiyo maisha yao halisi.

Hakunaa kada yenye uhakika wa maisha yakueleweka hapa nchini kwa 100% ila watu tu mitaani ndiyo hudhani kada fulani wana maisha makubwa na mishahara mikubwa.
 
Sabaya ni TISS kweli Wala siyo kujifanya.

Tatizo kubwa mmejengwa vichwani kwenu TISS ni watu genius na akili kubwa sana na hivyo mtu Kama Sabaya hawezi kuwa na kiuhalisia ndio usalama wenu hao.

Kwa lugha rahisi Sabaya nanyule aliyemtolea Nape bastola ni usalama ni vichwa panzi tu.
Usiongee kitu usichokijua. Kawadangaje wenzio huko mtaani sio hapa. Kitambulisho kile alichokua anajigamba nacho na ambacho hicho hicho alishikwa nacho sio cha tiss kile. Ni fake id,fake id,fake id, fake id.
 
Usithubutu kudhani hivyo wala isitokee hata mara moja ukawaza hivyo ndugu yangu

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Unadhani wana maisha mazuri kuliko kada zingine? Pole sana mkuu na wewe bado upo gizani kama walivyo wengi.

Tupo nao mtaani hali ngumu hadi kufikia kukopa watu mitaani.
 
Duh.! Hapo kwenye mshahara umenifumbua macho!
Nilikuwaga nasikia hawa jamaa wanalipwa pesa ndefu sambamba na posho nono kila week
Sasa kwa mshahara huo je wale wa ngazi ya chini itakuwa mshahara wao ni sawa na polisi !
Afadhali niendelee kuuza majeneza tu aisee...
ni watu wa maisha ya kawaida sana wengi wanagangaiza tu na vimikopo kwenye mabenki ili kujinasua yani kama watumishi wengine tu. Sasa 1.85M anawezaje kutumia mshahara kujenga, anunue usafiri na ahudumie wategemezi kama watano ?!

ila pia wengine hutumia nafasi yako kujipatia kipato kichafu kwa kutum taarifa chafu za watu (hizi wanazipata kupitia utekelezaji wa majukumu yao) basi kama mtu hana profile ya kufuatiliwa wale wasio waaminifu wanamfuata na kumtisha tisha (na wanajua kutisha haswa) wanapewa mchuzi wanalala mbele.

yani kama mapolisi wanavyopenda rushwa sama kwa TISS mambo yao maovu hua ni nadra kuvuja maana g.ata wakikamatwa na maovu huwajibiswa kimya kimya wengine hata hufukuzwa kabisa.

kuna mdau hapa amekazana ati TISS hawezi kuacha kazi mpaka anakufa 😄 😄 😄 hizi ndio porojo za kwenye kahawa. Akitaka kuacha anaacha wma wengine wanafukuzwa
 
Je Askari Kanzu anaweza mpeleleza Usalama wa Taifa!?​
hapana na ndio kwa wakati mmoja...majeshi yetu ukiacha yale ya enzi ya Nyerere 😭... haya ya sasa yana lindana sana.

hivyo polisi kimajukumu anaweza kumchunguza TISS na ata kumkamata ikibidi ila inategemea na uzito wa kosa...matharani makosa yanayo husu uhai wa watu...hapo lazima polisi wafanye kazi yao.

ila kwa kifupi ukishitakiana na aina yoyote ya hawa walinda amani wetu kesi ukaipeleka polisi ni nadra sana wewe raia kupata haki yako...hawa watu wanalindana sana.​
 
Nazidi kusisitiza kupingana na mawazo yako.
Je, umeshawahi kufika Urusi au kuwahi kuishi na Warusi ktk maisha yako?Nje kidogo ya Jiji la Moscow kuna Chuo chao maalumu kinaitwa The Red Banners Institute, kinatoa mafunzo maalumu ktk Masuala ya Ujasusi wa Kingono (Sexipionage). Wakufunzi "Machangudoa" wa kike na wa kiume wanaandaliwa huko ili kutekeleza kazi maalumu za idara zao.
Kwa hiyo, huyo mwanamke unayemzungumzia huenda pengine ni miongoni mwa "Wakufunzi Machangudoa" waajiriwa wa idara.
Kwahiyo kwakuwa ni mkufunzi changudoa ndiyo awe open kuliwa na mshikaji kirahisi hivyo na kujiweka wazi?

Ndivyo wanavyofundishwa chuoni kwao?

Kwanini unaamini hawajulikani wakati tunawajua huku mtaani na wengine ni watu wa karibu kabisa?

Acheni kulishwa matango pori hao wanafahamika na hawana miujiza yoyote tunakopeshana fresh mtaani na maisha yao ya kawaida kama walivyo watumishi wengine wa afya.
 
sina utithi wowote nahangaika tu...ila kupitia katiba yetu kama wewe na Mtanzania wewe pia ni TISS no.1. maana katiba inaweka wazi kuwa juku la kuilinda nchi yetu na mipaka yake ni la kila mtanzania.

kwa kigezo hicho wote sisi ni TISS kasoro wengi hatuna vitambulisho tu vyekundu na vyeti vya mafunzo ya nyongeza...!​
Asante mkuu nilikuwa sifahamu kwamba vitambulisho vyenu ni vyekundu [emoji3][emoji3]
 
ni watu wa maisha ya kawaida sana wengi wanagangaiza tu na vimikopo kwenye mabenki ili kujinasua yani kama watumishi wengine tu. Sasa 1.85M anawezaje kutumia mshahara kujenga, anunue usafiri na ahudumie wategemezi kama watano ?!

ila pia wengine hutumia nafasi yako kujipatia kipato kichafu kwa kutum taarifa chafu za watu (hizi wanazipata kupitia utekelezaji wa majukumu yao) basi kama mtu hana profile ya kufuatiliwa wale wasio waaminifu wanamfuata na kumtisha tisha (na wanajua kutisha haswa) wanapewa mchuzi wanalala mbele.

yani kama mapolisi wanavyopenda rushwa sama kwa TISS mambo yao maovu hua ni nadra kuvuja maana g.ata wakikamatwa na maovu huwajibiswa kimya kimya wengine hata hufukuzwa kabisa.

kuna mdau hapa amekazana ati TISS hawezi kuacha kazi mpaka anakufa [emoji1] [emoji1] [emoji1] hizi ndio porojo za kwenye kahawa. Akitaka kuacha anaacha wma wengine wanafukuzwa
Kabisa wana maisha ya kawaida tu

Ova
 
Labda niweke sawa kidogo kwenye hizo namba za mishahara. Unadhani namba za mishahara ya nchi hii zinasumbua? Wala. Zinazosumbua ni posho zao, ni kubwa mno.

Haya mambo ni upepo tu nadhani, maana zamani mtaani kila mtu anatamba kuwa yeye ni baharia, na ndiyo karejea nchini toka Italy, hata kama sio baharia.

Na hapa katikati kulikuwa na upepo wa maeneo ya kuishi, kila mtu alikuwa akitamba kuishi Upanga, hasa vijana. Hadi wanashinda maeneo ya Upanga ila kulala wanaenda Kwa Mtogole.

Ova
Posho sio ndefu kihivyo labda kuna vile viposho vya safari za hapa na pale kwa wale wakusanya taarifa.

Otherwise posho ni za kawaida sana na hazikidhi maisha ya sasa ndiyo maana tunakopeshana nao mtaani na sometimes tunarushana kwa ubabaishaji kwasababu hela hana unarushwa mwezi mwingine mbele asubiri mshahara.
 
Sawa.
Na lako liwe sahihi.

Ila huyo TISS siku anaenda bagamoyo (chuo chao) alilalia gheto kwangu, nikamsindikiza mpaka kwenye Costa yao (siku ya kwanza wanakusanywa kwenda chuo).

Na aliacha Kazi 2020, mpaka leo huwa tunakulana tuuu.

Then najua mengiii kwasababu nilikuwa naendaga kwake then nasoma mengii na kunihadithia mengii.

Kifupi: KAACHA KAZI.

Na pia hata huku tulipo, piss za TISS tunajigongea tu.
Kuna mwengine alinionyesha mpaka mshahara wake. Wanakatwa Bima tu ya afya.
Hawana chama cha wafanyakazi wala PSSF.
Na hupewa 150,000 ya dharura + house allowance. Ukijumlisha ndio inafika Mil 1.85

Ni watu wa kawaida sanaa ila tatizo MNAWAKUZAAAAA.

Usiku mwema.

#YNWA
Wote wanapewa flat rate mkuu?
 
Asante mkuu nilikuwa sifahamu kwamba vitambulisho vyenu ni vyekundu [emoji3][emoji3]
acha...hizo mimi ni Dereva wa boda boda mkuu...sina uhusiano na hiyo kazi japo nilitamani sana tena sana kuitumikia nchi yetu kupitia majeshi yetu...ila sijawahi kupata bahati hiyo kwa umri wangu hivi sasa najipambania tu mwenyewe kwa kuendesha boda. Mungu akipenda nitafungua biashara zangu maisha yataendelea....

sijawahi kusajiliwa na jeshi lolote​
 
TiSS wana maisha bana acheni kujifariji, nina ndugu yangu ni mtu wa usalama ana maisha mazur yamenyooka
Au kwasababu unawaona wanakopa hela wananunua subaru ndiyo ukaamini wana maisha yaliyonyooka?

Hao wana mikwara mingi na wanakopa sana mabenki ili kujionesha wapo vizuri huku wakiishi maisha ya tabu kwasababu wanaigiza wasichokuwa na uwezo nacho.
 
TiSS wana maisha bana acheni kujifariji, nina ndugu yangu ni mtu wa usalama ana maisha mazur yamenyooka
Hata daktari, mhasibu, mwalimu ama mwanasheria anaweza kuonekana ana maisha mazuri kwa life style aliyoichagua yeye mwenyewe.
 
Usiongee kitu usichokijua. Kawadangaje wenzio huko mtaani sio hapa. Kitambulisho kile alichokua anajigamba nacho na ambacho hicho hicho alishikwa nacho sio cha tiss kile. Ni fake id,fake id,fake id, fake id.
Basi na wewe katengeneze kitambulisho fake Cha TISS halafu ukikamatwa wakati kesi inaendelea utataeuliwa kuwa DC.
 
Back
Top Bottom