balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Hongera sana mkuu Popoma kwa kukataa kuwa shabiki andaziNimeshuhudia Maandalizi mengi ya Klabu ya Yanga hasa ikicheza Michuano ya Kimataifa ila sijawahi kuyaona Maandalizi haya Kabambe na Kufuru yaliyofanywa kuelekea Mechi yao ya Marudiano na Rivers United FC Kesho Mkapa Stadium.
Hata hivyo Wenye Akili tunajua baada ya Yanga SC Kushinda Ugenini ( Nigera kwa Magoli Mawili ya Fundi wa Kufunga nchini Tanzania Fiston Kalala Mayele ) Kazi tayari imeshakwisha kwa 99% kwa Yanga SC kutinga Nusu Fainali ya Kombe la Pili kwa Ubora Afrika la Shirikisho ( CAFCC )
Dr. GENTAMYCINE mechi ni leo na sio kesho!Nimeshuhudia Maandalizi mengi ya Klabu ya Yanga hasa ikicheza Michuano ya Kimataifa ila sijawahi kuyaona Maandalizi haya Kabambe na Kufuru yaliyofanywa kuelekea Mechi yao ya Marudiano na Rivers United FC Kesho Mkapa Stadium.
Hata hivyo Wenye Akili tunajua baada ya Yanga SC Kushinda Ugenini ( Nigera kwa Magoli Mawili ya Fundi wa Kufunga nchini Tanzania Fiston Kalala Mayele ) Kazi tayari imeshakwisha kwa 99% kwa Yanga SC kutinga Nusu Fainali ya Kombe la Pili kwa Ubora Afrika la Shirikisho ( CAFCC )
Daladala lenyewe ndilo ili hapa!Timu masikini inayotembea na mamilioni ya Dola? Kwa Hilo nasimama na Yanga. Wao walipolalamikiwa kuwapa Yanga daladala kama ya Mbagala rangitatu tuliwaambia Yanga mmekwenda kucheza mpira siyo kutalii, hata mngepewa basi kama za Mwika - Machame zimepakia ndizi na mbege pamoja na watu chezeni. Kwa hiyo na wao wamekuja kucheza mpira wacheze waondoke. Kama walivyosema timu Yao haina hela hawawezi kuja mapema, Sasa hayo madola wamekuja kulangua uduvi?
Rivers walikalili kuwa Yanga ndio ile ile walioipiga nje ndani msimu uliopita, wakawachukulia poa. Sasa wameona wana mlima mrefu sana wanatafuta namna ya kupata sababu ili wapate ushindi wa mezani au tu kuich
afua Yanga. Kabla ya Yanga kucheza na Rivers, ilishacheza mechi na timu nyingi tena zingine ni ngumu zaidi ya hao Rivers na zingine zilishatangulia kumfunga wakiwa kwao lakini timu zote zilizocheza na Yanga hakuna hata timu moja iliyowahi kuripoti kuhujumiwa na Yanga kwa sumu.
Leo hii timu iliyofungwa goli mbili wakiwa kwao ndio eti waje wahujumiwe na Yanga kwa kipi zaidi wakati timu ipo mbele kwa goli mbili? Mambo mengine yanachekesha sana
Mil. 10 kwa magoli yanayokupeleka Nusu Fainali, yasipokupeleka fainali unaambulia zile mil.5. Labda kama sijamuekewa Mama.Wanataka mzigo wamewekewa Mil 10
Huyo kazi mmefanya niyinyi.Tayari wameshashitakiwa CAF kwa kupulizia sumu kwenye basi la rivers
Nimeshuhudia Maandalizi mengi ya Klabu ya Yanga hasa ikicheza Michuano ya Kimataifa ila sijawahi kuyaona Maandalizi haya Kabambe na Kufuru yaliyofanywa kuelekea Mechi yao ya Marudiano na Rivers United FC Kesho Mkapa Stadium.
Hata hivyo Wenye Akili tunajua baada ya Yanga SC Kushinda Ugenini ( Nigera kwa Magoli Mawili ya Fundi wa Kufunga nchini Tanzania Fiston Kalala Mayele ) Kazi tayari imeshakwisha kwa 99% kwa Yanga SC kutinga Nusu Fainali ya Kombe la Pili kwa Ubora Afrika la Shirikisho ( CAFCC )
mamb yanaweza enda ndivyo sivyo mji ukawa mdogo huu,maandalizi muhimuNimeshuhudia Maandalizi mengi ya Klabu ya Yanga hasa ikicheza Michuano ya Kimataifa ila sijawahi kuyaona Maandalizi haya Kabambe na Kufuru yaliyofanywa kuelekea Mechi yao ya Marudiano na Rivers United FC Kesho Mkapa Stadium.
Hata hivyo Wenye Akili tunajua baada ya Yanga SC Kushinda Ugenini ( Nigera kwa Magoli Mawili ya Fundi wa Kufunga nchini Tanzania Fiston Kalala Mayele ) Kazi tayari imeshakwisha kwa 99% kwa Yanga SC kutinga Nusu Fainali ya Kombe la Pili kwa Ubora Afrika la Shirikisho ( CAFCC )
HahahaaTimu masikini inayotembea na mamilioni ya Dola? Kwa Hilo nasimama na Yanga. Wao walipolalamikiwa kuwapa Yanga daladala kama ya Mbagala rangitatu tuliwaambia Yanga mmekwenda kucheza mpira siyo kutalii, hata mngepewa basi kama za Mwika - Machame zimepakia ndizi na mbege pamoja na watu chezeni. Kwa hiyo na wao wamekuja kucheza mpira wacheze waondoke. Kama walivyosema timu Yao haina hela hawawezi kuja mapema, Sasa hayo madola wamekuja kulangua uduvi?
Kumekucha....!Tayari wameshashitakiwa CAF kwa kupulizia sumu kwenye basi la rivers
Maandalizi ni muhimu ndugu yangu atutaki yale ya jwaneng galax yatukute, Na atuwezi jua maadui zetu wana mpango gani na sisi kwaiyo kujidhatititi ni muhimuNimeshuhudia Maandalizi mengi ya Klabu ya Yanga hasa ikicheza Michuano ya Kimataifa ila sijawahi kuyaona Maandalizi haya Kabambe na Kufuru yaliyofanywa kuelekea Mechi yao ya Marudiano na Rivers United FC Kesho Mkapa Stadium.
Hata hivyo Wenye Akili tunajua baada ya Yanga SC Kushinda Ugenini ( Nigera kwa Magoli Mawili ya Fundi wa Kufunga nchini Tanzania Fiston Kalala Mayele ) Kazi tayari imeshakwisha kwa 99% kwa Yanga SC kutinga Nusu Fainali ya Kombe la Pili kwa Ubora Afrika la Shirikisho ( CAFCC )
huo ndio mpira ulivyo au unataka yatukute ya jwanangNimeshuhudia Maandalizi mengi ya Klabu ya Yanga hasa ikicheza Michuano ya Kimataifa ila sijawahi kuyaona Maandalizi haya Kabambe na Kufuru yaliyofanywa kuelekea Mechi yao ya Marudiano na Rivers United FC Kesho Mkapa Stadium.
Hata hivyo Wenye Akili tunajua baada ya Yanga SC Kushinda Ugenini ( Nigera kwa Magoli Mawili ya Fundi wa Kufunga nchini Tanzania Fiston Kalala Mayele ) Kazi tayari imeshakwisha kwa 99% kwa Yanga SC kutinga Nusu Fainali ya Kombe la Pili kwa Ubora Afrika la Shirikisho ( CAFCC )
Hazihesabiwi penaltiMil. 10 kwa magoli yanayokupeleka Nusu Fainali, yasipokupeleka fainali unaambulia zile mil.5. Labda kama sijamuekewa Mama.
Sasa sijui Simba leo watapewa 15mil. kutokana na zile penalti ama hazi hesabiwi kwwnye hizo mil. 5