Tunakuwa dynamic kwenye hii hii yetu, walikubali ila sisi hatukubali, kama walikeketwa sisi hatukeketwi, kama walipigwa sisi tunapiga, nkHahaahha atoto ww,culture sio static yes,lakin unakua dynamic kwa culture ya nani na ipi?
Thanks atoto kwa elimuTunakuwa dynamic kwenye hii hii yetu, walikubali ila sisi hatukubali, kama walikeketwa sisi hatukeketwi, kama walipigwa sisi tunapuga, nk
Mwanaume mmoja hanitoshi aisee...
Nataka mmoja VERY HANDSOME and SEXY, huyu ndo nitatoka naye kwenye functions kuringishia.
Halafu nataka mwingine anayechekesha yani nikiboreka tu namfwata.
Halafu nataka mwingine mwenye dushe iliyoshiba sipendi ujinga kwenye starehe zangu
Halafu nataka mwingine THINK TANK yani very intelligent huyu ndo ntamshirikisha mipango yangu.
Subiri nitafute pesa lazima niweke wote ndani.
Thats why there is evolution including `-mind` evolution!Maadili,huu umagharibi umeleta mengi,mwanake nae leo ni superior,bibi zetu waliaminikuwa mila,desturi hazipingwi so mwanaume ni last say hakuna wa kumpinga,na walikuwa comfortable tuu hawakuona kamakuna kitu wanakosa,hawawa leo wamevamia kichwa kichwa culture za watu,wanaamin kuwa wao na wanaume hawana tofauti,ndio maana kwa kuamin kuwa lolote analoweza kufanya mwanaume hata mwanamke anaweza,ndo maana leo kumkuta fundi ujenzi mdada ni kawaida tuu,matokeo hukohuko anaishia kuzalishwa watoto tu wasio na baba
Mwanamke wa leo ukitaka kumfukuza ndani kwako we oa mke mwingine tuu,atasepa awaachie nyumba
Kwahiyo haki sawa wewe unaitafsiri ktk uzinzi, kuna shida Afrika.Uzoefu wangu ni kuwa mwanamke mmoja tu huwa mpaka najihisi nguvu zimepungua, lakini nikienda kwa mwingine najikuta nafanya vema sana NGUVU ZOTE ZINAKUWEPO. Kwa hilo ndio asili ya mwanaume nadhani, yaani kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja ni must, haijalishi anaitwa mke, girl friend au hawala, cha msingi ni several papuchiizi. Najua utandawazi nao umewafanya baadhi wanawake kuiga au kufanya kukomoa kwa kuhitaji several dushezi, lakini cha kuiga hakiwezi fikia cha asili. Naamini, na nilisoma gazeti moja hivi karibuni lililotoa utafiti kuwa ni asilimia kubwa sana ya wanaume wana michepuko ukifananisha na wanawake. Hivyo nyie endeleeni kudai haki sawa kwa kutuzuia kuoa wake wengi kisheria lakini hiyo haituzuii kupata several papuchiizi.
And it has not started today,its the ongoing process,si ajabu hao wanaokuja badae pia wakaja kutuona tulikuwa wrong kwa tunachokifanya leoThats why there is evolution including `-mind` evolution!
Lakn sijajua kuna siri gani kwa mke Wa mtu maana anakuwa mtamu zaidi ya hata uliyenaye ndani au hata kuliko mchepuko ambao sio mke Wa mtu.Mapenzi bwana yana asili ya ubinafsi asikuambie mtu!
hata wale wanaodate na waume za watu sio kama hawaumii wakiona Mr &Mrs wako pamoja..
Wanaumia sana ndo maana saa ingine unakuta mchepuko,unaanza kumfanyia vurugu mke mkubwa au kutaka kujimilikisha yy mume wa mtu!.
Tatzo wanawake Wa sasa mnadanganywa na hivyo vyama vya haki za wanawake..Mkiwa wengi uaminifu ni mdogo
Lakini pia jaribu kuona mngekuwa wanaume wengi wanawake wachache ungekubali muwe wanaume 2 kwa binti mmoja unayemzimia sanaaaa moyoni
Ni fikra tu, ukiendekexa fikra zako hivyo unavyo amini then itakuwa hivyo japo hakuna proof kwamba this is reality..Lakn sijajua kuna siri gani kwa mke Wa mtu maana anakuwa mtamu zaidi ya hata uliyenaye ndani au hata kuliko mchepuko ambao sio mke Wa mtu.
Na mazingira ambayo yanakuwa matamu zaidi ni kwenye gari na nyumban kwa Mme Wa mwanamke japo hayo mazingira ni hatar zaidi
Kwahiyo kuku na binadam tuko class moja?Tatzo wanawake Wa sasa mnadanganywa na hivyo vyama vya haki za wanawake..
Tangu enzi na enzi mpaka kwenye maandiko mwanaume ni halali kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja..
Hata kwako huwezi kufuga kuku matetea 20 na majogoo 20 au majogoo25 hapo utafuga tetea 20 na jogoo2 tu hujiulizi ni kwann?
Washukuru sana wazazi wako kwa kukupa elimu kama hyo juu ya ndoa na mahusianoMwanaume mmoja hanitoshi aisee...
Nataka mmoja VERY HANDSOME and SEXY, huyu ndo nitatoka naye kwenye functions kuringishia.
Halafu nataka mwingine anayechekesha yani nikiboreka tu namfwata.
Halafu nataka mwingine mwenye dushe iliyoshiba sipendi ujinga kwenye starehe zangu
Halafu nataka mwingine THINK TANK yani very intelligent huyu ndo ntamshirikisha mipango yangu.
Subiri nitafute pesa lazima niweke wote ndani.
Ndivyo alivyofundishwa na wazaz wakehaya nayo umeyarithi ama umebuni ya kwako kinyume na kusudi la Mungu la kukuumba?
Unafikir ikiruhusiwa kisheria ndio ndoa zitatulia?Hata hao wa zamani sio kwamba walipenda ni mfumo wa maisha ulikua unawafanya wakubali tu....
Mi natamani pia polyandry ikubalike kisheria
Mmmh unataka kuharibu hii thread.. Ni nzuri ujueHawa wanachekeshaga sana kujifananisha na wanaume wa zamani, wakati hawawafikii hata robo....
Enzi hizo men were men buana siku hizi wengi ni visokolokwinyo tu vinavokojoa vimesimama basi vinajikuta vimwanume (men with no balls)
Yan mm na ww ni mapacha[emoji130]Mwanaume mmoja hanitoshi aisee...
Nataka mmoja VERY HANDSOME and SEXY, huyu ndo nitatoka naye kwenye functions kuringishia.
Halafu nataka mwingine anayechekesha yani nikiboreka tu namfwata.
Halafu nataka mwingine mwenye dushe iliyoshiba sipendi ujinga kwenye starehe zangu
Halafu nataka mwingine THINK TANK yani very intelligent huyu ndo ntamshirikisha mipango yangu.
Subiri nitafute pesa lazima niweke wote ndani.
Nmetolea mfano tu mkuu..Kwahiyo kuku na binadam tuko class moja?
Hawa wanachekeshaga sana kujifananisha na wanaume wa zamani, wakati hawawafikii hata robo....
Enzi hizo men were men buana siku hizi wengi ni visokolokwinyo tu vinavokojoa vimesimama basi vinajikuta vimwanume (men with no balls)
Nani alikuambia culture is static?
Basi si muoe hao bibi zenu.
Koh!koh!koh!koh!kohAfadhali... ilibakia kidogo nimwachie Mungu.
moyo unatoshekaga basi...atapita lihendisam lingine moyo utamtaka na me ntabeba tu kuufurahisha moyo.[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Inakuaje ukipata mmoja akawa na hizo package zote unazotaka ujue wamo humu duniani